mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
- Thread starter
- #181
Amina mpendwa barikiwaBwana Yesu asifiwe wapendwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mpendwa barikiwaBwana Yesu asifiwe wapendwa
Ubarikiwe na wewe mpendwa kwakuifanya kazi ya BwanaAmina mpendwa barikiwa
Amen
View attachment 3121418
Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.
MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;
Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.
Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.
Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
14/10/2024
Nawaombeni radhi Kwa ukimya wa siku mbili tatu hizi maombi mazuri siku zote hayakosi changamoto tuzidi kuombeana aidha Kwa Wana watsup tuzidi kujisajili... Tukutane muda wa maombi ya moto ! Usibaki nyuma!
15/10/2024 post#114 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
16/10/2024 post no 23 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 18/10/2024
Page #140 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 19/10/2024
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Post #144
Leo 21/10/2024
Leo 23/10/2024Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Zaburi 90:14 Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote. Psalm 90:14 Oh, satisfy us early (in the morning) with Your mercy (steadfast love), That we may rejoice and be glad all our days! Amina nyingi mtumishi mjoli wa bwanawww.jamiiforums.com
Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Zaburi 90:14 Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote. Psalm 90:14 Oh, satisfy us early (in the morning) with Your mercy (steadfast love), That we may rejoice and be glad all our days! Amina nyingi mtumishi mjoli wa bwanawww.jamiiforums.com
AmenView attachment 3126078Amkeni katika maombi. Mstari wa kusimamia 2 nyakati 7:14 " ikiwa watu wangu, walioitwa Kwa jina langu, watajinyenyekeza na kuomba na kutafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya,n basi nitasikia Toka mbinguni na kuwasamehe dhambi Yao na kuiponya nchi Yao."
Asubuhi hii tunaalikwa na Baba kwenda mbele zake Kwa unyenyekevu na kuomba, Bwana atasikia kutoka mbinguni. Tafakari mstari huu Kwa utulivu Kisha tuingie katika maombi.
AmenInuka na uangaze kupitia maombi muda huu. Tuombe juu ya familia na ndoa zetu.
Baba katika Jina la Yesu, tunazileta ndoa zetu mbele zako. Wewe ndio uliyemuumba Adam, ukamuumba na Hawa, halafu ukawakutanisha, ukawaunganisha. Hakuna kufika kwa Hawa bila kufika kwako kwanza. Hakuna kufika kwa Adamu bila kufika kwako kwanza (Mwa 2:22). Basi Bwana Mungu, kwa kutambua hili tupe kujua muunganiko wetu ni imara ikiwa tu wewe ndo uko katikati yetu, juu yetu, pembeni yetu, mbele yetu, nyuma yetu. Wewe ni yote katika yote.
Tunaombea kubebana katika madhaifu yetu. Tupe kuelewa mapendeleo ya wenza wetu na ondoa mbegu za ubinafsi ndani yetu. Wewe PEKEE ndie unaeweza kumbadilisha mwanadamu, tunaiomba amani ipitayo fahamu zote ipate kuhifadhi mioyo yetu ili kubeba interests za wenza wetu ili tusiamshe magomvi ndani ya familia kisa kutopendelea mwenza mmoja anachofanya. Tunaomba mtazamo mpya juu ya interest za wenza wetu ambao utatuongoza namna ya kufikiri, kuomba na kuyabeba mambo wanayopendelea ili tu TUSIUMIZWE na petty things zitakazoharibu mahusiano yetu na wewe Mungu wetu.
Lakini pia tunaomba juu ya past relationship ambazo tulishakuwa nazo na zinaleta trauma katika ndoa zetu za sasa. Tunavunja kila muunganiko wa kale from any past relationship iwe ulikuwa mzuri au mbaya, spiritual tie yoyote, emotional tie yoyote, ivunjike hiyo nira katika Jina la Yesu. Kwakuwa tumeamua kuwa pamoja kwa mapenzi yako wewe ulietukutanisha basi hayo ya kale YAMEPITA sasa tumekuwa wapya katika Kristo. Tunaandikwa na wino usiofutikwa wa Roho Mtakatifu na tunasonga mbele katika kuyaendea mapenzi yako katika ndoa zetu.
Tunafuta neno kutengana, talaka, nimechoka nataka kuondoka, I give up, from mioyo yetu na ndoa zetu. Kama tuliapa kwamba kifo tu kitutenganishe basi NENO HILO TU LIKASIMAME katika maisha yetu ya ndoa. Tusaidie tuwe mfano bora kwa watoto wetu ili baadae waje kuwa watu bora katika jamii na taifa kwa ujumla. Tunaomba hekima ya namna ya kufanya maamuzi ili tusikosee kamwe.
Tunayo mengi ya kuomba baba lakini kwa ujumla tunakabidhi ndoa zetu kwako be our LORD AND MASTER. Lastly, tuokoe na KILA neno baya na kutuhifadhi hata tufike kwenye ufalme wako wa mbinguni (2Tim 4:18). Ni katika Jina la Yesu, tunaomba na kupokea kwamba yamekuwa yetu...AMEN.