Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Tiba ya asili ya UTI jamani nishamtumia mke wangu midawa ya kizungu hadi nimechoka.

mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja. Mnipe dawa isiyo na madhara kwa first born wangu.mtarajiwa
 
Kuna mdau kanifurahisha kweli kuna zaburi nimempatia hakika amepata nafuu kubwa na ameshukuru kweli,nimefurahi sana Kwa kweli hasa Kwa kupata formula za kutibia kikristo na watu wakapona, am so so happy!

Mkuu hicho kitabu title yake ni nini na author pia tukisake
 
Msaada wa dawa ya genitals warts ( vinyama vinavyoota sehemu za siri)
 
Tiba ya asili ya UTI jamani nishamtumia mke wangu midawa ya kizungu hadi nimechoka.

mke wangu ana mimba ya mwezi mmoja. Mnipe dawa isiyo na madhara kwa first born wangu.mtarajiwa
Atumie mchaichai kwa wingi na kunywa maji mengi
 
Kama kuna mtu ana afya ya kusuasua, mwili uliokondeana, chukua matunda ya muegeya yakaushe kisha saga na tumie kama lishe kila siku kijiko kimoja cha chakula kwenye uji halafu njoo na majibu yetu hapa mkuu.
Muegeya haya yanapatikana wapi?ina jina lingine?
 
Inaishia kuishika TU? Au baada yahapo Kuna kitu kinafuata?
 
Habari zenu wakuu,ndg zangu mwenye kujua tiba asili za miwasho tusaidiana mana imekuwa mateso sasa,sipati hutulivu hata kidogo kutwa kujikuna hasa nyakati za usiku hadi niupate usingizi n kipengele
 
Mkuu.
Huu unga wa kokwa unaupataje kwenye kokwa hilo?
Ahsante.
 
Hizi ndulele zinapatikana wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…