Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Zaburi 119:62
Katikati ya usiku nitaamka nikushukuru,
Kwa sababu ya hukumu zako za haki.
At midnight I will rise to give thanks unto thee because of thy righteous judgments.

Matendo ya Mitume 16:25-26
[25]Lakini panapo usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.
And at midnight Paul and Silas prayed, and sang praises unto God: and the prisoners heard them.

[26]Ghafula pakawa tetemeko kuu la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika, na mara hiyo milango ikafunguka, vifungo vya wote vikalegezwa.
And suddenly there was a great earthquake, so that the foundations of the prison were shaken: and immediately all the doors were opened, and every one's bands were loosed.
 

View attachment 3121418

Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.

MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;

Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.

Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.


Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
14/10/2024
Nawaombeni radhi Kwa ukimya wa siku mbili tatu hizi maombi mazuri siku zote hayakosi changamoto tuzidi kuombeana aidha Kwa Wana watsup tuzidi kujisajili... Tukutane muda wa maombi ya moto ! Usibaki nyuma!
15/10/2024 post#114 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

16/10/2024 post no 23 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 18/10/2024
Page #140 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 19/10/2024
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Post #144
Leo 21/10/2024
Leo 23/10/2024
Screenshot_20241004-194827.jpg
 
Asante Mungu kwa kutupa nafasi ambayo wengi wameikosa, tunashukuru kwa kuwa wazima tena tunaomba, ulinzi wako ukawe nasi tuweze kuimaliza siku hii salama, ukatushindie vita vya kiroho na kimwili dhidi ya maadui zetu, maana kwa nguvu zetu dhaifu hatuwezi chochote, tunaomba uwepo wako katika kila hatua zetu za kila siku, tukiomba hayo machache kupitia jina la mwanao Yesu kristo AMINA
 
Tunakushukuru kwa siku hii, kwa urafiki tunaoshiriki na wema mwingi wa mkate tunaomega pamoja. Mungu wa wema wote, tunaomba kwa shukrani kwa uwepo wako kati yetu tunapokusanyika pamoja, na ahadi yako ya kuwa nasi sasa na daima. AMINA
Zaburi 69 :30
italisifu jina la Mungu kwa wimbo,
Nami nitamtukuza kwa shukrani.
 

View attachment 3121418

Ndugu watanzania kupitia Uzi huu nitakuwa Kila siku Alfajiri ninatuma mstari maalumu wa maombi Kwa wale waombaji wa asubuhi. Ufunguapo Uzi huu kuanzia saa nane kamili usiku utakutana na maneno yatakayokuongoza na kuchochea nguvu ya maombi.

MSTARI WA KUSIMAMIA
Zaburi 90:14 " Utushibishe Asubuhi kwa fadhila zako. Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote"
LUGHA;

Tunaomba Uzi huu uchangiwe Kwa Lugha nzuri yenye staha ili kuwasaidia wapenzi wa maombi ya Asubuhi kupata sehemu ya kutumiana jumbe na kuombeana. Haitakuwa busara kama hauamini katika maombi ukatukana au kukashifu jambo linaloweza kusababisha Uzi kufungwa.

Mbarikiwe na karibuni kwenye Uzi huu maalumu kwaajili ya maombi ya Asubuhi.


Asubuhi ya Leo 10/10/2024 post #13 au bofya hapo chini kupata mstari wa leo
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

Leo 11/10/2024 post #49
Bofya kiungo hapo chini kwaajili ya maombi ya leo.
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

New. 11/10/2024
Kwa watakao penda kupokea ujumbe wa maombi mstari wa KUSIMAMIA Kwa njia ya Text za kawaida ama watsup. Ni vyema tutawasiliana PM Kwa mujibu wa sera ya faragha ya Jf. Pia kuanzia Jumatatu ijayo yaani 14/10/2024 tutakuwa na watsup group mahsusi Kwa maombi. Kwa wenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mbarikiwe
14/10/2024
Nawaombeni radhi Kwa ukimya wa siku mbili tatu hizi maombi mazuri siku zote hayakosi changamoto tuzidi kuombeana aidha Kwa Wana watsup tuzidi kujisajili... Tukutane muda wa maombi ya moto ! Usibaki nyuma!
15/10/2024 post#114 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri

16/10/2024 post no 23 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 18/10/2024
Page #140 Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Leo 19/10/2024
Post in thread 'Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri' Uzi maalumu kwaajili ya maombi ya Alfajiri
Post #144
Leo 21/10/2024
Leo 23/10/2024
Ubarikiwe kuanzisha uzi mzuri sana...
 
Kesho tutakuwa na maombi ya kupata hakikisho la ulinzi wa Mungu

Kuna jambo nataka niseme na nyie wapendwa unapokuwa wewe mwenyewe faragha katika maombi ya usiku kama una jambo kwa muda mrefu halipati majibu anza sasa Leo kuomba kwa msisitizo neno moja ombea hata kwa mara kumi utaanza kuona matokeo Kuna ufahamu Mungu atauachilia kwako utapata urahisi wakutatua changamoto yoyote

Kwa wewe ambaye ukilala unatoa ndoto mbaya za shetani zile ndoto za kuota upo shuleni,unakula,unakimbizwa, unaingiliwa kimwili nk
anza kuomba hivi kwa msisitizo
"Kazi zote za shetani maishani mwangu nazikanyaga kwa damu ya Yesu"
"Mipango yote ya shetani naikataa kwa damu ya Yesu "

Omba hivi rudia ata mara 10 ukiwa katika Roho na kweli utaanza kuona matokeo

Tumepewa amri yakuharibu kazi za shetani
Luka 10:19
Zaburi 44:5
Zaburi 91:13

Kama umeota ndoto usiku ukawa haujaielewa ukiamka katika maombi muulize Roho Mtakatifu ndoto hiyo inamana gani Mungu atakupa majibu

Ndoto ni lango na ndio mana imeandikwa hivi

Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Bwana Yesu awabariki sana
 
Kesho tutakuwa na maombi ya kupata hakikisho la ulinzi wa Mungu

Kuna jambo nataka niseme na nyie wapendwa unapokuwa wewe mwenyewe faragha katika maombi ya usiku kama una jambo kwa muda mrefu halipati majibu anza sasa Leo kuomba kwa msisitizo neno moja ombea hata kwa mara kumi utaanza kuona matokeo Kuna ufahamu Mungu atauachilia kwako utapata urahisi wakutatua changamoto yoyote

Kwa wewe ambaye ukilala unatoa ndoto mbaya za shetani zile ndoto za kuota upo shuleni,unakula,unakimbizwa, unaingiliwa kimwili nk
anza kuomba hivi kwa msisitizo
"Kazi zote za shetani maishani mwangu nazikanyaga kwa damu ya Yesu"
"Mipango yote ya shetani naikataa kwa damu ya Yesu "

Omba hivi rudia ata mara 10 ukiwa katika Roho na kweli utaanza kuona matokeo

Tumepewa amri yakuharibu kazi za shetani
Luka 10:19
Zaburi 44:5
Zaburi 91:13

Kama umeota ndoto usiku ukawa haujaielewa ukiamka katika maombi muulize Roho Mtakatifu ndoto hiyo inamana gani Mungu atakupa majibu

Ndoto ni lango na ndio mana imeandikwa hivi

Waefeso 6:12
Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Bwana Yesu awabariki sana
Kaka ubarikiwe
 
Haya hiyo ni nini? Ni uenda wazimu kubishania imani ya mapokeo, dini ziko nyingi sio uislamu na ukristo au Uyahudi tuu bali kuna zingine kama Budha na huwasikii wakileta mabishano.
Kila mtu aamini atakacho tusilazimishane maana mwishowe ni kuchakazwa kama kule Gaza bure!

Ndugu hata huu Uzi tuufute tuu kwakuwa unakinzana na imani yako?

Just ignore him please. Atachoka na kwenda zake...maana mtakuja kuharibu huu uzi mzuri...na watu wa hivi huwa hawakosekani. Don't be so easily distracted. Please focus on the grace of God 🙏🏿
 
Amina tuendelee kujoin kwenye group la watsup ... Naogopa kuweka link humu nakumbuka ni unlawful
 
Amkeni katika maombi.
1 Wathethalonike 5 : 16 na 17. "Furahini siku zote" "ombeni bila kukoma"
Wapendwa Alfajiri ya Leo tunazidi kukumbushwa kuomba pasipo kukoma hivyo tuamke na tunyenyekee mbele zake kwaajili ya maombi, Amkeni tuendelee na maombi
images (19).jpeg
 
Back
Top Bottom