Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Mwaka gani ulipata?Nipo apa[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka gani ulipata?Nipo apa[emoji849]
nimekuja nipo lunch kidogo hapa wali mlenda. Ngoja nifute mdomo kwanza nisome. Alafu ndugu zangu Poor Brain na dronedrake mmepotea sana cjui mda shida gani msije kusingizia mkonga wa taifa huko baharini😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌 proton pump kijana hovyo.njoo huku...
Hapo sasaNaona ni kweli kabisa kuna imani potofu kuhusu ukimwi
Ukimwi mbona ugonjwa rahisi kuishi nao ukifuata masharti ya wataalam?
Kansa, vizukari na viharusi watu wanavichukuliaje?
Hapana mkuu ile challenge ya no fap daaah aiseee imefanya niwe adimu humu maana 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌nimekuja nipo lunch kidogo hapa wali mlenda. Ngoja nifute mdomo kwanza nisome. Alafu ndugu zangu Poor Brain na dronedrake mmepotea sana cjui mda shida gani msije kusingizia mkonga wa taifa huko baharini
asante sana 😥😥Daaah pole sana.. aiseee
Ushapoa lakini au...asante sana 😥😥
We Sema tu, uzuri hakuna mtu anakununulia bando, be free,Usiseme hivyo😂
Nielekeze mwaya... Ningesema kitu sema huchelewi kunishushua
😂😂😂😂yesu alisema, msinililie mimi, jililieni ninyi, watoto wenu na waume zenu.Nakuonea huruma, natamani nisingefungua huu uzi hadi Kichwa kinaniuma sitaki kuendelea kuona
Umenena vyema kuna wagonjwa wa pressure wanakunywa dawa karibia kila siku, wagonjwa wa figo zilizofeli wanakunywa dawa kila siku yaani mateso bora hata mgonjwa wa ukimwiBinafsi huu ugonjwa kamwe siwez upata...Narudia tena siwez upata..lakin kwa mlio nao sio ugonjwa wa kutisha kero kwenye kumeza dawa...usipate sukari...cancer au figo zifeli alafu dailisis ije...NB wagonjwa wote hapo nimeshawauguza kwa gharama zangu bila kuchangiwa au serikali kutia mchango wake....ikitokea nimecomment uzi wa mwana jamii forum yeyote tuheshimiane...na sio mwajiriwa mimi hata bima zenyewe kwenye hayo magonjwa zinadunda...nipo blw 33 years...na katika hao nilio wauguza mwenye ukimwi ndio yupo owk mpaka sasa tna na TB ilimpiga akawa wa kesho au masaa afariki..but ukimuona now...aisee kuwen makini
MERCY sina tena ratiba naye mkuu japo kila siku ananichek na jioni ananipa pole ya kazi anadhani atanirudisha katika imaya yakeHata Mercy?
Ni kweli lakini pressure na figo vina heshima sana, ukimwi gonjwa la dharau mno, linaaibisha na kushangaza wala halizoeleki, kama unaweza kulikwepa liepuke tu.Umenena vyema kuna wagonjwa wa pressure wanakunywa dawa karibia kila siku, wagonjwa wa figo zilizofeli wanakunywa dawa kila siku yaani mateso bora hata mgonjwa wa ukimwi
HahahaDua la mwewe halimpati kuku Maghayo City bingwa tena, F*ck Ngoma
Migodini ni balaa pale GGM nimempoteza bro wangu..Daah aisee hongera kwa kujitambua.
Mimi mara ya mwisho nilipima 2021, nilikua -ve.
Ila migodini naskia ni habari nyingine kabisa.
Mwambie tu kuwa kama ikitokea akaku cheat basi atumie condom, pia ukikuta condom moja au mbili zmebaki chumbani kwake usimuulize sana na kumfokea, jua kuwa anajitambua na anakulinda pia😂Jana nilivyosoma nikatetemeka nikamsomea risala ndefuuu bf wangu
😂😂😂achana nae, utakufa na mawazo utuache na ukimwi wetu tunapetaMERCY sina tena ratiba naye mkuu japo kila siku ananichek na jioni ananipa pole ya kazi anadhani atanirudisha katika imaya yake
Hatari sanaMigodini ni balaa pale GGM nimempoteza bro wangu..
Yeye baada ya kujigundua aligoma dawa
Wanayaita magonjwa ya kitajiri/pesaNi kweli lakini pressure na figo vina heshima sana
Karma ni noma...sema tu ni kwa vile tunatumia majina bandia hapa.Amin nakuambia..na wala sikutanii
unaweza ukakuta baby wakoKarma ni noma...sema tu ni kwa vile tunatumia majina bandia hapa.