Heart_Throb
Senior Member
- Apr 25, 2017
- 113
- 50
Yani hapo inakuwa nalipa riba ya Tsh 450,000/= kila mwezi?Mkuu labda ukope kwenye institution ya fedha. Tunakopesha kwa riba ya 15% kwa hiyo kwa mwezi hiyo mil 3 inazalisha 450,000. Kwa mwaka inakuwa imezalisha zaidi ya 5 mil. Ni ngumu.