Uzi maalumu wa kutoa maua kwa Members mbalimbali wa JF

Uzi maalumu wa kutoa maua kwa Members mbalimbali wa JF

Maua yangu yaende kwa bro Kiranga tukiacha chit chat, mara nyingi nikihitaji afya ya ubongo lazima nimpitie kiranga.
Huyu jamaa ni genius.
Ana madini sana.

Mwingine babuu Grahams huyu hata nimtanie vipi hajawahi kukasirika zaidi anaishia kucheka 😹😹
Na bro wangu Gee Glenn tukiondoa ukorofi wangu ila bado hajawahi kunichukia.!!

Yupo dada yangu ananipenda mpk najihisi mimi ni lastborn wao Joannah
Yupo uduguu wangu cocastic huyu naye ana kitu atafika mbali.!!
Nkamu wangu Saint Anne 😂😂😂😂
Hapa kwanza imebidi ncheke au basi.

Wizo BICHWA KOMWE - huyu akianza kunitag mpk najuta hata akitukana watu ananitag 😹
Dogo langu kibuyu Deleted01 huyu siku nikifa ndo atawapa taarifa

Mwisho wana jf wote nawapenda hata km sijakutag ila eleweni nawapenda 😍😍😍

Huyo mliyetaka nimtag, mtag wewe 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
 
Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.

Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.

Kuna watu husema wamekua addicted na JF.

Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.

Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.

Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.

I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.

Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake

DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.

raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?

Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
Ngoja nijitagi mwenyewe kama ishara ya kujikubali. Hance Mtanashati
 
Back
Top Bottom