King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sawa, tuwe makini. HIV ipo
Kinachosikitisha ni kwamba wanawake hawaogopi kabisa UKIMWI ,wao wanazingatia maokoto tu,na hao ndiyo chanzo cha kusambaza grid kwa fujo ,Demu mmoja anaweza kusepa na kijiji cha watu hata 10.
Yaani wanakwambia magonjwa ya kuogopa ni cancer,kisukari,pressure etc kama walivyoambiwa na AGgrey Pita Kule.