makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Bei haipoi?Incubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu. View attachment 2076529View attachment 2076531
Vip Kuhusu Afya kwa maama ya kuganda kwenye mishipa na kuleta Cholestro mwisho presh ya damu?? je umefanyia utafiti wa matokeo yake?Tufanye haya ili tuepukane na ugumu wa maisha kutokana na ughali wa mafuta ya kupikia kupanda bei. unaweza kutumia mafuta ya nguruwe kupikia vyakula mbalimbali na ukaokoa gharama kubwa na ukapata mafuta mazuri pia ni mafuta yanayostahimili moto mkali wakati wa kukaangia vitu.
unaweza nunua mafuta yako kwa watu wa kutengeneza kitimoto ama kununua toka kwa wachinjaji na ukaja yaandaa mwenyewe ama ukanunua ambayo yashaandaliwa na ukaja ukayachuja na tissu na yanakuwa masafi kabisa na utayatumia vizuri pasipokuwa na shida.
Pia yanapatika kwa unafuu na sehemu nyingi tu, pia bei inaweza range kati ya 2000 mpaka 3000
KUMBUKA connection hii ni kwa wale wanaotumia mafuta haya tuu,
Nikihitaji viti tupu unaniuzianicheki 0656031980
Niko Dar, nicheki PM kama unao tuyajengeUko wapi chief?
Nilipoona OMAN tu nikawaza human traffickingcustomer care wa kike anahitajika.
Awe anajua kingereza vizuri.
Awe nadhifu na mwenekano mzuri.
Atapewa mkataba kamili..
Atapata accommodation,
Transport na meal allowance.
Business Restaurant
Location ni [emoji1190] oman
Kwa maelezo zaidi +255 689 064 080.
Pia wanahitajika Barista wawili wa kike
OMAN tena?? Huko wamekosekana proffesional wa hiyo kazi wanaokidhi vigezo hivyo ulivyoweka??customer care wa kike anahitajika.
Awe anajua kingereza vizuri.
Awe nadhifu na mwenekano mzuri.
Atapewa mkataba kamili..
Atapata accommodation,
Transport na meal allowance.
Business Restaurant
Location ni [emoji1190] oman
Kwa maelezo zaidi +255 689 064 080.
Pia wanahitajika Barista wawili wa kike
Nipo Rukwa Kuna vitunguu swaumu je unanunua sh ngapi nipakie mzigo nikuletee?WAKUU MWENYE CONNECTION YA VITUNGUU KUTOKA SINGIDA AU MAHALI POPOTE ANITAFUTE TUFANYE KITU
Incubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu. View attachment 2076529View attachment 2076531
Nahitaji watu serious wenye uelewa Na fursa za mufindi kwenye swala la kilimo cha miti
Namba za muhusika ziko hapo unaweza mcheki ukamwuliza direct kupata majibu sahihi zaidi,mimi nime share tuOMAN tena?? Huko wamekosekana proffesional wa hiyo kazi wanaokidhi vigezo hivyo ulivyoweka??
Nitasema badayeNamba za muhusika ziko hapo unaweza mcheki ukamwuliza direct kupata majibu sahihi zaidi,mimi nime share tu
Weka namba sasa wakutafuteNinatoa huduma ya massage kwa akina dada/mama. Ni mobile office unaniita popote utakapo. Either full or half Tsh 30,000 for half an hour and Tsh 50,000 one hour. I am a male.
Dar.