Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Ongezea maelezo apa ndugu
Kuna kitu kinaitwa manuizo,ukizishika punje 9 ukanuiza mf. Huyu ahame hapa akwende mbali,ukaongea na Makorokoro mengi juu ya unavyomchukia Kwa gharabu na hasira,ukammwagia mlangoni pale hatakawia Ku shift.
 
Mi naombeni tiba ya kusinyaa kwa uume, imenitesa sana hii hali kwa zaidi ya miaka 14 kkwa sasa.Uume umekuwa mdogo sana na hata nikitomb$# simalizi round ya pili inazima ghafla, na hapo siwezi tena kuanza round nyingine.
Kingine sijawahi kupiga nyeto na sijui hiyo kitu, nashindwa hata kuoa, nina umri wa miaka 35.
 
No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines and mostly in warm countries.

This grass is widely spread along river banks, settled areas and even along roads! And because of our ignorance about the abundance of its uses, it is normally ignored by many.

Many people have testified about how amazing and effective this grass is in treating common and severe illnesses. Now, we present to you the reasons behind the buzz.

What are the Health Benefits of Paragis?
# Paragis is widely used in Africa as an alternative medicine to different kinds of illnesses.
Aeta people from Porac, Pampanga used burnt dried leaves of Paragis as a repellent against insects.

Leaves of Paragis contain silicon monoxide, calcium oxide, and chlorine.

Dried leaves contain protein.

Many declared it to be anti-inflammatory, a natural antihistamine, a natural diuretic, antidiabetic, an effective anti-oxidant and has cytotoxic properties.

Parts of Paragis that Can Be Used as a Herbal Medicine Leaves

Drinking boiled leaves of Paragis or making a Paragis Tea will ease several pains and illnesses. You can also patch the minced or pulverized leaves on some conditions.

Stems
Boil the stem with leaves to achieve more effective results

Roots
Drinking boiled roots can also cure several illnesses.
Health Conditions That Can Be Cured by Paragis

# Cancer
Because of this plant’s antioxidant properties, this can lower the risk of growing cancer cell in your body.

# Ovarian Cyst and Myoma
Patients with ovarian cyst conditions have proven that drinking Paragis tea in a daily basis has made the cyst completely disappear.

# Kidney Problems
Paragis is a natural diuretic which increases the amount of water in our body and expells salt as urine.

# Arthritis
Heat pounded leaves mixed with scraped coconut. Patch and bandage on the affected area.

# Diabetes
Drink Paragis tea regularly and say goodbye to diabetes.

# Wounds
Apply decoction to wound to stop the bleeding.

# Parasitism
Paragis is a strong laxative that can flush out worms and parasites from your stomach.

# Urinary Tract Infection
You may stop taking antibiotics and start drinking boiled leaves to immediately cure UTI

# Hypertension
Lower the risk of high blood pressure by drinking boiled leaves and stems of Paragis.

# Fever
You won’t be needing any medication to reduce your temperature. Just drink boiled roots of Paragis for faster and more effective results.

# Sprain (Pilay)
To have an instant relief from a sprain, patch some minced leaves on the affected area.

# Dandruff
Reduce the appearance of dandruff. Mix minced leaves and stems with coconut oil. Use it as a shampoo and gently massage it on your scalp. It can also stop hair fall and help your hair grow back to its original thickness.

# Dysentery
This is a type of gastroenteritis that results in diarrhea with blood. Drink boiled roots of Paragis to ease this alarming condition.

#Other Illnesses that Can Be Cured By Paragis:
  • Asthma
  • Hemoptysis
  • Bladder Disorders
  • Liver Problems
  • Jaundice
  • Malaria
  • Infertility in Women
  • Epilepsy
N. B, Tutupie tiba tunazozifahamu za kiasili kwa mimea inayotuzunguka,
KARIBUNI TUSAIDIANE.
Ulisahau kuweka picha ya mmea!
 
Kuna mtu alituma kitabu kimeandikwa The Book of Gold, namshukuru nimekisoma japo kuna changamoto moja ninaipata nashindwa kuelewa kwenye maelezo mbalimbali anasema andika hii zaburi (Pslam) au isome mara 7 mchana na 7 jioni, ninaposhindwa kuelewa sasa ndipo swali langu lilipo hiyo zaburi ipo wapi. Mfano pslam 45 naipata wapi, naomba aliyetuma kitabu anisaidie aisee
 
Kuna mtu alituma kitabu kimeandikwa The Book of Gold, namshukuru nimekisoma japo kuna changamoto moja ninaipata nashindwa kuelewa kwenye maelezo mbalimbali anasema andika hii zaburi (Pslam) au isome mara 7 mchana na 7 jioni, ninaposhindwa kuelewa sasa ndipo swali langu lilipo hiyo zaburi ipo wapi. Mfano pslam 45 naipata wapi, naomba aliyetuma kitabu anisaidie aisee
ZABURI ni kitabu katika Biblia takatifu. Kama huna Biblia waweza idownload playstore.

Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kinaitwa manuizo,ukizishika punje 9 ukanuiza mf. Huyu ahame hapa akwende mbali,ukaongea na Makorokoro mengi juu ya unavyomchukia Kwa gharabu na hasira,ukammwagia mlangoni pale hatakawia Ku shift.


Na ukitaka kufarakanisha u azitumiaje?? Ninazo za kutosha
 
Wakuu mimi kuna hawa viumbe wapo wengi sana mahali ambapo natarajia kuhamia hivi karibuni (POPO) ni kijijini na nyumba za kupanga kwa huku ni changamoto sana. Sasa naombeni msaada namna ya kuwaondoa humu ndani au hata chumbani kwangu tu wasikae kabisa maana wanakunya si mchezo na nyumba bado haijawekwa silly boards,, nyumba ina rooms nne.
Nisaidieni wakuu [emoji120]
 
Kuna kitu kinaitwa manuizo,ukizishika punje 9 ukanuiza mf. Huyu ahame hapa akwende mbali,ukaongea na Makorokoro mengi juu ya unavyomchukia Kwa gharabu na hasira,ukammwagia mlangoni pale hatakawia Ku shift.
Unaeza toa faida zake zote
 
Oh vijana wadogo wanaonekana wazee kweli ustaarabu na uzungu utatumaliza rule vyakula vya asili tuchemshe viazi na maganda Yake alimradi tumeviosha kabla,faida ni kubwa sana utausitiri ujana wako Kwa kipindi kirefu sana ,watazeeka wewe utabaki vilevile kijanapendelea kula Kwa kuchanganya na maziwa ,AFYA NJEMA.HII NI DAWA KUBWA SANA.
FB_IMG_16648110741341908.jpg
 
Kuna mtu alituma kitabu kimeandikwa The Book of Gold, namshukuru nimekisoma japo kuna changamoto moja ninaipata nashindwa kuelewa kwenye maelezo mbalimbali anasema andika hii zaburi (Pslam) au isome mara 7 mchana na 7 jioni, ninaposhindwa kuelewa sasa ndipo swali langu lilipo hiyo zaburi ipo wapi. Mfano pslam 45 naipata wapi, naomba aliyetuma kitabu anisaidie aisee
ni zaburi za kwenye biblia.Ila nashauri download ktabu cha 'psalter of david' zabur zake zimepangwa moja kw moja sawa na za kwenye the book of gold tulicho download ktoka hapa ktk uzi.Ukitumia zlivyo pangw ktk biblia yetu hii ya kawaida utachanganya namba za zaburi cuz nimeona ipo mbele kwa number 1, na zabur za kwny ktabu hki th buk o gold zpo nyuma kw zabur 1.Mf zabur ya 94 ktk ktab hcho ndyo zbri ya 95 ktk bible,zabur ya 143 ktk the book of gold ndyo zabur ya 144 ktk bible yetu y kawaida.Zabur ya1 ime match kw vtabu vyote,pia ya 148,149,na 150 zmematch na za bible yetu.Hebu fatlia nawew maana sikupata muda wa kukagua zabur zote.Pia tuzingatie commentary imetafsir aidha verse au half verse y zaburi lengwa ambapo n title iliyoandkwa kwa kilatini pale juu itatusaidia kuitambua zabur tuliyolenga kama mtu ataamua kutumia bible yetu ya kawaida.
 
ni zaburi za kwenye biblia.Ila nashauri download ktabu cha 'psalter of david' zabur zake zimepangwa moja kw moja sawa na za kwenye the book of gold tulicho download ktoka hapa ktk uzi.Ukitumia zlivyo pangw ktk biblia yetu hii ya kawaida utachanganya namba za zaburi cuz nimeona ipo mbele kwa number 1, na zabur za kwny ktabu hki th buk o gold zpo nyuma kw zabur 1.Mf zabur ya 94 ktk ktab hcho ndyo zbri ya 95 ktk bible,zabur ya 143 ktk the book of gold ndyo zabur ya 144 ktk bible yetu y kawaida.Zabur ya1 ime match kw vtabu vyote,pia ya 148,149,na 150 zmematch na za bible yetu.Hebu fatlia nawew maana sikupata muda wa kukagua zabur zote.Pia tuzingatie commentary imetafsir aidha verse au half verse y zaburi lengwa ambapo n title iliyoandkwa kwa kilatini pale juu itatusaidia kuitambua zabur tuliyolenga kama mtu ataamua kutumia bible yetu ya kawaida.
Kutaka tu kuchanganya watu hivyo vitabu vyenu, Mimi sihangaiki hata kusoma, mambo ya kiroho yapo kwenye practical zaidi, ukitaka ubaya kajifunze kwa wabaya practically, ukitaka miujiza ya Mungu kajifunze practical kwa watu waliofanikiwa kupitia wema wa Mungu, hiyo biblia imejitoleza kabisa Wala hakuna haja ya kujichanga na vitabu vingine, tatizo wangu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo maana wanatapatapa, maarifa ya kweli ya kiroho yalikuwa practical kwa wazee wetu Sasa kama hukubahatika kupata hizo elimu inakuwa ngumu hata ukisoma hivyo vitabu kufanikiwa, mfano jamii ya zamani ilifundishwa kuheshimu chumvi na jamii nzima ilijua nimarufuku kuomba chumvi kwenye nyumba ya mtu mwingine na lazima ununue kabla haijafika usiku maana nikitu kilichobeba baraka ya nyumba iwapo kikiingia ndani kisitoke bila mashariti na biblia ilivyokuja ikaja na maneno ya umuhimu wa chumvi kwa Kila mtu ila haikuhangaika kuweka onyo maana jamii ishajua jinsi ya kuitendea chumvi sasa kwa vile watu wapo kipindi cha kudharau ile mifumo ya asili wanajikuta hiyo biblia haiwasaidii chochote zaidi ya kuwa hadidhi ndo wanahangaika kutafuta tena vitabu vingine wasome bila kuwa na misingi ya mafundisho ya asili, Sasa hiyo Zaburi kaandika Daudi ila wakati anaandika tayari anajua masomo ya asili hivyo baada ya matendo ya asili ndo anaandika musisitizo utakao ongeza nguvu, mfano Andiko la Bwana ndiye mchungaji wangu sintakungukiwa na chochote hapo tayari Kuna matendo ya asili alifanya na Sasa anaongezea nguvu kwa kuandika maombi yake Ili Yale matendo ya asili alliyofanya yaweze kufanyika kwa Imani na Ili ufanikiwe kwenye Imani lazima uwe na matendo ya Imani ndo ufate maandishi, Sasa hivi vitabu vya kuchanganya watu mwisho siwatachanganyikiwa?
 
Wakuu mimi kuna hawa viumbe wapo wengi sana mahali ambapo natarajia kuhamia hivi karibuni (POPO) ni kijijini na nyumba za kupanga kwa huku ni changamoto sana. Sasa naombeni msaada namna ya kuwaondoa humu ndani au hata chumbani kwangu tu wasikae kabisa maana wanakunya si mchezo na nyumba bado haijawekwa silly boards,, nyumba ina rooms nne.
Nisaidieni wakuu [emoji120]
Tumia ugoro kuweka katka njia zao wahama chap mkuu
 
Kutaka tu kuchanganya watu hivyo vitabu vyenu, Mimi sihangaiki hata kusoma, mambo ya kiroho yapo kwenye practical zaidi, ukitaka ubaya kajifunze kwa wabaya practically, ukitaka miujiza ya Mungu kajifunze practical kwa watu waliofanikiwa kupitia wema wa Mungu, hiyo biblia imejitoleza kabisa Wala hakuna haja ya kujichanga na vitabu vingine, tatizo wangu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndo maana wanatapatapa, maarifa ya kweli ya kiroho yalikuwa practical kwa wazee wetu Sasa kama hukubahatika kupata hizo elimu inakuwa ngumu hata ukisoma hivyo vitabu kufanikiwa, mfano jamii ya zamani ilifundishwa kuheshimu chumvi na jamii nzima ilijua nimarufuku kuomba chumvi kwenye nyumba ya mtu mwingine na lazima ununue kabla haijafika usiku maana nikitu kilichobeba baraka ya nyumba iwapo kikiingia ndani kisitoke bila mashariti na biblia ilivyokuja ikaja na maneno ya umuhimu wa chumvi kwa Kila mtu ila haikuhangaika kuweka onyo maana jamii ishajua jinsi ya kuitendea chumvi sasa kwa vile watu wapo kipindi cha kudharau ile mifumo ya asili wanajikuta hiyo biblia haiwasaidii chochote zaidi ya kuwa hadidhi ndo wanahangaika kutafuta tena vitabu vingine wasome bila kuwa na misingi ya mafundisho ya asili, Sasa hiyo Zaburi kaandika Daudi ila wakati anaandika tayari anajua masomo ya asili hivyo baada ya matendo ya asili ndo anaandika musisitizo utakao ongeza nguvu, mfano Andiko la Bwana ndiye mchungaji wangu sintakungukiwa na chochote hapo tayari Kuna matendo ya asili alifanya na Sasa anaongezea nguvu kwa kuandika maombi yake Ili Yale matendo ya asili alliyofanya yaweze kufanyika kwa Imani na Ili ufanikiwe kwenye Imani lazima uwe na matendo ya Imani ndo ufate maandishi, Sasa hivi vitabu vya kuchanganya watu mwisho siwatachanganyikiwa?
Zote ni zabu
ri hiyohiyo unayoijua,tofauti ni namba tu....Kutaka tu kuchanganya watu hii comment yako,watu wasahau huu ni uzi wa tiba waone ni wa dini za jadi.Nioneshe n wapi nimesema bible haijajitosheleza?Nioneshe ni wapi nimemkataza mtu kutumia biblia? Usiharibu uzi wamwenzio, fungua wako.Nilichofanya ni kuwakumbusha tu wadau kwamba 'the book of gold'kuna zabur moja imepelea,km sjasahau ni ya 147 haipo,ambapo kwenye bible tunayo.Mimi hcho ktabu nimekijulia hapa kwenye uzi,ktk kukpitia ndio nikagundua hlo na kuanza kufatlia google nikapata tena hcho cha 'psalter'.Hebu niache,chukua yanayokuhusu na kukuvutia,mengine achana nayo.USIRUDIE KUNI QUOTE.Subiri waliochanganyikiwa na post yangu waseme wenyewe na si wewe kuwasemea.
 
Oh vijana wadogo wanaonekana wazee kweli ustaarabu na uzungu utatumaliza rule vyakula vya asili tuchemshe viazi na maganda Yake alimradi tumeviosha kabla,faida ni kubwa sana utausitiri ujana wako Kwa kipindi kirefu sana ,watazeeka wewe utabaki vilevile kijanapendelea kula Kwa kuchanganya na maziwa ,AFYA NJEMA.HII NI DAWA KUBWA SANA.View attachment 2376246
Pia ingekuwa Bora saana mkuu Kama ungetwambia kinachopatikana kwenye hivyo viazi vilivyochemshwa na maganda yake
 
Kuna mtu alituma kitabu kimeandikwa The Book of Gold, namshukuru nimekisoma japo kuna changamoto moja ninaipata nashindwa kuelewa kwenye maelezo mbalimbali anasema andika hii zaburi (Pslam) au isome mara 7 mchana na 7 jioni, ninaposhindwa kuelewa sasa ndipo swali langu lilipo hiyo zaburi ipo wapi. Mfano pslam 45 naipata wapi, naomba aliyetuma kitabu anisaidie aisee
Mwenye link ya hicho kitabu "The Book of Gold" au mwenye pdf anitumie nikijaribu kudownload inaniletea vingi tofauti tofauti
 
Pia ingekuwa Bora saana mkuu Kama ungetwambia kinachopatikana kwenye hivyo viazi vilivyochemshwa na maganda yake
Overwhelmed with carotene!, which very very important and actives katika Ku cover cell zilizozeeka.
 
Back
Top Bottom