Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
-
- #361
Ni ngumu sana, hata ukisahau haitopishana nusu saa au one hourBinafsi nina tatizo la kusau kama juz ilitokea shot kazini kwangu moto ukawaka nikapigiwa simu nilitoka bila kitu nikashinda huko nishalala usiku kabisa ndo nakumbuka sijaywa doz ila richa ya ivo hua nina tatizo ilo hata kwenye vitu muhimu sana so ndo maama najiuliza ni vipi kwa mtumiaji wa mwaka mzima haiwez yokea siku na siku akasahau.
Yeah hutakiwi kumpima mtu kwa kumwangalia kwa machoSidhani kama kuna wagonjwa wengi wa VVU humu.
Sahivi ni mambo ya kawaida Duniani. Ila pia kwa jf na Tanzania wengi watajitokeza hapa ni wanawake na hawawezi fika watano wakajitaja.
Mkuu Mungu akubariki Sana kaka,kupima na kujijua afya yako ni jambo jema Sana
Nashukuru Sana nimebadili tabia sifanyi ngono zembe kupimana kabla ya kunjunjana hataki aende.
Nb siku niliyojingundua Sina ukimwi sikukubali nikakaa miezi mi 3 majibu yakatoka Sina Tena nikapima Tena na Tena majibu nipo negative nilibadili kila kitu kwenye maisha yangu
Wakuu tusiamini kwa macho ukimwi upo na unauwa
yupo tanesco ameenda kuzima umemeDuuuh na huyu kijana drone kweli mkuu upo serious.
Mipango ya hela tupange na huyu jamaa πππππ
Kitu pekee ni kuacha kuleta dawa, ili waathirika wote watoweke maisha yaanze upya. Hivihivi halitaisha hili janga. Na ikiwa hivi usishangae kwenye ukoo wenu mnabaki wa3.Mkuu unaishauri nin serikali ili kupunguza maambukizi...
Mi nashauri mpigwe chapa takoni ili mtu akiiona anaacha...ushauri tu lkn
Ushatoka kuuza Mechi alafu unakutana na uzi huu!!!!
Mkuu nilivyoona mention moyo umelipuka
Usinifanyie hiviπ£
Kweli nimezika wengi lakin wao hawakutaka kumeza dawa waliamin wamerogwa...wa mwisho alienda mpk kwa mwamposa lkn akafa january tu apoKitu pekee ni kuacha kuleta dawa, ili waathirika wote watoweke maisha yaanze upya. Hivihivi halitaisha hili janga. Na ikiwa hivi usishangae kwenye ukoo wenu mnabaki wa3.
Mkuu! Mungu atulinde tuπππ if this is real how you feel, JILINDE SANA. Halafu wanawake wanaamini wanaume wasomi hawana HIVπππ
Wacha kwanza niwape vijana elimu, wakae kijanja, hapa ni duniani sio mbinguni. The devil is still alive.πΏπMkuu! Mungu atulinde tu
Hakuna aliye salama kwenye huu ugonjwa kwa 100%
Kesho pandisha uzi mwingine ili huu usitrend
Kitu kinachoitwa UKIMWI au VVU hakiambukizwi kwa NGONO.KITAALAMU UKIMWI KUUPATA NI KAZI KUBWA SANA. YANI SEX YA KIBAO KIMOJA AU VIWILI VYA FASTA HUWEZI PATA UKIMWI.
KINACHOFANYA MTU APATE UKIMWI NI KUJIFANYA SHABABI KUSIMAMIA KUCHA DEM ANAKWAMBIA KASHAKAUA WEWE UNATAKA AKUONE MWAMBA UNAPAMPU TU MPKA MWISHO WA SIKU KICHUBUKO NA DAMILU JUU HAPO NDO UTAJUA HUJUI.
MIMI NAAMINI NIMEPITA NA MADEMU WENGI TU WENYE UKIMWI NA NILIWAPIGA PEKU KABISA.
WANASEMA PROBABILITY YA KUPATA UKIMWI NI 1/1000.
WADAU TUSIKAMIE SANA GAME KAMA DEMU HUJAMPIMA NA HUMUAMINI WEWE USIKAMIE PIGA ZAKO FAIR GAME TEMBEA.
Kwann ulikua unadate na watoto under 18 π€π€ vipi Binti yako akitendewa haya ???Wakati nipo songea 2008 kuna binti nilimpata tukawa wapenzi alikuwa na miaka 16 na nilikuwa na nia nimuoe kwasababu mtoto alikuwa mzuri na muelewa mno,,,basi ikawa tunasex sana tena bila kondom kwasababu niliwaza mtoto kama yule sio wakumtilia shaka,,,na ikapita miaka miwili tupo kwenye mahusiano ila kila mmoja anaishi kwake na yeye alikuwa anaishi na shangazi yake,,sasa kuna siku nilienda mtaani kwao kuna kitu nilimpelekea sasa tukawa tumesimama jirani na shule fulani hivi tunapiga story,,,kumbe kuna mtu mmoja akatuona pale na siku ya pili akanijia dukani akaniambia ndugu yangu yule binti unajuana nae kiundani? Nikamjibu hapana nipo kwenye mchakato wa kumtongoza jamaa akaniambia yule binti ana ukimwi kazaliwa nao, aisee nilivurugwa mno na nililia sana nikanyanyua simu nikampigia yule binti nikamuuliza kumbe wewe una ukimwi? Aisee dogo akaniambia tu ukweli huku analia kuwa ni kweli ni muathirika ila alikuwa anaogopa kuniambia nisije kumuacha na wakati mimi ndie nilikuwa namuhudumia kila kitu na binti maisha yao yalikuwa magumu mno,,,Sasa washkaji wakaniona kabisa nimevurugwa akili nipo kama mwehu kwasababu nilimpigia mama yangu simu nikamwambia mimi mwanao nina ukimwi kwahiyo sipo mbali nitakufa.ila baada ya miezi miwili nikaenda kupima nikakutwa nipo fresh aisee nilifurahi mno kama chizi na nikampigia yule binti simu nikamwambia nipo fresh binti alifurahi mno,, kwakufupisha story ni kwamba yule binti kafariki 2015 kwa ajali ya gari
Ila mkuu! una moyo mkuu na mzuriWa
Wacha kwanza niwape vijana elimu, wakae kijanja, hapa ni duniani sio mbinguni. The devil is still alive.πΏπ
Hii dawa naonaga kama ni soko la wazungu, kama korona ilivyoua watu then ikapotelea mbali, ukimwi pia ungefanywa hivohivo. Kuleta dawa ni kutafuta masoko tu na kufanya biasharaKweli nimezika wengi lakin wao hawakutaka kumeza dawa waliamin wamerogwa...wa mwisho alienda mpk kwa mwamposa lkn akafa january tu apo
ππππUnanisema live mkuu
Ila mkuu! una moyo mkuu na mzuri
Mwingine asingejisumbua kupandisha uzi zaidi angezama pm kukusanya mbususu
Namuomba Mungu azidi kukupa afya njema na mafanikio zaidi, wewe najua unapenda magari basi ununue mengi sana tena ya gharama
Mimi nitajitahidi kutunza afya na Mungu anisaidie!
Ila dawa inasaidia saidia kusukuma siku za kuandika wosiaHii dawa naonaga kama ni soko la wazungu, kama korona ilivyoua watu then ikapotelea mbali, ukimwi pia ungefanywa hivohivo. Kuleta dawa ni kutafuta masoko tu na kufanya biashara