Naam. Kweli ni dawa ya chunjua (Warts)na unatakiwa uitumie kwa uangalifu - huku ukimshukuru Mungu kwa kuumba mti huu. Asante.Huo utomvu ni dawa ya chunjua, huwa unapakwa palepale kwenye chunjua na sio sehemu isiyohusika.
Majani ya mti huu yaliyodondoka yenyewe kwa kukomaa na yakakauka yenyewe hapo chini ya mti , Hii pia ni dawa nzuri mno kwa tiba ya meno yanayodondoka hovyo e.g. jino linalegea bila maumivu halafu baadaye linang'ooka lenyewe au muathirika anaamua kulitoa kutokana na usumbufu anaoupata wakati wa kula chakula.Naam. Kweli ni dawa ya chunjua (Warts)na unatakiwa uitumie kwa uangalifu - huku ukimshukuru Mungu kwa kuumba mti huu. Asante.
Ya natumika je hayo?Majani ya mti huu yaliyodondoka yenyewe kwa kukomaa na yakakauka yenyewe hapo chini ya mti , Hii pia ni dawa nzuri mno kwa tiba ya meno yanayodondoka hovyo e.g. jino linalegea bila maumivu halafu baadaye linang'ooka lenyewe au muathirika anaamua kulitoa kutokana na usumbufu anaoupata wakati wa kula chakula.
Hii ilikua dawa ya nini?Mie nimetumia mizizi ya mgomba na dude lake lile la rangi ya pinki kuogea na kunywa vimesaidia
Ikipatikana hii instue mkuu.TIBA YA TEZI DUME
Majani hayo hukaangwa na baadaye husagwa kuwa unga ambao hutumiwa kama dawa ya mswaki
Shukurani .Majani hayo hukaangwa na baadaye husagwa kuwa unga ambao hutumiwa kama dawa ya mswaki
Mkuu, Zingatia hii: -Ni Tiba kwa yale meno yanayolegea na hatimaye kung'oka yenyewe au kuondalewa na muathirika(Periodontitis) sio jino linalouma au lililotoboka.
Mkuu ukipata tiba tujuzane naminimuhanga wa goitaHabari wakuu.
Naomba msaada wa kujua dawa ya mtu aliyepata Goita / Rovu( kuvimba shingoni ) Atumie nini?
Unamaanisha mzungwa?"Historia ya Binadam imetokana na mnyama, ulikuwa zamani unakaa misituni huko unakula mimea na mizizi hayo madawa ambayo yana chemical futilia mbali.
BURE kabisa, "dawa ya UTI nakupa warranteee!!! wa miaka 7 bila UTI nyumbani mwako
Chukua majani ya mchungwa vikombe 4, yaoshe yachemshe na mizizi yake au magombe jikoni
Tenga mezani kikombe kimoja tia kijiko kimoja cha chapa maandazi kunywa vikombe 4 kwa siku
Hutaenda kununua hizo dawa za UTI najua wapo wanaouza dawa za UTI BUT hizi mimea ni haki yako mtu mweusi kuijua ndio asili yako na sisi wasomi Elimu yako itoe tija kwa watu weusi wenye vichwa vigumu kuamini Mzungu ni BORA.
manjano na maziwa sio maji mkuu!Baada ya kuhisi maumivu ya kichwa nimetumia mchanganyiko wa manjano pamoja na maji kisha nimekunywa, ndio nipo nasikilizia hapa.
Science au uchawi?View attachment 2388645
jinsi ya kumjua mwanamke au mwanaume aliyewekewa tego la kiganga na mpenzi wake hili asichepuke.
KWAKUTUMIA JANI LA MGOMBA.
Tumefundisha dawa nyingi za mapenzi,zikiwemo dawa za mtu kumfunga mpenzi wake wa kike ama wa kiume hili asiweze kuchepuka.
Wengine huwafunga wapenzi wao hili kama unafanya nae mapenzi upatwe na ugonjwa wa ajabu,tupu zinasane na mambo mengine mengi.
Sasa ukitaka kujua kama mtu uliyenaye amefungwa kiganga/kichawi fanya yafuatayo.
-chuma jani la mwisho kabisa kwenye kilele cha mgomba
-Jani hilo litie kwenye uvungu wa kitanda alichokaa au kulala
Matokeo.
1.ukilitia tu jani uvunguni na likasinyaa hapohapo ujue huyo hafai na atakusababishia majuto.
2.kama jani litakuwa vilevile basi ujue yuko salama endelea kuenjoy.
Hivyo vyote unavichanganya au??MVUTO WA AJABU WA BIASHARA .
DAWA KIBOKO YA MVUTO.
dawa hii ni ya miti dawa hii ni kibojo ya biashara kama wewe ni mama ntilie(muza chakula) mfanya biashara wa aina yoyote basi hili ni bomu lako ili likulipukie , hii dawa niliwai toa humu kipindi hicho na watu waliizarau kwakua hawakuniamin lakin hii nasema utaangaika nadawa za mivuto hili ni bomu kama wewe una frem, kilinge, biashara ya kutembeza , umachinga nk haki ya allah iko juu yetu wana imani nae ni mwingi wa muelevu nenda duka la asili kanunue
1LUHAHO
2MLIPU
3MCHEKA
4MWINAMO
5MVUTE
6KINAMATA.
dawa hii itumie kwa kuchoma kama sehemu yako ya biashara inaruhusu kuchoma , pakaa dawa hii kila siku asubui ila ukiwa umechanganya kwenye mafuta NAZI , ndugu yangu pakaa kwa manuizi ya mvute hata kama wewe kazin kwako hukuwai kupanda cheo basi hii ni mwisho wao utapanda , na umefukuzwa kazi alafu huelewi kuwa nini sababu basi hili ni ponyo sina mengi fanyeni ili mufaidike na nyinyi ndugu zangu[emoji1431].
Science au uchawi?
Mvute ndiyo ile mvuto au tofoauti? Na Mcheka ndiyo mchekea?Ndio