Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Kwakweli mimi sipigi dem bila kumpima huo ndo utaratibu wangu
 
Kabisaaa, no helmet no travelling. Tatizo bodaboda hawaelewi wala kusikia. Mwisho wa siku wanaangamia.
Njia rahisi ya kuikwepa ngoma ni kugoma kupima , maana takwimu zinaonesha kila ukoo au familia kuna MTU ana ngoma Ila ukiwa mtaani kila kicheche anajiona ni mzima.




"HAKIKISHA UNAVAA HELMET KATIKA KILA BARABARA UNAYOPITA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…