Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Na wazee ndio wana pesa na mdudu bila kujiunga na chama cha drone the master kusalimika ni ngumu mno.
Kusalimika ni ngumu kama hatutoacha zinaa ,kumaintain ni kazi kama hauna stamina,backstage hazina ulinzi wanapita kama counter ,mademu tunawapitia makwao hatuwangojei.

Kizaa mzozo gumzo gumzo kwa mabronzoo masistaduu ,machizi ,walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze ni kazeze.
 
Kusalimika ni ngumu kama hatutoacha zinaa ,kumaintain ni kazi kama hauna stamina,backstage hazina ulinzi wanapita kama counter ,mademu tunawapitia makwao hatuwangojei.

Kizaa mzozo gumzo gumzo kwa mabronzoo masistaduu ,machizi ,walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze ni kazeze.
Hii mistati unaweza toa hit 🎵
 
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
Aisee hiki kisa kimekaa kusisimua mno, hao wenye ukimwi na hawajijui au hawajaanza kutumia dawa ni hatari kuliko ukumbane na mgonjwa anaekula njugu mawe.
 
Miaka ya kama 4 hivi kuna mwanadada aliandika uzi humu kuconfess anaumwa ni mfanyabiashara na members wengi wa humu alikuwa anafanya nao biashara ya vipodozi .

Ngoja niutafute nione kama bado upo maana watu walipoteana kwenye kutoa comments sana..
Ukiupata usiache kuuweka hapa
 
Sikupatii picha hiyo furaha uliyo lipuka nayo😅😊
Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
 
Kuna manzi nilimuaproach, akanipa sharti zito sana la kupima VVU kwanza, dah, lakini kwakuw nlikuwa namkubali sana nkasema fresh.

Alisema twende wote, nkapiga moyo konde nkasema poa, siku ya tukio kachimba hajatokea, nkasema haina shida.

Nkampigia sababu kibao, akasema kesho twenda, nkasem sawa.

Kesho tena kachimba, dah, nkasema ni noma. Ikabidi npime pekeangu.

Nashukuru nkajikuta fresh, dah, skuamini maana nshapuyanga sana.
Yule manzi ikabidi nimpotezee maana anatoa masharti ambayo ye mwenyewe hayawezi, ni snitch
Ila amekuhamasisha kupima,,nyamaza kimya kwa dakika moja mpe heshima yake
 
Hizo tena dalili za kuumwa Ukimwi virusi vikiingia unaweza kupata kama homa za malaria mafua sababu kinga ya mwili inapambana kama mwezi kisha unakaa hata miaka 5-10 hujijui kisha dalili zinaanza kama ulizo taja hapo ndo maana siku hizi ukienda unaumwa homa unapimwa unaanzishiwa ARV nashukuru Mungu niko salama kila nikipimwa naogopa na siogopi labda mie Malaya naogopa mtu wangu nilonae kama anaruka ruka nje wake wengi tunaletewa na waume.
Na waume wengi tukiotulia tunaletewa na Wake wanaorukaruka nje
 
Ila guys kondomu zinasaidia acheni tu

Tukiwa form six karibia na paper kama unavyojua huwa tunakaa magetoni,,,nina mshikaji wangu mmoja tulikuwa watundu kidogo,,tukaenda bar tukakutana na warembo tukaruka nao

Ndio wakawa madam zetu,,,kikubwa tulikuwa tunatumia kinga,,sasa siku moja tumekula masanga hao mpaka gesti,,,dah yule mhudumu aishi maisha marefu,,alitukazania sana tutumie kinga kana kwamba ni ndugu zake,,,lkn hata kabla ya kauli yake tulikuwa tunatumia

Siku hiyo tunaingia room dem hataki tuwashe taa,,anyway nikaona isiwe tabu,,ile nampapasa kwenye mautamu nikahisi kama kuna vidonda duh nikahisi ndio maana hakutaka niwashe taa

Sasa yeye ni mfupi kwenye minyanduano alijikunja sana nahisi alinipa ndogo bilakujua,,,wataalamu wa mambo wanasema madem wajanja sana anaweza kujikunja kumbe umepewa ndogo na usijue,,,kiukweli sina uhakika kama nilikula ndogo au kubwa

Baadae tukaja kusikia dem wa mshikaji wangu alitembea na afisa mmoja wa jeshi yupo hoi kitandani

Ikaja kujulikana kumbe wauzaji mwili,,ila sijui walitupendea nini coz hatukuwa tukiwapa hela

Guys kondomu zinasaidia sana
 
Mimi ukimwi ni nimepima sina ila sitosahau
Jinsi nilivyoshudia ukimwi ukitekeleza mauji ya mtu nilimpenda sana MAMA ANGU MZAZI TENA DAKTARI ALIKUWA

Mama angu alikuwa yupo hapo wilaya inaitwa mafinga huwa kuna ukimwi sana tulihamia mwaka 1996 kutoka dar es salaam kwa miaka mingi nilishuhudia vifo vya majirani walivyokuwa na ukimwi sababu mama alikuwa daktar wengi walikuwa wakija nyumbani kutibiwa na kupewa ushauri miaka ile ya 90s hadi 2000s mwanzoni

2010 na kumi nikahama jumla mafinga na kuja dar kutafuta maisha baada ya kumaliz masomo yangu ya degree .....2013 tukamzika babangu mzazi ambae alichana na mama mama angu mwaka 96 sasa baada kutoka msibani nikamuuliza mama huyu baba kafa kwa HIV vipi ww utakuwa mzima akanijibu mimi ni mzima mwanangu

2016 nilikuwa na safari kwenda china kwa ajlii ya business zangu nikarudi mafinga kwenda kumuaga sasa alinituma kitu nikachukue chumbani kwake naingia nakuta ARV kitandani moyo wangu ulisononeka sana nakumbuka nililia sana ila mama angu akasema usilie ni jambo la kawaida nakumbuka akiniangalia kwa macho ya aibu huku pia akijikaza sababu alinipenda sana koz mimi wa mwisho kwetu

2020 kipindi ch korona mama angu mzazi anapapalaizi baada ya kupigwa stroke for two years anakuwa kitandani

2022 mama angu anaingia deadliest stage ya Ukimwi AIDS..Hapa sasa ndo nilijua ukimwi mbaya alitokwa na vidonda mgongo mzima sababu alikuwa kapalalaize hivyo bed sores zilimuandama sana.....wewe anakonda ....mno kumbuka mimi hapo miaka hiiyo mitatu natumia hela zngu binafsi nilitumia zaidi millioni 30 hadi niliyumba kidogo kiuchumi sababu ya kuuguza mgonjwa safari za magari dawa kwenda rufaa mara week nyumbani mwezi hospital ...mara hali hadi mipira mara awe kichaa mara awe mzima nyie ukimwi balaa stage ya mwisho ile

2022 machi hali inakuwa mbaya mgonjwa ni amepalalaize mwili umebaki kichwa tu....vidonda kila kona ndugu zake wananyanyapa yaani ilibidi nimkodi nesi wa kike anisaidie kazi kusafisha vidonda kila siku 20000tsh....... then mach 2022 mama akafariki .....taarifa ya kufAriki kwakwe ilinikutia bar nikiwa na marafika zangu nilikaa kimya

Nilirudi nyumbani nikasema pole na mama angu nilikupenda sana bora umekufa kuliko ulivyokuwa unateseka maana mgongo ulikuwa kama nyama buchani hakuna ngozi......

Nikasema nitakukumbuka daima na kukupenda daima then nikalala zangu nikatafuta dereva wa kuniendesha hadi mafinga iringa nikampa laki mbili nikajaza mafuta tukaondoka .....njiani nae dereva nusu aniue pale kitonga anasisinzia nikamwambia unajua mimi naenda msibani afu unaleta usengeee ...nikachukua chuma mwenyewe nikaendesha hadi mafinga

2022 machi 25 tukamzika mama angu mzazi msibani nilikuwa nauchungu kuwa sito muona tena ila kifo sometimes ni muhimu kwa mateso aliyoyapata kifo ilikuwa bora kuliko kuishi .....maana miguu mgongo ilikuwa ni nyama za buchani tu

Hadi leo hii hakuna siku inapita simkumbi mama angu mzazi

So wagonjwa wa ukimwi mezeni dawa pia hakikisheni vizuri

Pia serikali iweke sheria kwa hospital au madaktar kuwaua kwa maksudi kwa agizo la mgonjwa mwenyewe endapo stage aliye fikia hawezi pona maana inakuwa ni mateso sio kuumwa ....hasa kwa wagonjwa wa kansa mara nyingi madaktar hujua kuwa flan haponi wanabaki wanazuga tu na mgonjwa anateseka bure na maumivu makali yasio na mwisho.....
Hujaeleweka kabisa mkuu hasa hapo mama alipofariki ..mara umelala mara umtafuta dereva..mara kasinzia...mara kitonga
 
Kiukwel sitaman kupima ila najiona sipo salama coz ninedate na manzi ambae inasemekan ni muasilika kibaya zaid cjatumia condon pia niliingia chumvin zaid nilipokua nanyandua nae mechi ilivunjika round ya pili kwn mchezji mwengan alitoja dam nilipohoji alinijib jana alitoj kumalizia period nilipokiangalia kibamia kimetapakaa damu kiukwl sipo saw na sitamn kupima ata kidgo
Cable Television Network inakuhusu😂
 
Back
Top Bottom