Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah! Sure! Ukishapata ugonjwa kama huu hupaswi kupanic maana ukpanic ndo utaanza kusema kuwa unalipiza kisasi. Hivyo utaambukiza hata ndugu zako, maana huyu unayemuambukiza hujui yeye atamuambukiza nani. Let's play safe.✔Mkuu una upendo sana.
....yataka moyoJust Do It.✔
Yeah! Sure!....yataka moyo
Kwakweli mimi sipigi dem bila kumpima huo ndo utaratibu wanguTukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.
Kwakweli mimi sipigi dem bila kumpima huo ndo utaratibu wangu
Wengi hawapendi kupima kwa hiyo sio rahisi kuwa wanajua hali zao.Akhsante sana mdogo Angu🙏🙏🙏 ila sijaanzisha kwa ajili ya kupewa pole na hongera, ni kushare tu experience, au jf hakuna wenye VVU
Wengi hawapendi kupima kwa hiyo sio rahisi kuwa wanajua hali zao.
Ukimwi hauponi kwa maombi piga ARV acha ujingaTUJIUNGAMANISHE NA KOMBOA FAMILIA RISE N SHINE YA MWAMPOSA KILA USIKU 3 MPAKA 5 HAPA TUNA MKESHA MSISUBIRI KIWAKE MUNGU ANAPONYA ASHINDWI
hivi hii couple mmeoana tayari? sasa hapo nanyi hamuaminiani wakati cc toka kabla ya mwendazake.
Alikua hatumii dawa nn aliyekupa?Hongera na pole mkuu...vp futa jingi unaonaje vidudu vinaweza teleza?Mi sijapima kama miezi minne hivi,itabidi nivae ujasiri tena.Kabisaaa! Na hapo ndo wanafeli.
Zingatia dozi na kula vizuri plus mazoezi and prayers.Nina huo ugonjwa na umenichukulia mtu wangu muhim sana mwez ulopita😥😥,,,nauchukia ila watu siwachikii tunaishi nao
Njia rahisi ya kuikwepa ngoma ni kugoma kupima , maana takwimu zinaonesha kila ukoo au familia kuna MTU ana ngoma Ila ukiwa mtaani kila kicheche anajiona ni mzima.
"HAKIKISHA UNAVAA HELMET KATIKA KILA BARABARA UNAYOPITA"
Kabisaaa, no helmet no travelling. Tatizo bodaboda hawaelewi wala kusikia. Mwisho wa siku wanaangamia.
pole ndugu jamaa au rafiki? ndo ukubwasina ila uo ugonjwa umenichukulia mtu wangu muhim sana mwez ulopita😥😥,,,nauchukia ila watu siwachikii tunaishi nao
Ni ugonjwa mmbaya sanasina ila uo ugonjwa umenichukulia mtu wangu muhim sana mwez ulopita😥😥,,,nauchukia ila watu siwachikii tunaishi nao
Kabisaaa hofu ni mbaya sana, ila ukiishinda hofu utaishi vyema tena kwa furahaNadhani kinachowaua WATU ni hofu ile hali ya MTU kuwa depressed and stressful inaweza kumuondoa MTU haraka. Kuliko hata ukimwi wenyewe.
Watu wengi Tanzania wana ukimwi sema wana play kimya kimya .