stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
acha nipate ngoma hapaTafuta Colombiana muvi utamuona akiwa mdogoView attachment 2991063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha nipate ngoma hapaTafuta Colombiana muvi utamuona akiwa mdogoView attachment 2991063
Tayari nini?Tayari
💯💯Wadudu wanaupita uzi kwa mwendo wa ngiri mkia juu.
Eneweiz kama hujazaliwa nao pole kwa mahangaiko ya dunia hii mkuu.
Kwa vijana kama huwezi kuacha ngono na unataka kupiga mbususu safely, tembelea vituo vya watoa huduma hospitali zote za serikali upatiwe dawa kinga(PREP) ni bure, hii itakusaidia kucheza mechi salama hata ukipiga nyama kwa nyama na muathirika.
Dj piga OCG ~ Ni kazeze.
Tunza afya kwa maendeleo ya Taifa.
Sawa dear,Hujanielewa madam..
Kama kaenda kutafuta maisha ni jambo la kawaida,ila kama kaenda kutafuta ukimwi basi ndio kwenyewe huko.X wangu ameenda kutafuta maisha mgodini namuonea huruma
Amin nakuambia..na wala sikutanii
OhooooX wangu ameenda kutafuta maisha mgodini namuonea huruma
Mshauri mkuu usimuache aangamieKuna jamaa tunakunywa nae pombe kila siku,wanaomjua wanasema ana ngoma,jamaa kajidhira kabisa,nadhani hata dawa hanywi yule.
Uzi wa Hornet ulileta balaa. Noma sana.Miaka ya kama 4 hivi kuna mwanadada aliandika uzi humu kuconfess anaumwa ni mfanyabiashara na members wengi wa humu alikuwa anafanya nao biashara ya vipodozi .
Ngoja niutafute nione kama bado upo maana watu walipoteana kwenye kutoa comments sana..
Tumia dawa, achana na hao mitishamba walikua wapi kipindi watu wanakufa kabla arv hazijajaAkhsante kwa ushauri mdogo Angu🙏😎
Tumia dawa, achana na hao mitishamba walikua wapi kipindi watu wanakufa kabla arv hazijaja
Usiniambie habari za kupanic weee😂 kupanic lazimaNaelewa ni uhuni na upigaji, wakiiteka akili yako lazima wakufirisi, that's why I told you hutakiwi kupanic
Ukipanic umeisha, we hata ukiupata chukua hela nenda Serena hotel tuliza mawazo hata wiki, then come and face the reality.😂 anyway wacha nipeleke gari yangu kwa fundi maana haiponi duh sijui kuna ukimwi wa magari?Usiniambie habari za kupanic weee😂 kupanic lazima
Kwahiyo ulifungua uzi kutusema tusiokua na magari kumbe wewe mwenyewe una kagari kamoja.Ukipanic umeisha, we hata ukiupata chukua hela nenda Serena hotel tuliza mawazo hata wiki, then come and face the reality.😂 anyway wacha nipeleke gari yangu kwa fundi maana haiponi duh sijui kuna ukimwi wa magari?
Kaka umeongea kishujaa sana tena mno sana ukimwi ni hatar achana na hawa wanaosem ukimwi ni kama malaria hawajashuhudia ila kwa tulio wahi kuona wagonjwa hawa ni hatar mno kuna mama mmja alikuwa bonge la mtu mwili nyumbaMimi ukimwi ni nimepima sina ila sitosahau
Jinsi nilivyoshudia ukimwi ukitekeleza mauji ya mtu nilimpenda sana MAMA ANGU MZAZI TENA DAKTARI ALIKUWA
Mama angu alikuwa yupo hapo wilaya inaitwa mafinga huwa kuna ukimwi sana tulihamia mwaka 1996 kutoka dar es salaam kwa miaka mingi nilishuhudia vifo vya majirani walivyokuwa na ukimwi sababu mama alikuwa daktar wengi walikuwa wakija nyumbani kutibiwa na kupewa ushauri miaka ile ya 90s hadi 2000s mwanzoni
2010 na kumi nikahama jumla mafinga na kuja dar kutafuta maisha baada ya kumaliz masomo yangu ya degree .....2013 tukamzika babangu mzazi ambae alichana na mama mama angu mwaka 96 sasa baada kutoka msibani nikamuuliza mama huyu baba kafa kwa HIV vipi ww utakuwa mzima akanijibu mimi ni mzima mwanangu
2016 nilikuwa na safari kwenda china kwa ajlii ya business zangu nikarudi mafinga kwenda kumuaga sasa alinituma kitu nikachukue chumbani kwake naingia nakuta ARV kitandani moyo wangu ulisononeka sana nakumbuka nililia sana ila mama angu akasema usilie ni jambo la kawaida nakumbuka akiniangalia kwa macho ya aibu huku pia akijikaza sababu alinipenda sana koz mimi wa mwisho kwetu
2020 kipindi ch korona mama angu mzazi anapapalaizi baada ya kupigwa stroke for two years anakuwa kitandani
2022 mama angu anaingia deadliest stage ya Ukimwi AIDS..Hapa sasa ndo nilijua ukimwi mbaya alitokwa na vidonda mgongo mzima sababu alikuwa kapalalaize hivyo bed sores zilimuandama sana.....wewe anakonda ....mno kumbuka mimi hapo miaka hiiyo mitatu natumia hela zngu binafsi nilitumia zaidi millioni 30 hadi niliyumba kidogo kiuchumi sababu ya kuuguza mgonjwa safari za magari dawa kwenda rufaa mara week nyumbani mwezi hospital ...mara hali hadi mipira mara awe kichaa mara awe mzima nyie ukimwi balaa stage ya mwisho ile
2022 machi hali inakuwa mbaya mgonjwa ni amepalalaize mwili umebaki kichwa tu....vidonda kila kona ndugu zake wananyanyapa yaani ilibidi nimkodi nesi wa kike anisaidie kazi kusafisha vidonda kila siku 20000tsh....... then mach 2022 mama akafariki .....taarifa ya kufAriki kwakwe ilinikutia bar nikiwa na marafika zangu nilikaa kimya
Nilirudi nyumbani nikasema pole na mama angu nilikupenda sana bora umekufa kuliko ulivyokuwa unateseka maana mgongo ulikuwa kama nyama buchani hakuna ngozi......
Nikasema nitakukumbuka daima na kukupenda daima then nikalala zangu nikatafuta dereva wa kuniendesha hadi mafinga iringa nikampa laki mbili nikajaza mafuta tukaondoka .....njiani nae dereva nusu aniue pale kitonga anasisinzia nikamwambia unajua mimi naenda msibani afu unaleta usengeee ...nikachukua chuma mwenyewe nikaendesha hadi mafinga
2022 machi 25 tukamzika mama angu mzazi msibani nilikuwa nauchungu kuwa sito muona tena ila kifo sometimes ni muhimu kwa mateso aliyoyapata kifo ilikuwa bora kuliko kuishi .....maana miguu mgongo ilikuwa ni nyama za buchani tu
Hadi leo hii hakuna siku inapita simkumbi mama angu mzazi
So wagonjwa wa ukimwi mezeni dawa pia hakikisheni vizuri
Pia serikali iweke sheria kwa hospital au madaktar kuwaua kwa maksudi kwa agizo la mgonjwa mwenyewe endapo stage aliye fikia hawezi pona maana inakuwa ni mateso sio kuumwa ....hasa kwa wagonjwa wa kansa mara nyingi madaktar hujua kuwa flan haponi wanabaki wanazuga tu na mgonjwa anateseka bure na maumivu makali yasio na mwisho.....
Kwa nini unasema huwez kupata coz kuna njia nying za kupata ukimwi sio lazima kufanya mapenzi tu ndio utapataBinafsi huu ugonjwa kamwe siwez upata...Narudia tena siwez upata..lakin kwa mlio nao sio ugonjwa wa kutisha kero kwenye kumeza dawa...usipate sukari...cancer au figo zifeli alafu dailisis ije...NB wagonjwa wote hapo nimeshawauguza kwa gharama zangu bila kuchangiwa au serikali kutia mchango wake....ikitokea nimecomment uzi wa mwana jamii forum yeyote tuheshimiane...na sio mwajiriwa mimi hata bima zenyewe kwenye hayo magonjwa zinadunda...nipo blw 33 years...na katika hao nilio wauguza mwenye ukimwi ndio yupo owk mpaka sasa tna na TB ilimpiga akawa wa kesho au masaa afariki..but ukimuona now...aisee kuwen makini
Acha umalaya, utakuwa unafanya kazi ya kupima kila siku?Nilishapima huu mwaka ulipoanza, wiki hii nitaenda tena
Mungu anisaidie.