Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweliKitokacho kwa Mungu hakipotei kirahisi
Hongera sana. Kikubwa ni maombi🙏 I keep mine in prayers daily. Naona bado haitoshiMi niko vizuri kwenye ndoa yangu na man of God
hebu ngoja nikutumie ambayo natumiaNiliona muda mwingi haipo hewani nikaifutaga aisee🥹🥹🥹🥹
Huu uzi auone UMUGHAKAKama upo kwenye ndoa na unafurahia, basi huu uzi unakuhusu ili tuweze kubadilishana uzoefu wa namna gani ya kuishi na wenza wetu kwa furaha. Kupitia maoni mazuri yatakayotolewa hapa inawezekana tukawavuta wa wale ambao hawataki kuoa/kuolewa.
Karibuni sana
tuliambiwa tuoe/kuolewa ili tupate utulivu wa nafsi, mimi ever since nimeolewa nikawa namwambia mume hivi tulichelewa wapi, ndoa yenye amani ujue na Mungu yupo, watu wanachukulia tu vitu juujuu, ukiiheshim ndoa ukaitumikia utayaona matunda yake,Hakika, hata dunia iumbwe tena, wakisema tukatafute wengine sijui wawe na nini. The bar is set too high. Wanaume wapendeni wake zenu jamani kuna guilt huwa inatupata when a man is too caring hutamani hata kuuliza makosa if you find one. Ndoa ni furaha ndoa ina afya
Natamani amani hii iishi milele. Kama hakuna sababu ya ugomvi basi bora kukaa kimya. Hongera kwa kuwa na ndoa njema. Mungu azidi kuwafungulia herituliambiwa tuoe/kuolewa ili tupate utulivu wa nafsi, mimi ever since nimeolewa nikawa namwambia mume hivi tulichelewa wapi,ndoa yenye amani ujue na Mungu yupo, watu wanachukulia tu vitu juujuu, ukiiheshim ndoa ukaitumikia utayaona matunda yake,
Nakupenda pia mke wangu umetambua utu na thamani yanguHuyu mwanaume, kila siku iendayo kwa Mungu namuangalia nisijue nifanye lipi la ziada ili tuzidi kudumisha huu upendo. Natamani nifikie level za mambo anayonifanyia najiona kabisa sifit...
Acheni uongo wanawake,,, nyie kuweni wakweli kwamba " ndoa ni ajira ya kudumu kwa mwanamke"Ndoa ni nusu ya Dini
Ndoa ni Furaha
Ndoa ni Amani
Ndoa ni Faraja
KUBALI NDOA
#OLEWA/OWA
Mimi hio ndio natumia sikai na jambo rohoni na wala hakai na jambo rohoni naweza nisimwambie ana kwa ana lakini nikamtumia kitabu kwenye msg na mtu anajua kweli nimeharibu sio kwa gazeti hili na maisha yanaendelea.Ila kubwa nililojifunza kwenye ndoa ni msiwe na vinyongo. Ni sumu kubwa sana. Inatengeneza chuki ya chinichini siku viki erupt unasema hee huyu kamuuaje mwenzake hivi...
ajira howAcheni uongo wanawake,,, nyie kuweni wakweli kwamba " ndoa ni ajira ya kudumu kwa mwanamke"
aamyn, atufungulie heri sote halaf mkishakua wazazi yale mapenzi mnayahamishia kwa watoto jinsi wanaona mnavyoongea bila kukwaruzana mnataniana watoto unawaweka sawa akili zao kuliko nyumba yenye malumbano watoto hukosa amani,Natamani amani hii iishi milele. Kama hakuna sababu ya ugomvi basi bora kukaa kimya. Hongera kwa kuwa na ndoa njema. Mungu azidi kuwafungulia heri