Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Usingekopi na kupesti ingependeza zaidi, nitazungumzia hapa mti ambao huzaa matunda yanayofanana na jamii za kunde japo yenyewe ni marefu zaidi, mbegu zake ni dawa, majani yake ni chakula na dawa nzuri sana pia, mti huu ni mlonge(mti wa maajabu).

Endapo utatumia majani yake kila siku utazisahau dawa za hosipitali, huu si utani.
Mkuu kwenye hili natoa ushuhuda.
My wife alikuwa na PID tena Kwa miaka Zaidi ya mitatu. Tulihangaika Sana hospitals bila mafanikio.

Sasa yeye yupo kwenye vikundi vyao vya kina mama wakamshauri atumie mlongo na vitungui swaumu Kwa kumeza.

Alimeza Kwa muda wa siku 15 Jana nilimpeleka TMJ wamempima tena Hana PID yaani doctor anasema hakuna hata dalili za PID.

Wakati nilitumia hela nyingi Sana Kwa matibabu ya hospitals . Ila mlonge ninao nyumbani ni kuchuma na kuchemsha Tu maji. Vitungui swaumu bei yake inajulikana.

Tunadharau hizi tiba asili Ila zinasaidia Sana.
 
Namuandalia mke wangu dawa ya kusafisha tumbo la kuharisha.
Tumbo linamvuruga sana, kila akila mda kidogo tu anaenda kushusha mzigo anarudi tumbo empty😂😂😂

UKWAJU WA 200, NIMEUCHEMSHA VIZURI KISHA NIMEMNYWESHA JUICE YAKE..

Tumbo limekata
IMG_20221005_121541_135.jpg
 
Mkuu kwenye hili natoa ushuhuda.
My wife alikuwa na PID tena Kwa miaka Zaidi ya mitatu. Tulihangaika Sana hospitals bila mafanikio.

Sasa yeye yupo kwenye vikundi vyao vya kina mama wakamshauri atumie mlongo na vitungui swaumu Kwa kumeza.

Alimeza Kwa muda wa siku 15 Jana nilimpeleka TMJ wamempima tena Hana PID yaani doctor anasema hakuna hata dalili za PID.

Wakati nilitumia hela nyingi Sana Kwa matibabu ya hospitals . Ila mlonge ninao nyumbani ni kuchuma na kuchemsha Tu maji. Vitungui swaumu bei yake inajulikana.

Tunadharau hizi tiba asili Ila zinasaidia Sana.
Hili la vitunguu saum sahihi kabisa mi mwenyewe wife alipmwa akakutwa na PID nilmwambia akatumia hvyo vitunguu kwa kumeza asbh punje 10 na jion kwa siku 10 tu tatzo likaisha na ujauzito akabeba
 
Mi naombeni tiba ya kusinyaa kwa uume, imenitesa sana hii hali kwa zaidi ya miaka 14 kkwa sasa.Uume umekuwa mdogo sana na hata nikitomb$# simalizi round ya pili inazima ghafla, na hapo siwezi tena kuanza round nyingine.
Kingine sijawahi kupiga nyeto na sijui hiyo kitu, nashindwa hata kuoa, nina umri wa miaka 35.
Jamani hamuoni hiii[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Zaburi utaipata kwenye biblia (unaweza ipakua app ya swahili bible) .
Angalizo: kwenye book of gold ikisema zaburi ya 7 basi ujue kwenye bible itakuwa ni zaburi ya 8 . chunguzeni vizuri hili mtaligundua kama nilivyogundua huu mpishano.
Sawa mkuu
 
ni zaburi za kwenye biblia.Ila nashauri download ktabu cha 'psalter of david' zabur zake zimepangwa moja kw moja sawa na za kwenye the book of gold tulicho download ktoka hapa ktk uzi.Ukitumia zlivyo pangw ktk biblia yetu hii ya kawaida utachanganya namba za zaburi cuz nimeona ipo mbele kwa number 1, na zabur za kwny ktabu hki th buk o gold zpo nyuma kw zabur 1.Mf zabur ya 94 ktk ktab hcho ndyo zbri ya 95 ktk bible,zabur ya 143 ktk the book of gold ndyo zabur ya 144 ktk bible yetu y kawaida.Zabur ya1 ime match kw vtabu vyote,pia ya 148,149,na 150 zmematch na za bible yetu.Hebu fatlia nawew maana sikupata muda wa kukagua zabur zote.Pia tuzingatie commentary imetafsir aidha verse au half verse y zaburi lengwa ambapo n title iliyoandkwa kwa kilatini pale juu itatusaidia kuitambua zabur tuliyolenga kama mtu ataamua kutumia bible yetu ya kawaida.

Mkuu ni kweli Asante sana. Umebarikiwa Whitney Houston:
 
Msaada wenu jamani,kuna ndugu kaja hapa kwangu mtoto wake ni mgonjwa wa sickle cell umri ni miaka miwili,analia sana mtoto..naomba kujua tiba.pia walichelewa kujua tatizo.
 
Many people are probably not aware that they are eating an animal’s period.

Female chickens have a menstrual cycle, during which a hen’s ovary sends a yolk on its path.

As it moves though the reproductive tract and into the shell gland, the yolk then forms into an ‘egg white’. The shell takes about 20 hours to form.

Fat and cholesterol found in eggs can cause to the heart,lead to prostate cancer, colorectal cancer and more.

Egg yolks are loaded with cholesterol. A medium-sized egg contains 186 mg of cholesterol. This increases your risk of cardiovascular disease.

Eggs causes heavy and painful menstrual periods. They interfere with human hormones. They also clogs up the lymphatic system and cause skin erosion and acne. I love you guys,
#take this seriously!
 
Msaada wenu jamani,kuna ndugu kaja hapa kwangu mtoto wake ni mgonjwa wa sickle cell umri ni miaka miwili,analia sana mtoto..naomba kujua tiba.pia walichelewa kujua tatizo.
Wampeleke mtoto hospital,akaongezwe damu kama imepungua,(tatizo la ndani ya mifupa hili kushindwa kuzalisha cell Fulani) ngoja nipekuwe makabrasha mkuu!
 
Msaada wenu jamani,kuna ndugu kaja hapa kwangu mtoto wake ni mgonjwa wa sickle cell umri ni miaka miwili,analia sana mtoto..naomba kujua tiba.pia walichelewa kujua tatizo.
Pole yao huyo analia kwa sababu ya crisis zinazosababishwa na kuziba kwa mishipa midogo ya damu kwa sababu ya usefu wa oxygen ya kutosha na maji ya kutosha mwilini au malaria.

Hivyo kupelekea chembe nyingi za damu kubunjika na kuziba mishipa ya damu na ndio hayoa maumivu yanaitwa crisis.

Sickle haina tiba mana ni ugonjwa wa kuridhi..ingawa kwa sasa kuna tiba kupita bone marrow transplant kwenye long bones zinazozalisha cell nyekundu za damu...hapa nakushauri fika muhimbili au mloganzila ulizia kahusu tiba hii ya uboho.

Zaidi huwa ni managment ya crisis na masuala mengine ya ugonjwa..

Hivyo basi jitahidini mtoto afike clinic kila mara kwaajili ya uchunguzi na tiba ya madhara ya sickle.

Hakikisheni mtoto hapigwi na baridi..kama mnaishi mikoa ya baridi sana ningeshauri muishi mikoa yenye joto kama inawezekana lakni kama haiwezekani hakikisheni muda mwingi anajikinga na baridi.

Hakikisheni anakunywa maji ya kutosha kwa siku narudia tena maji yakutosha..mana damu ya mtu mwenye sickle ni nzito hii inatokana na chembe nyingi za damu kuvunjika kwakuwa hazina ubora(shape) unaotakiwa..hivyo kunywa maji mengi kutasaidia damu iwe nyepesi hivyo kurahisisha upitaji wake kwenye mishipa midogo yadamu ili kuzuia crisis au yale maumivu.

Mpeni dawa ya folic acid kila siku ili kuongeza uzalishaji wa damu mwilini mna mtu mwenye sickle hua automatika ana upungufu wa chembe nyekundu za damu.

Kuna dawa inaitwa hydroluxea anaweza andikowa pia akifika clinic.

Hakikisheni pia mtoto anakula matunda na mboga za majani kwa wingi kuongeza uzalishji wa damu...bila kusahau juis za rozela..beetroots n.k.

Kila jema zingatieni hayo namengine mtayaopata kwa madaktari mtoto atakua na ataishi vzr tu bila shida.

Wito..wazazi tujitahidi kupima vinasaba vyetu kabla hatuja aamuza kuzaa ili kuepuka kuzaa watoto wenye tatizo la Sickle.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
THE EGG AND SILVER COIN RITE TO REMOVE BAD MONEY LUCK

If you are a person who never seems to be able to make enough money to meet your financial needs, or if you are able to make what should be considered 'enough' money but that such money easily slips through your fingers, then the following rite is for you. It has the power to remove from you the bad luck (i.e. with regard to money) and replace it with gradual but steady financial prosperity. This is what you should do:

(a) At 12AM (Noon) or 12PM (midnight) of any Friday of your choice, go alone to a fork in a path (where a footpath branches out to give a Y-shape of two separate paths leading from the original path). You should take with you one chicken egg and any high-value silver coin (a currency of the country you currently live in); the higher the value of the silver coin, the better it is for the purpose of this rite.

(b) Stand at the point where the main and branch paths meet to form the fork, preferably facing the space between the two branches (that is, with your back to the main path). Hold the egg in your left hard and the coin in your right hand. Close your eyes and say, once only, the following:

Spirit of this Fork, hear me!
I command thee in the name of Jehovah,
To accept this egg as payment for The services I ask of thee!
I wish that... (state your wishes).
So mote it be!

Then throw the egg over your shoulder as hard as you can. But drop the coin on the ground, where somebody else is likely to subsequently see and pick it up. Go away from the fork without making any attempt to see where the egg fell. If it is possible to do so, go home by either of the branch paths i.e. without having to turn back to go along the main.

NOTE: (i) It is fair to mention that if this rite is performed at night (midnight) the spirit of the fork may appear before you in human or non-human form - and ask you detailed questions about what you want. It may tell you what actions to take to realise your financial objectives. If the spirit does appear, as it sometimes will, please do NOT run away. No, the spirit won't harm you if you do so, but you would have lost a great opportunity to improve your financial circumstances. Finally, please note that the spirit will often appear, if it does at all, in frightful shape or form- but it does so only to test your courage.

(ii) You may find a suitable fork on any well-used park, field, common, etc. If you live in the country, it should normally be easier to find an appropriate fork. If you intend to perform the rite at noon, then do so where you are unlikely to be noticed by other people. Performance of the rite should take only a few minutes.
 
Haha
THE EGG AND SILVER COIN RITE TO REMOVE BAD MONEY LUCK

If you are a person who never seems to be able to make enough money to meet your financial needs, or if you are able to make what should be considered 'enough' money but that such money easily slips through your fingers, then the following rite is for you. It has the power to remove from you the bad luck (i.e. with regard to money) and replace it with gradual but steady financial prosperity. This is what you should do:

(a) At 12AM (Noon) or 12PM (midnight) of any Friday of your choice, go alone to a fork in a path (where a footpath branches out to give a Y-shape of two separate paths leading from the original path). You should take with you one chicken egg and any high-value silver coin (a currency of the country you currently live in); the higher the value of the silver coin, the better it is for the purpose of this rite.

(b) Stand at the point where the main and branch paths meet to form the fork, preferably facing the space between the two branches (that is, with your back to the main path). Hold the egg in your left hard and the coin in your right hand. Close your eyes and say, once only, the following:

Spirit of this Fork, hear me!
I command thee in the name of Jehovah,
To accept this egg as payment for The services I ask of thee!
I wish that... (state your wishes).
So mote it be!

Then throw the egg over your shoulder as hard as you can. But drop the coin on the ground, where somebody else is likely to subsequently see and pick it up. Go away from the fork without making any attempt to see where the egg fell. If it is possible to do so, go home by either of the branch paths i.e. without having to turn back to go along the main.

NOTE: (i) It is fair to mention that if this rite is performed at night (midnight) the spirit of the fork may appear before you in human or non-human form - and ask you detailed questions about what you want. It may tell you what actions to take to realise your financial objectives. If the spirit does appear, as it sometimes will, please do NOT run away. No, the spirit won't harm you if you do so, but you would have lost a great opportunity to improve your financial circumstances. Finally, please note that the spirit will often appear, if it does at all, in frightful shape or form- but it does so only to test your courage.

(ii) You may find a suitable fork on any well-used park, field, common, etc. If you live in the country, it should normally be easier to find an appropriate fork. If you intend to perform the rite at noon, then do so where you are unlikely to be noticed by other people. Performance of the rite should take only a few minutes.
Hahaha unaeza kimbia kama akitokea kama nyoka
 
Ndugu naombeni tiba kwa tatizo la kuoga maji baadae unaanza kuwashwa. Haijalishi uoge maji ya baridi au ya moto, yawe ya chumvi au yasiyo ya chumvi na mikoa tofauti lakini kuwashwa ni pale pale.
NB: Allergy ya ngozi mtu hana
 
Pole yao huyo analia kwa sababu ya crisis zinazosababishwa na kuziba kwa mishipa midogo ya damu kwa sababu ya usefu wa oxygen ya kutosha na maji ya kutosha mwilini au malaria.

Hivyo kupelekea chembe nyingi za damu kubunjika na kuziba mishipa ya damu na ndio hayoa maumivu yanaitwa crisis.

Sickle haina tiba mana ni ugonjwa wa kuridhi..ingawa kwa sasa kuna tiba kupita bone marrow transplant kwenye long bones zinazozalisha cell nyekundu za damu...hapa nakushauri fika muhimbili au mloganzila ulizia kahusu tiba hii ya uboho.

Zaidi huwa ni managment ya crisis na masuala mengine ya ugonjwa..

Hivyo basi jitahidini mtoto afike clinic kila mara kwaajili ya uchunguzi na tiba ya madhara ya sickle.

Hakikisheni mtoto hapigwi na baridi..kama mnaishi mikoa ya baridi sana ningeshauri muishi mikoa yenye joto kama inawezekana lakni kama haiwezekani hakikisheni muda mwingi anajikinga na baridi.

Hakikisheni anakunywa maji ya kutosha kwa siku narudia tena maji yakutosha..mana damu ya mtu mwenye sickle ni nzito hii inatokana na chembe nyingi za damu kuvunjika kwakuwa hazina ubora(shape) unaotakiwa..hivyo kunywa maji mengi kutasaidia damu iwe nyepesi hivyo kurahisisha upitaji wake kwenye mishipa midogo yadamu ili kuzuia crisis au yale maumivu.

Mpeni dawa ya folic acid kila siku ili kuongeza uzalishaji wa damu mwilini mna mtu mwenye sickle hua automatika ana upungufu wa chembe nyekundu za damu.

Kuna dawa inaitwa hydroluxea anaweza andikowa pia akifika clinic.

Hakikisheni pia mtoto anakula matunda na mboga za majani kwa wingi kuongeza uzalishji wa damu...bila kusahau juis za rozela..beetroots n.k.

Kila jema zingatieni hayo namengine mtayaopata kwa madaktari mtoto atakua na ataishi vzr tu bila shida.

Wito..wazazi tujitahidi kupima vinasaba vyetu kabla hatuja aamuza kuzaa ili kuepuka kuzaa watoto wenye tatizo la Sickle.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Asante sana kwa ushauri.. Vp kuhusu dawa za kupoza ugonjwa za asili.
 
Back
Top Bottom