ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ukweli mtupuMalizia tu.
Unatulia chumbani unamanua kitu kipigwe na upepo.
Waaaaa

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mtupuMalizia tu.
Unatulia chumbani unamanua kitu kipigwe na upepo.
Waaaaa

Yeah ni kweli, wengi wapo hivyoNi kweli babu! Sehemu ya kupiga story mimi ni humu jf
Natulia zangu chumbani kimya
I love you too my sister, and much love to you wherever you are!MALCOM LUMUMBA 🙌🙌siku nyingi sijaona machapisho yako ila pokea maua yako.
Love you so much bro.
Say I love you ⚘
✊🏿nimepokea be blessed too.DR HAYA LAND
jiwe angavu
Smart911
cocastic
Chukueni maua yenu hakika mnamsaada mkubwa sana kwangu bila kuelewa , Mungu awabariki
I Love you!Say I love you ⚘
Should direct your attention and suspicion to Member Nyani Ngabu, he is just too smart ( my apologies Mkuu Nyani Ngabu)Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF.
Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.
Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.
Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.
raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF.
Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.
Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.
Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.
raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
🙏🙏🙏✊🏿nimepokea be blessed too.
sio vyemaUkweli mtupu![]()
Nipo nasubiria Evelyn Salt aniunganishe na shangazi mmoja wa JF 😅😅😅. Haiwezekani Nina miaka 10 jukwaani alaf sina hata shangazi mmoja wa kuzugia toka humu. Salt fanya kweliAnalyse Pokea maua yako huku nikiwa nasubiri story ya mishangazi
Inapendeza sana...DR HAYA LAND
jiwe angavu
Smart911
cocastic
Chukueni maua yenu hakika mnamsaada mkubwa sana kwangu bila kuelewa , Mungu awabariki
Uko wapiiii 😹Nipo nasubiria Evelyn Salt aniunganishe na shangazi mmoja wa JF 😅😅😅. Haiwezekani Nina miaka 10 jukwaani alaf sina hata shangazi mmoja wa kuzugia toka humu. Salt fanya kweli