Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Mkuu huo mguu wamekukata au POP!!?

Pole sana man!!

Mi nasoma comments tu!Uzi ni WA moto balaa!!
 
Mkuu hapo jeshini mbona kama walikua wanapima blood group au ilikuaje an πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hi ni ukweli kabisa ila sasa mbona mkuu haupo serious
 
Hapana mkuu! Nina tatizo la kusumbuliwa na vitu vibaya au vya kusikitisha
Huwa siangalii movie za huzuni, sisikilizi story za kusikitisha nikifanya hivyo tu naweza kukaa hata wiki moyo na akili vinasikitika nakosa utulivu

Ndio moja ya dalili za upwiru hizo...

Tafuta namna ukamuliwe maji kiunoni kuruta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…