P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umejitahd sana mwanangu kuanzisha mada anyway maua kwako na kwangu NadeOj CassnzobaKuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF.
Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.
Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.
Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.
raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
Nakuona sana tu Mjukuu 🤗Babu! Kumbe unanionaga![]()
sinza pazuri labda ndo chibu mwenyewe anatuchorasinza pazuri kachukue maua yako kwa boss wako nasibu
raraa reree salute🫂🫂🫡🫡Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF.
Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.
Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.
Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.
raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
Mimi kwako ndio hoi kabisa kwa raha na furaha kubwa unipatiazo. Nakupa maua yako na ❤️ juu ephen wanguLucas Mwashambwa chukua maua yako kutoka kwangu, unavyonitajaga mimi nasikiaga raha Wallah..!![]()
Shukrani sana ndugu yangu