Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Na wazee ndio wana pesa na mdudu bila kujiunga na chama cha drone the master kusalimika ni ngumu mno.
Kusalimika ni ngumu kama hatutoacha zinaa ,kumaintain ni kazi kama hauna stamina,backstage hazina ulinzi wanapita kama counter ,mademu tunawapitia makwao hatuwangojei.

Kizaa mzozo gumzo gumzo kwa mabronzoo masistaduu ,machizi ,walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze ni kazeze.
 
Hii mistati unaweza toa hit 🎵
 
Aisee hiki kisa kimekaa kusisimua mno, hao wenye ukimwi na hawajijui au hawajaanza kutumia dawa ni hatari kuliko ukumbane na mgonjwa anaekula njugu mawe.
 
Miaka ya kama 4 hivi kuna mwanadada aliandika uzi humu kuconfess anaumwa ni mfanyabiashara na members wengi wa humu alikuwa anafanya nao biashara ya vipodozi .

Ngoja niutafute nione kama bado upo maana watu walipoteana kwenye kutoa comments sana..
Ukiupata usiache kuuweka hapa
 
Sikupatii picha hiyo furaha uliyo lipuka nayo😅😊
 
Ila amekuhamasisha kupima,,nyamaza kimya kwa dakika moja mpe heshima yake
 
Na waume wengi tukiotulia tunaletewa na Wake wanaorukaruka nje
 
Ila guys kondomu zinasaidia acheni tu

Tukiwa form six karibia na paper kama unavyojua huwa tunakaa magetoni,,,nina mshikaji wangu mmoja tulikuwa watundu kidogo,,tukaenda bar tukakutana na warembo tukaruka nao

Ndio wakawa madam zetu,,,kikubwa tulikuwa tunatumia kinga,,sasa siku moja tumekula masanga hao mpaka gesti,,,dah yule mhudumu aishi maisha marefu,,alitukazania sana tutumie kinga kana kwamba ni ndugu zake,,,lkn hata kabla ya kauli yake tulikuwa tunatumia

Siku hiyo tunaingia room dem hataki tuwashe taa,,anyway nikaona isiwe tabu,,ile nampapasa kwenye mautamu nikahisi kama kuna vidonda duh nikahisi ndio maana hakutaka niwashe taa

Sasa yeye ni mfupi kwenye minyanduano alijikunja sana nahisi alinipa ndogo bilakujua,,,wataalamu wa mambo wanasema madem wajanja sana anaweza kujikunja kumbe umepewa ndogo na usijue,,,kiukweli sina uhakika kama nilikula ndogo au kubwa

Baadae tukaja kusikia dem wa mshikaji wangu alitembea na afisa mmoja wa jeshi yupo hoi kitandani

Ikaja kujulikana kumbe wauzaji mwili,,ila sijui walitupendea nini coz hatukuwa tukiwapa hela

Guys kondomu zinasaidia sana
 
Hujaeleweka kabisa mkuu hasa hapo mama alipofariki ..mara umelala mara umtafuta dereva..mara kasinzia...mara kitonga
 
Cable Television Network inakuhusu😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…