min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nakubali sana mkuu🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali sana mkuu🙏
Vincenzo akee..!

Hayamaua hayaozi ama nnya plastickKuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF.
Hii yote ni kwasababu ya mchango wa kila mmoja huku, na ndio kinachofanya pawe sehemu ya kuvutia na kusaidia wengi pia.
Bila kusahau kuwa huku pamekua sehemu ya Burudani, kukutana na watu kuunda connections na kuondoa stress mbalimbali.
Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
DR Mambo Jambo kwenye masuala mazima ya afya na kuonyesha ukomavu mkubwa wa akili.
raraa reree huyu kila mmoja anamuona hadi tuna wasiwasi nae, au ni bot ?
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
ni Original kabisaHayamaua hayaozi ama nnya plastick
Kwa kweli yuko vzr na kila uzi yupo kuchangiaPia ephen_ anajitahidi sana kuwa online muda mwingi, hadi nawaza huenda naye ni mwajiriwa wa Max 🤗
Kabisa MkuuKwa kweli yuko vzr na kila uzi yupo kuchangia
Huyu member amepotea kwakweli sijui nini kilimkuta ila nimemiss madini yakeCONTROLA mtu na nusu, hana baya.....
Ni naniliu tu ndio ilimetea kasheshe😹, ila ni mtu wa maana sanaaa.
Kwakweli ana madini sana controla, afu sio mchoyo kabisa......Huyu member amepotea kwakweli sijui nini kilimkuta ila nimemiss madini yake
DR HAYA LANDKuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonkwa ajili ya kutoa maua kwa ID mbali mbali humu.
I-tag ID kabisa ukiitoa kichwani mwako bila ku angalia mahali, umpe maua yake kabisaa.
Binafsi kwangu ni wengi ila saivi nitampa maua yake
Mimi nimeanza na hawa maana ni wengi na siwezi kuwamaliza wote...
Ni nini hasa huwa kinakuchekesha ukiikumbuka hii ID mpendwa Amehlo? Au tangu uliponifundisha kuweka profile picture ukanipiga dume la ng'ombe bado hujasahau? 😁🖐Shimba ya Buyenze hii Id huwa inanifurahisha tu😂😂 nikiikumbuka nacheka tu
Malizia tu.Ni kweli babu! Sehemu ya kupiga story mimi ni humu jf
Natulia zangu chumbani kimya
😁😁 we jamaaMalizia tu.
Unatulia chumbani unamanua kitu kipigwe na upepo.
Waaaaa