mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Dhamana yako nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hakunaga riba ya asilimia 20% kwa mwaka, hiyo ni kwa mwezi. Wanaita reducing balance kwa mwaka.Habari?
Natafuta Mkopo wa Tsh Milioni 3 riba isizidi asilimia 20% kwa mwaka.
Msaada tafadhali.
Asante.
Saccoss lazma uwe mwanachama mwny akiba ndipo ukopeshweHiyo kwa mwezi ndo sitakuwa na uwezo nayo nilihitaji kwa mwaka ndo 20% Labda hiyo Saccoss samahani naweza pata wapi kama unazifahamu?
Inachukua muda gani mpaka kupatiwa mkopo ukishajiunga?Saccoss lazma uwe mwanachama mwny akiba ndipo ukopeshwe
Nimfanyakazi pia naweza weka kiwanja changu kama zamana.Dhamana yako nini mkuu?
Mmmh;huku muda mrefu mkuu bora benki kama nmb 3_7 days,ABC within 3daysInachukua muda gani mpaka kupatiwa mkopo ukishajiunga?
Asante ndg subir j3 ntaenda kufatiliaMmmh;huku muda mrefu mkuu bora benki kama nmb 3_7 days,ABC within 3days
Uje na feedback kwa faida ya wengneAsante ndg subir j3 ntaenda kufatilia
Unaweka nn kama bond?Habari?
Natafuta Mkopo wa Tsh Milioni 3 riba isizidi asilimia 20% kwa mwaka.
Msaada tafadhali.
Asante.
Poa kiongozi ntafanya hivoUje na feedback kwa faida ya wengne
Nimfanyakazi nuliye ajiriwa pia Naweka kiwanja changu kama dhamaniUnaweka nn kama bond?
Unaweza ukatusaidia jina lake...Kuna saccos ipo dar ni nzuri sana waanakipesha kwa riba ya 10% kwa mwaka
Sharti uwe mkazi wa dar na unaruhusiwa kukopa baada ya miezi mitatu na unakopa mara tatu ya akiba yako...ni sacoss ya kanisa atakaehitaji jina pmUnaweza ukatusaidia jina lake...
Naomba namba za simu za hiyo Saccoss niwatafute kiongozi..Sharti uwe mkazi wa dar na unaruhusiwa kukopa baada ya miezi mitatu na unakopa mara tatu ya akiba yako...ni sacoss ya kanisa atakaehitaji jina pm
40% is too muchmhh sikuhizi ni riba 40% hutaki unaacha kukopeshwa
Duuuh hii noma sana ayseemhh sikuhizi ni riba 40% hutaki unaacha kukopeshwa