KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Aisee nimekuelewa mkuu ila kuhusu sheria ipo wazi kwamba kumuambukiza mtu ukimwi kwa makusudi ni kosa kisheria huyo dogo wa form six angeweza kufungua kesi ingewezekana kabisaHatukwenda pamoja, yule mwanamke nilimpenda sana ila yeye hakuwa na upendo wowote kwangu, alijua khali yake, ila alifanya makudi, ameambukiza wengi na isingekuwa Mimi angeambukiza wengi zaidi, ila baada ya kumgundua nikamwambia ukweli kuwa TUMEPOTEZA but we can live happily tuoane, AKAKATAA, hivyo nilitangaza sana kwa watu wa pale kambini na vijana wengi walisalimika kwa kile nilichokifanya, japo yupo mmoja ndo alikuwa form six likizo, huyu aliambukizwa waziwazi. Iliniuma sana maana alikuwa kijana mdogo, natamani kungekuwa na sheria ya kuzuia hili, maana yule mwanamke alikuwa mtu mzma, ni aibu na huzuni sana kumfanyia vile yule dogo. Anyway baada ya watu kumsakama alijitundika. Hatunaye tena.
Ila ndio ilishapita na huyo Dada katangulia mbele ya haki.
Yote kwa yote nakupongeza sana kwa huo moyo wako kwa kweli Mungu akubariki