King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sawa, tuwe makini. HIV ipo
Wanatumiaga PEP ndo maana wanajiaminiKinachosikitisha ni kwamba wanawake hawaogopi kabisa UKIMWI ,wao wanazingatia maokoto tu.
Yaani wanakwambia magonjwa ya kuogopa ni cancer,kisukari,pressure etc kama walivyoambiwa na AGgrey Pita Kule.
Wanatumiaga PEP ndo maana wanajiamini
Dah dogo janja janjaro tulimuonya. Mkono wa nyani ni hatareeDuuh hatari sana kwa kweli.
Kuwa makini ndglinda tundu la mkojo lisigusane na utelezi (mucous membrane) alafu usinyoe na wembe utajikata then utelezi ukigusa pale wanapenya mpaka ndani...kama hauna C ya BIOS huwez elewa
Hehe yan mzabzab natamanigi nione sura yk inafananaje usikute inafanana na mkuyeng...🙆😀Mbususu tamu na condom uondoa utamu
Mjoo pm nikupe pocha yangu. Ukiiona sura yangu nakwambia utashangaaHehe yan mzabzab natamanigi nione sura yk inafananaje usikute inafanana na mkuyeng...🙆😀
Hiyo Right Temp, ph na amount ni ipi? Mwenzio anaweka facts zote wazi na sababu zake wewe unasema righ, bla bla bla then unalazimisha watu wakuafiki.Kweli wewe bichwa tupu.....HIV Virus ni fragile virus .....hivyo ni ngumu kupata n akikupata ni ngumu kutoka naamini una fahama maana ya neno PH
So hiv virus ili kumpata mtu vifuatavyo vinaitajika
1 . Right Ph
2.right temperature
3.right amount of hiv virus
So haya yote lazima yawe sahihi ndo kinaweza kwenda kwa mtu mwingine ndo maana flagile virus yaani ni rahis kufa kikowa nje ya mazingira yake sahihi
Tofauti ni virus kama vya covid ....au virus vya red eyes mfano tu..
Wataalam virology wanajua sana pia experties wa HIV ila wajinga kama wewe huwa mnapotosha jamiii
Asante sana. Jilinde ña uwalinde uwapendao HIV ipo.Mkuu hongera kwa kuushinda ukimwi...kama umeweza kuukubali basi umeushinda. .
Wengine tumepenya penya kwa neema za Mungu mpk leo hatuna ni jambo la kumshukuru Mungu sio kwa nguvu zetu...
Huu uzi sijawahi kuuona daah
Hongera mkuu kwa ujasiri lakini pia binafsi nimeona watu wenye virusi vya ukimwi ambao wameishi muda mrefu tu. Na kuna wengine waliofariki kipindi ambacho elimu na huduma za afya hazikuwa kama sasa. Kwa hiyo naelewa virusi vyaweza kuonekana kama ugonjwa mkubwa sana lakini ni ugonjwa wa kawaida haswa kutokana na miundombinu ya afya kwa sasa.
Pia nina young brother ambaye nilikutana nae humu mwenye situation kama yako lakini yupo powerful na ananipa inspiration ya maisha sanaa.
Natumai ipo hivyo kwa upande wako pia. Mungu azidi kukuimarisha kaka
Afya ni mtaji. JilindeIla sikuhiz wanaokufa Wanakufa na kilo zao tele sio mifupa tena. Ndio maendeleo yaliyofikiwa mpk sasa.
Kwa kadri yangu na kudra zake 🙏🏽Naamini unajilinda, asante
Vizuri! Kwa jinsi hali ilivyo unaweza fikiri hakuna HIV mpaka pale utakapoipata ndo utajua IPO na inaua ndoto za vijana wengi. Kama hujaathirika jilinde SANA.Kwa kadri yangu na kudra zake 🙏🏽
Shida siyo kumeza dawa, shida kuipata hiyo dawa. Maana ni siku maalum na ukifika hospitali kuna sehemu maalumu ya kuchukua hizo dawa. Hebu imagine siku ya kwanza kuhudhuria clinic, watu utakao kutana nao paleAcha kabisaaa, huu ugonjwa shida yake ni kumeza dawa kila siku duh!!!
Sio lazima uende hospital unayojulikana, wengi huchagua hospital za mbali kidogo walau kulinda faragha.Shida siyo kumeza dawa, shida kuipata hiyo dawa. Maana ni siku maalum na ukifika hospitali kuna sehemu maalumu ya kuchukua hizo dawa. Hebu imagine siku ya kwanza kuhudhuria clinic, watu utakao kutana nao pale
Mungu atasaidia kwa uwezo wake na mimi nitafanya kwa uwezo wangu maana si kila aliyeupata au akajipata kwenye majanga makubwa zaidi hakujilinda. Sometimes ni maisha tuVizuri! Kwa jinsi hali ilivyo unaweza fikiri hakuna HIV mpaka pale utakapoipata ndo utajua IPO na inaua ndoto za vijana wengi. Kama hujaathirika jilinde SANA.
Pole sana mkuuTukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini?
Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya mgodini, na kugundulika kuwa nina maambukizi, taarifa hiii ilikuwa mbaya sana kwangu ila baada ya hapo nilizoea na sasa naishi vyema kwa matumaini.
Twambie wewe mdau ulijisikiaje?
NB: Tutumie lugha safi yenye staha, tusibaguane wala kunyayapaana.
Akhsante.