Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #221
Akhsante mdogo Angu๐๐๐Hongera wewe ni shujaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akhsante mdogo Angu๐๐๐Hongera wewe ni shujaa.
Uliishia la pili C bila shaka.
Zingatia dozi na kula vizuri plus mazoezi and prayers.
Uliishia la pili C bila shaka
Acha ngono zembe, miezi mi4 mbona jana tu, unawaza nini?Alikua hatumii dawa nn aliyekupa?Hongera na pole mkuu...vp futa jingi unaonaje vidudu vinaweza teleza?Mi sijapima kama miezi minne hivi,itabidi nivae ujasiri tena.
doz gan ya kuizingatia na siumwiKwanini mkuu ?
Mkuu huo mguu wamekukata au POP!!?Kuna mambo yanayo lazimisha kupima mfano kuingia jeshini, kipindi naenda kuoa tulichukuliwa na wife na mchungaji tukaenda kupimwa isee ilikua HOFU kwa pande zote mbili Ila majibu yakawa powaa
Mkuu,
Umeandika vitu painful Sanaa alaf tangia nimepata ajar na kuvunjika mguu last three months now nipo na recovery
nimekua nasisimka napo sikia mateso ya mtu mwingine
Pole Sanaa for your loss
Mkuu hapo jeshini mbona kama walikua wanapima blood group au ilikuaje an ๐๐๐Kuna mambo yanayo lazimisha kupima mfano kuingia jeshini, kipindi naenda kuoa tulichukuliwa na wife na mchungaji tukaenda kupimwa isee ilikua HOFU kwa pande zote mbili Ila majibu yakawa powaa
Mkuu,
Umeandika vitu painful Sanaa alaf tangia nimepata ajar na kuvunjika mguu last three months now nipo na recovery
nimekua nasisimka napo sikia mateso ya mtu mwingine
Pole Sanaa for your loss
Huu uzi kila nikirefresh page naona upo on trending nashindwa kujizuia kuufungaMkuu huo mguu wamekukata au POP!!?
Pole sana man!!
Mi nasoma comments tu!Uzi ni WA moto balaa!!
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Mara ya mwisho kupima ilikua tar 2 June 2017 tulienda kupima wengi wengi, tulifanana majina Watu sita mm nikawa wa kwanza kuchukua majibu wakachanganya majina kiukwel nlitembea hospital zaidi ya sita kuhakiki maana Moja alikua positive kati yetu...nashukuru npo vzr
Jkt wanapima cz ukitoka unapewa kikaratasi kina herufi nimeisahau tulionyeshana majibu wote tulikua na herufi sawa wachache waliwekwa pembeni baadae walipewa tranka zao wakasepa.Mkuu hapo jeshini mbona kama walikua wanapima blood group au ilikuaje an ๐๐๐
Oky kipimo cha jkt walikua wanatoa damu kwa sindano zile za vidole ..?Jkt wanapima cz ukitoka unapewa kikaratasi kina herufi nimeisahau tulionyeshana majibu wote tulikua na herufi sawa wachache waliwekwa pembeni baadae walipewa tranka zao wakasepa.
Hapana mkuu! Nina tatizo la kusumbuliwa na vitu vibaya au vya kusikitisha
Huwa siangalii movie za huzuni, sisikilizi story za kusikitisha nikifanya hivyo tu naweza kukaa hata wiki moyo na akili vinasikitika nakosa utulivu
Oyaaa weee acha kabisanimecrop moja ya scene yake akiliwa mate kwenye Everything Everything, nakwea mnazo nayo kila siku
demu mkali sana huyu
Sikutegemea hili kutoka kwako.Ndio moja ya dalili za upwiru hizo...
Tafuta namna ukamuliwe maji kiunoni kuruta...
Hapo kwenye damu mlichomwa sindano za wapi... ?Mkojo na damu, sikumbuki walitoa wapi
hahaha mtagi proton pumpOyaaa weee acha kabisa
Acha kabisa
Acha kabisa
Everything everything
Acha kabisa mkuu
Yaan acha kabisa
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ proton pump kijana hovyo.njoo huku...hahaha mtagi proton pump
Nimesahau tulichomwa za wapi, nikisema nitakua muongoHapo kwenye damu mlichomwa sindano za wapi... ?
Alafu jkt kwa sasa sizani kama wanarudishwa ila tu unakua kwa wale wagonjwa wa kudumu hvo kuna kazi una kua hufanyi but sijajua mybe kuna watu warirudi