Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

WAKUU MIMI NI SUPPLIER WA VITUNGUU KWA ANAYEHITAJI KUANZIA KILO 5 MPKA 100 ANICHECK PIA MWENYE CONNECTION KWENYE MIGAHAWA NA HOTELI NAOMBA AFANYE KWELI MNAWEZA NICHECK HAPA

0757590836
 
Vip Kuhusu Afya kwa maama ya kuganda kwenye mishipa na kuleta Cholestro mwisho presh ya damu?? je umefanyia utafiti wa matokeo yake?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
customer care wa kike anahitajika.
Awe anajua kingereza vizuri.
Awe nadhifu na mwenekano mzuri.

Atapewa mkataba kamili..
Atapata accommodation,
Transport na meal allowance.

Business Restaurant
Location ni [emoji1190] oman

Kwa maelezo zaidi +255 689 064 080.

Pia wanahitajika Barista wawili wa kike
 
Nilipoona OMAN tu nikawaza human trafficking
 
OMAN tena?? Huko wamekosekana proffesional wa hiyo kazi wanaokidhi vigezo hivyo ulivyoweka??
 
Namba za muhusika ziko hapo unaweza mcheki ukamwuliza direct kupata majibu sahihi zaidi,mimi nime share tu
 
Ninatoa huduma ya massage kwa akina dada/mama. Ni mobile office unaniita popote utakapo. Either full or half Tsh 30,000 for half an hour and Tsh 50,000 one hour. I am a male.

Dar.
Weka namba sasa wakutafute
 
Wakuu naomba mnisaidie mambo yahusuyo madini maana kuna sehemu nimeenda shambani Leo nimekuta kuna mwamba wa chuma baada ya kuutindua nimepata kipande cha jiwe LA chuma ambalo linashika sumaku...
Kwa utaalamu mdogo nimegundua ni madini chuma kwa muonekano wake

Ila Mimi sio mtaalamu naomba kujua kuna aina ngapi za madini chuma maana huwa nasikia chuma cha pua n.k

Je niwapi siko lake lilipo maana sina uwezo wa kuyachenjua

Nahitaji vibali gani nikipata solo LA uhakika LA kuyauza hayo mawe kwa wingi?

Naweza kuuza bei gani kwa kg moja hapa TZ?

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…