baloz89
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,224
- 1,800
Huwajui vizuri single mothers,wengi wao ni wale waojiita wapambanaji,mafeminist,viburi na wapiga mizinga mwisho wakajikuta wako nje ya mfumo ndoa!!....japo wachache kweli ni wanaume kukimbia majukumu hao Mungu awasaidie na ikibidi nitaoa wawili watatu kupunguza idadi!