Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Aisee nimekuelewa mkuu ila kuhusu sheria ipo wazi kwamba kumuambukiza mtu ukimwi kwa makusudi ni kosa kisheria huyo dogo wa form six angeweza kufungua kesi ingewezekana kabisa
Ila ndio ilishapita na huyo Dada katangulia mbele ya haki.
Yote kwa yote nakupongeza sana kwa huo moyo wako kwa kweli Mungu akubariki
 
Kaka Mimi sio advertiser, lakin jaribu kumcheki Docta Tr Msigwa akutibu kwa 100% then kacheki VIRAL LOAD then ishi, ARV zitakuletea madhara apo baadae mkuu
 
Na waume wengi tukiotulia tunaletewa na Wake wanaorukaruka nje
Kweli kabisa ukitulia mwenza wako anaeruka analeta ila sio sana sababu wanaume hawachubuki sana ubaya mpaka maji maji ya wanaume mbegu zinaweza kukupa virusi kama hajaanza kutumia ARV
 
The issue is watu wahawezi kujitolea kushtaki, that's why hakuna case kama hiyo. But ni haki, na anastahili kuadhibiwa mtu amuambukizaye mwenzie makusudi.​
 
Akhsante kwa ushauri mdogo Angu🙏😎
Kaka Mimi sio advertiser, lakin jaribu kumcheki Docta Tr Msigwa akutibu kwa 100% then kacheki VIRAL LOAD then ishi, ARV zitakuletea madhara apo baadae mkuu
 
Unapimaje ugonjwa ambao unajua kabisa auna dawa?
 
Reactions: Tsh
Dada naomba nisaidie kazi tu nitakushukuru sana
 
Nakubali kabisa, hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu. Amen
 
Wadudu wanaupita uzi kwa mwendo wa ngiri mkia juu.

Eneweiz kama hujazaliwa nao pole kwa mahangaiko ya dunia hii mkuu.

Kwa vijana kama huwezi kuacha ngono na unataka kupiga mbususu safely, tembelea vituo vya watoa huduma hospitali zote za serikali upatiwe dawa kinga(PREP) ni bure, hii itakusaidia kucheza mechi salama hata ukipiga nyama kwa nyama na muathirika.

Dj piga OCG ~ Ni kazeze.
Tunza afya kwa maendeleo ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…