Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
- Thread starter
- #401
Survival of the fittest by Charles DarwinWatatoweka vipi wote wakati hao walioambukizwa nao wanaendelea kuambukiza? Chain inaendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Survival of the fittest by Charles DarwinWatatoweka vipi wote wakati hao walioambukizwa nao wanaendelea kuambukiza? Chain inaendelea.
Hatariii sanaStasahau siku nmempeleka mke wangu clinic, niliznguana na Dr kila nikimuulza kwani kupma ni lazma na yy anajibu siyo lazma lkn ni mhimu, mwisho wa siku aliniweza lkn Kwa mda wote tunasubri majibu nilkuwa natokwa jasho huku mke wangu akinishangaa nilvokuwa namwaminisha sichepuki Kwa sababu sikaagi naye. Mungu mwema tukaitwa majibu yakawa shwari but mtihani ukanirudia tena mm kumwaminisha kama schepki! Dah UKIMWI unahofu ya kutisha wakuu.
Hujanielewa madam..Upo blw 33 unapata wapi nguvu ya kuongea hivyo kwasababu ukimwi hauambukizwi kwa ngono tu
Kuna ajali na vingine vingi
SalamaMambo mami. Hali yako!
Karibu sanaNaomba nije pm kwa mambo ya biashara
Utajuaje kama "dawa" ndio nyenzo ya KUWAONDOA?Survival of the fittest by Charles Darwin
Duuh akakata moto anajiona?Migodini ni balaa pale GGM nimempoteza bro wangu..
Yeye baada ya kujigundua aligoma dawa
Bila shaka mkuu, gonjwa hili hivi sasa halina kampeni kama zamani.halafu migodini haijawahi kutajwa kuwa kuna maambukizi makubwa, walitaja madreva malori malori tu huko barabarani. Siku hizi kampeni za kupima kwa hiari zimepungua huenda maambukizi yapo juu sehemu nyingi licha kuwepo kwa dawa za kufubaza
Bora kauweka huko, achana na pombe kijana, hiyo ni kitu exceptionalMUNGU NAE HUU UGONJWA KAUWEKA SEHEMU AMBAYO DAH.,,,SI ANGEWEKA TU HATA KWENYE POMBE TUSINGEKUNYWA KAMWE.,,,MUDA MWINGINE TUKUBALIANE TU KWAMBA KABURI NDILO LITAKALO AMUA..
Hana ukimwi huyu anazingua tu.Mkuu pole na hongera!
Kama kweli hana ni jambo jemaHana ukimwi huyu anazingua tu.
Hata hakuna wema wowote. Kuna magonjwa ni hatar kuliko Aids na anaweza akawa nayoKama kweli hana ni jambo jema
Safi. Niliona mtu kakumbuka post fulani nikakumbuka kama ilikuwa yako. Ilikuwa inafanana na hii.Salama
Za kwako?
Tuendelee kumuomba Mungu atupe afya njema kaka..!Hata hakuna wema wowote. Kuna magonjwa ni hatar kuliko Aids na anaweza akawa nayo
Hilo ndio kubwa na la msingi. Kuna mambo mengi sana beyond our normal eyes na ni Mungu tu anajua. Ukifikiria hiv utajikuta huna sababu ya kutamba zaid ya kuwa mnyenyekevuTuendelee kumuomba Mungu atupe afya njema kaka..!
Umenena vyema kaka, tunatakiwa kuwa wanyenyekevu sababu duniani tunapita tujiepushe na ubaya moyoni mwetuHilo ndio kubwa na la msingi. Kuna mambo mengi sana beyond our normal eyes na ni Mungu tu anajua. Ukifikiria hiv utajikuta huna sababu ya kutamba zaid ya kuwa mnyenyekevu
Ooh okaySafi. Niliona mtu kakumbuka post fulani nikakumbuka kama ilikuwa yako. Ilikuwa inafanana na hii.