Uzi maalumu wa kuweka tetesi na Taarifa za usajili Ligi Kuu ya NBC kwa msimu ujao 2022/2023

Mwaka ujao sahau kuhusu makombe. Na GSM katoboka hela za bahasha mno hivyo atajiepusha 🤣🤣🤣🤣 na kimataifa kule kama kawaida chaap tu msharudi jangwani. Ukame ule ule🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mpk Simba anapokea bahasha za GSM.......ubingwa tutaendelea kuchukua labda Simba agome kuchukua hizo bahasha

Vipi nyie mtaendelea kuchukua hizo bahasha au mtaacha kuchukua hizo bahasha za GSM
 
Kwenu nyie mngeweka aisee tunawajua vzr. Na hapo mtu wenu anautaka uraisi ndani ya club mbona kiki kama kina mond tutakoma
Unashabikia mpira halafu hujui taratibu za usajili wenyewe

Huwezi kumtangaza mchezaji kwamba umemsajili na ikiwa dirisha la usajili halijafunguliwa ww KINABO

SIO lazima uwe shabiki wa mpira,pia unaweza kuwa shabiki wa punyeto

Umesikia ww Mama
 
Unashabikia mpira halafu hujui taratibu za usajili wenyewe

Huwezi kumtangaza mchezaji kwamba umemsajili na ikiwa dirisha la usajili halijafunguliwa ww KINABO

SIO lazima uwe shabiki wa mpira,pia unaweza kuwa shabiki wa punyeto

Umesikia ww Mama
Na jana hao watu wenu yanga wemetangaza nini..? 🤣🤣🤣🤣 afu kinabo limekupendezea mkuu mwana utopwinyo.
 
Sasa mpk Simba anapokea bahasha za GSM.......ubingwa tutaendelea kuchukua labda Simba agome kuchukua hizo bahasha

Vipi nyie mtaendelea kuchukua hizo bahasha au mtaacha kuchukua hizo bahasha za GSM
Mkuu usikasirike. Ila mtadanganywa mpaka lini.?
 
Mbona nimesikia kuwa CAF wamesema hadi tarehe 30 majina ya wachezaji wanaoshiriki klabu bingwa na Shirikisho wawe tayari wameshawekwa kwenye system yao?
 
Yanga tayari imemalizana na mchezaji flop Lazarous Kambole aliyetemwa na Kaizer chiefs
Hata hivyo Yanga ni kama machale yamewacheza kwani wamempa mkataba wa miezi 6 tu huku kukiwa na kipengele cha kumuongezea miaka miwili endapo hatafanya madudu kama aliyoyafanya akiwa South Africa
Kambole ambaye pia amewahi kung'aa ligi ya Zambia akiwa na Zesco katika misimu yake yote miwili akiwa na Kaizer chiefs amecheza jumla ya michezo 46 na kufanikiwa kufunga magoli mawili tu (MAWILI TU) kitu kilichowafanya Kaizer Chiefs kumuonyesha mlango wa kutokea na ndipo klabu Kongwe zaidi Tanzania (Yanga) ikajiokotea dodo kwenye mwarobaini
 

Tafuta hizo tetesi utuwekee hapa screenshot.
 
Kwamba Flop[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…