Mkuu uzi.mzuri huu,
ILA NDOA ZINA MAJIRA YOTE KAMA MZUNGUKO MWAKA MZMA MASIKA KIANGAZ N.K
Kiukwel mimi nimekuw naptia nyakat hzo za kuw na amani na furah kbsa ndan ya familia yangu kuna wakat mambo hubadilika kbs lakn mambo huw mabaya kwa kipnd kichache sana ambacho hakivuk mwezi.
Uzoefu kwangu na kwa wazee watu wa karbu mimi nimepat shida hasa mwanamke wangu alipopata mimba ya pili (ya mtoto wa kiume ) na kipnd cha kunyonyesha wanawake wanakuw na wivu ambao unawez kuwajumbisha sana
Ili ufanikiwa kama mwanaume hakiksha unasimama na mkeo nyakat zote ngumu na kutatua changamoto zote za kiuchumi au kuonyesha unafanyia kaz mambo muhm na usiwe mtu wa kukimbia Majukum yako kila wakat ,
Mwanamke anapend kusikilzwa pia Tumia akili sana kumpnga usiyokubaliana nayo lakn kubali yale ambayo unaona mawazo yake ambayo hayana nguvu sana yaan unawez kufanya na maisha yakaendelea
Muonyesh unampenda mkeo na kumjali muonyeshe akivuka mstari mwekunde unauwezo wakufanya maamuz ya kiume lakn usimuonyeshe wivu wa kitoto au kumchunga chunga na kumpenda sana
Msaidie Majukum ya nyumbn madogo madogo madogo , vua nguo zako ikibd , msaidie watoto wako wapelek shule , hospital klinik na hata kufatilia home work zake
Jitahid kusimamia mkeo jua mkeo ni zaid ya mtoto lolote analofanya mpe moyo mshauri muelekez hasa dunia ya sasa unawez kuta mkeo ana mambo fulan kiasi ni binafs kazi/ajira anasoma anasaidia Majukum fulan kwao
Msimamie na mpe uHuru
HAYA MAMBO YANAWEZEKAN KWA MWANAMKE TUU ALIE LELEWA KWENYE MAADILI NA AMBAE AJALI MAISHA SANA YA KUKAA NA WAMAMA WA MITAANI AMBAO WAO KAZI YAO NIKUTAKA KUELEZEA YA KWAO ILI YEYE AIGE AKULETEE NDAN YA NYUMBA YAKO
View attachment 2522528