digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Uzi nzuri hii, nikitulia nitaleta ndawa ya kuunga mifupa kwa mtu aliyevunjika mifupa hasa miguu na mikono,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipengele mkuuMzee si ungetuattachia na kapicha ka meno yako kidogo
Wakati natumia io tiba, niendelee kuvaa miwani yangu au niache?Saga carbon zinazopatikana kwenye betri zilizotumia kaunga kake uwe unapaka / unamassege kwenye nyusi Kwa mbali sana na sio iwe kama wanja,fanya hili kwanza Kwa siku 14,huku ukijiangalia achievement zako pia achana na smartphone wakati wa tiba hii sasa sijui utafanyaje maana maisha yetu hutegemea simu,na hats PC au laptop.
Mkuu ubalikiwe sana. NAOMBA unitagUzi nzuri hii, nikitulia nitaleta ndawa ya kuunga mifupa kwa mtu aliyevunjika mifupa hasa miguu na mikono,
Sawa, tafuta mbegu za mti wa macho ya fufu utumie kumeza mbegu moja Kila mwaka.Sina hizo changamoto zote, na nilishaenda hospital nikaambiwa suluhisho ni kuvaa miwani Na ndo natumia hadi leo.
Sasa kama njia mbadala naweza kuwa sawa, ntashukuru
Unaweza kuweka picha ya hizo mbegu za fufu?Sawa, tafuta mbegu za mti wa macho ya fufu utumie kumeza mbegu moja Kila mwaka.
Ndugu yangu nsaidie nmevunjika mkono last week.Uzi nzuri hii, nikitulia nitaleta ndawa ya kuunga mifupa kwa mtu aliyevunjika mifupa hasa miguu na mikono,
Unaweza saidia kwa kuweka picha za uo mti na hizo mbegu zakeSawa, tafuta mbegu za mti wa macho ya fufu utumie kumeza mbegu moja Kila mwaka.
Acha....!,acha kuchungulia smartphone Kwa muda pia,hakikisha PC unaweka protector in case!Wakati natumia io tiba, niendelee kuvaa miwani yangu au niache?
dawa gani?Aiseee baada ya hii dawa kuitaja ndo nimekuamini kabisaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23] we zako unaturingishia!!Mkuu ubalikiwe sana. NAOMBA unitag
Ndo utuambie hapa ni ipi hiyoMungu ana makusudi makubwa Sana kutuwekea miti na mimea katika maeneo yetu. Mimea ni tiba, ni chakula ni kinga. Watu wanarogwa au kuwa masikini au mabalaa au mikosi sababu awataki kutafuta maarifa.
Pana mimea ukiitumia ukukinga na maradhi ya kibaiologia na maradhi ya kiroho yaani ukiitumia utougua ugonjwa wowote maishani mwako na wala kurogwa au kudhurika na nguvu za giza kwa maana ya wachawi, mikosi, laana mabalaa nk. Utakuwa na kinga zote za kimwili na kiroho utaishi uzee mwema.
Mi Sina picha yake, ni mbegu ndogo ndogo nyekundu zina macho meusi.Unaweza saidia kwa kuweka picha za uo mti na hizo mbegu zake
Matumizi yake??na vp wewe imekusaidia?Mi Sina picha yake, ni mbegu ndogo ndogo nyekundu zina macho meusi.
[emoji23][emoji23][emoji23] we zako unaturingishia!!
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Mi Sina picha yake, ni mbegu ndogo ndogo nyekundu zina macho meusi.
Exactly, ndo hizo, unakunywa moja tu, meza na maji bila kutafuna inaondoa tatizo la macho na nikinga kwa mwaka mzima hiyo mbegu moja.
Hizo ni kinga pia hizo zinafarakanisha pia zinafukuzisha mtu yaani zinamatumizi kama yote!Exactly, ndo hizo, unakunywa moja tu, meza na maji bila kutafuna inaondoa tatizo la macho na nikinga kwa mwaka mzima hiyo mbegu moja.