Uzi maalumu kwa watu wenye UKIMWI

Ulipokuta uko fresh uliendelea nae au
 
Same here
 
Nimependa hii guts, kujitambua na kujikubali, wengi wetu hili huwa tatizo kubwa na ndio matokeo ya kufupisha saafr yetu ya maisha.

Mungu akubarik sana, hili ulilolifanya ni funzo kwa sisi wengine ambao hata kujua tu health status zetu ni mtihani mkubwa!
 
Miaka ya 90 ulikuwa wapi kutoa hizi kauli zako, wakati ambapo watu walikufa na kilo kumi wewe ulitoa mchango gani kupunguza vifo?

Msidanganye watu wakati hamuwezi chochote.
 
[emoji477][emoji477]chai
 
Ukimwi ni contact ya damu
Hujaweka sawa maelezo yako kwa hiyo watu wakinyaduana na kuchubuana bado hawatapata Ukimwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…