Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Kiukwel sitaman kupima ila najiona sipo salama coz ninedate na manzi ambae inasemekan ni muasilika kibaya zaid cjatumia condon pia niliingia chumvin zaid nilipokua nanyandua nae mechi ilivunjika round ya pili kwn mchezji mwengan alitoja dam nilipohoji alinijib jana alitoj kumalizia period nilipokiangalia kibamia kimetapakaa damu kiukwl sipo saw na sitamn kupima ata kidgo
 
KITAALAMU UKIMWI KUUPATA NI KAZI KUBWA SANA. YANI SEX YA KIBAO KIMOJA AU VIWILI VYA FASTA HUWEZI PATA UKIMWI.
KINACHOFANYA MTU APATE UKIMWI NI KUJIFANYA SHABABI KUSIMAMIA KUCHA DEM ANAKWAMBIA KASHAKAUA WEWE UNATAKA AKUONE MWAMBA UNAPAMPU TU MPKA MWISHO WA SIKU KICHUBUKO NA DAMILU JUU HAPO NDO UTAJUA HUJUI.

MIMI NAAMINI NIMEPITA NA MADEMU WENGI TU WENYE UKIMWI NA NILIWAPIGA PEKU KABISA.

WANASEMA PROBABILITY YA KUPATA UKIMWI NI 1/1000.

WADAU TUSIKAMIE SANA GAME KAMA DEMU HUJAMPIMA NA HUMUAMINI WEWE USIKAMIE PIGA ZAKO FAIR GAME TEMBEA.
 
Wewe aliyekupima mara ya kwanza alijimix mwenyewe kitu huwa ni real Mzee unao unao hakuna maombi ya kukuponya UKIMWI
 
Ni kisasi gani hicho ambacho ukoo mzima hautasahau
 
Wewe aliyekupima mara ya kwanza alijimix mwenyewe kitu huwa ni real Mzee unao unao hakuna maombi ya kukuponya UKIMWI
Mkuu,
Hii scenario Ni Kama Ile ya JPM kupima mapapai,oil na kukutwa na Corona
Wakati mwingine hizo testing kit zinaweza kua na matatizo ndio maana baada ya kugundua una maambukizi Kuna kipimo Cha ku confirm kinaitwa HIV TEST UNGOLD
 
Nakujibu kwa swali
Je ukiwa na ukimwi unaweza sahau kama unao? Japo kwa dakika 5 tu?
Binafsi nina tatizo la kusau kama juz ilitokea shot kazini kwangu moto ukawaka nikapigiwa simu nilitoka bila kitu nikashinda huko nishalala usiku kabisa ndo nakumbuka sijaywa doz ila richa ya ivo hua nina tatizo ilo hata kwenye vitu muhimu sana so ndo maama najiuliza ni vipi kwa mtumiaji wa mwaka mzima haiwez yokea siku na siku akasahau.
 


Ila wanawake😊👇

"...Mimi nilikuwa na kamsimamo Fulani hivyo akaona asinisumbue aendelee kula nje.

Sasa bwana mazingira ya kazi yakanifanya nikajikuta nimeliwa na kijana mmoja wa hapo kazini ambaye muda mwingi tulikuwa tuko wote ofisini ndio alienitoa bikira."
 
Hii ID yako imekuwepo humu jukwaani kwa muda mrefu naionagaga

Umeandika kwa hisia Sana a point to note wewe Kama mwanamke inaitaji either MWANAUME wakukuongoza ama hata MTOTO mmojaa...

Wanaume wazuri wa kuanzisha nao familia Mbona wapo wengi TU Tena wanyoofu na very respectful nyinyi hamuwaoni au hamna bahati nao nashukuru Mimi Ni mmoja wao na nipo kwenye ndoa..

All in all fanya fanya upate MWANAUME wa Maisha yako punguza uoga sister sawa
 
Hii ishu ya ukimwi isikie tu kwa mwenzio, wakati fulani nilikuwa mkoani kikazi nikaanzisha uhusiano na bint mmoja ambaye alikuwa mwenyeji katika mkoa huo, nilidumu nae kwa takribani miaka miwili nikaja kutonywa na mama mmoja mama ntilie kwamba huyo demu ameathirika, alinistua moyo kiukweli nikasema ngoja nitafute ukweli,, kwa bahati yule mwanamke alikuwa hajisikii vizuri kwa wakati huo na akahisi labda alikuwa na malaria nikaona nitumie chansi hiyo, nilichofanya ni kumpeleka hospital ambayo kulikuwa na dokta ambayo nafahamiana nae nikampanga kila kitu yule dokta, alichofanya ni kuchukua damu ya yule mwanamke kwa ajili ya kupima malaria na HIV bila ya yeye mwenyew kujua aisee Majibu yalipotoka alikuwa hiv positive, ila yeye alipata Majibu ya malaria tu. Nilirudi kesho yake kwa ajili ya kupima nikajikuta nipo negative,, nimeendelea kuwa negative hata sasa nimeachana na huyo mwanamke maisha yanaendelea. Ukimwi upo tuchukue tahadhari na kwa waathirika tumeze dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…