Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

💯💯
💯💯
 
X wangu ameenda kutafuta maisha mgodini namuonea huruma
 
Kuna jamaa tunakunywa nae pombe kila siku,wanaomjua wanasema ana ngoma,jamaa kajidhira kabisa,nadhani hata dawa hanywi yule.
 
Usiniambie habari za kupanic weee😂 kupanic lazima
Ukipanic umeisha, we hata ukiupata chukua hela nenda Serena hotel tuliza mawazo hata wiki, then come and face the reality.😂 anyway wacha nipeleke gari yangu kwa fundi maana haiponi duh sijui kuna ukimwi wa magari?
 
Ukipanic umeisha, we hata ukiupata chukua hela nenda Serena hotel tuliza mawazo hata wiki, then come and face the reality.😂 anyway wacha nipeleke gari yangu kwa fundi maana haiponi duh sijui kuna ukimwi wa magari?
Kwahiyo ulifungua uzi kutusema tusiokua na magari kumbe wewe mwenyewe una kagari kamoja.
 
Kaka umeongea kishujaa sana tena mno sana ukimwi ni hatar achana na hawa wanaosem ukimwi ni kama malaria hawajashuhudia ila kwa tulio wahi kuona wagonjwa hawa ni hatar mno kuna mama mmja alikuwa bonge la mtu mwili nyumba
Kumbe amepata ngoma alafu akawa anagawa kwa vijana wadogo yaani ukiona tako hutoki sio powa siku hazigandi chuma ikaanza kumla imemla mtu wa kilo 110 kwenda juu akabaki kilo25 nilishangaa sana mpk kutembea mtaani anaona aibu anajificha yaani kapukutika kabaki mifupa mifupa anakohoa kama mbuzi nywele zimenyonyoka kama kinda la ndege nyie acheni kabisa
 
Kwa nini unasema huwez kupata coz kuna njia nying za kupata ukimwi sio lazima kufanya mapenzi tu ndio utapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…