Empress_sheila
JF-Expert Member
- Apr 16, 2022
- 293
- 336
Naombeni dawa ya kuacha kukojoa kitandani kwa mtoto wa miaka 15
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia najazia tu tafuta ufuta mweusi mpatie atafune kila kabla ya kulalaNaombeni dawa ya kuacha kukojoa kitandani kwa mtoto wa miaka 15
Kwa muda gan mkuu! ShukranPia najazia tu tafuta ufuta mweusi mpatie atafune kila kabla ya kulala
Rahisi kamua maziwa ya nguruwe kunywa, hakika ukiona pombe utasikia kichefuchefuMi naomba kujua dawa ya kuacha kunywa pombe
Aina nyingine ya dawa kaka maana....Rahisi kamua maziwa ya nguruwe kunywa, hakika ukiona pombe utasikia kichefuchefu
Ngoja wadau waje, mi nafaham hii nilipewa na babu yangu wakati nabalehe ile najaribu kuanza kunywa vipombeAina nyingine ya dawa kaka maana....
Kwa mlevi unayetaka kumwachisha pombe unafanyaje? Maana wapo walevi kwa makusudi kabisa hawataki kuiacha na unaona kabisa pombe inamuharibu Saidia hili ndugu!Rahisi kamua maziwa ya nguruwe kunywa, hakika ukiona pombe utasikia kichefuchefu
Chukua chumvi mawe punje 5 na mbegu za mlonge punje 20 twanga au saga kisha fanya kama dawa ya meno swakia siku 2 au 3 In ShaA ALLAH tatizo kwishaaaMkuu tatizo la meno yote kuuma na kuna mda Hadi fizi zinavimba chanzo ni kipi na tiba ake ipoje.
Ila awali lilianzia meno kupata ganzi ila kwa Sasa imefikia hatua ya meno yote kuuma naomba ushauri wako mkuu.
Hata wakiadvance hawawezi shinda.Wakiadvance na tiba nazo uadvanceHii njia hii wa huku nilipo wana beba mkuu yaani sijui wame advance!??
Unapiga ile kubwa ya kuuwa kabisaHii njia hii wa huku nilipo wana beba mkuu yaani sijui wame advance!??
Namuogopa MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI NA VILIVYOMO KATI YA MBIGU NA ARDHI TU! VINGINEVYO NINGEWAPIGA KUBWA MNOOO MKUUUnapiga ile kubwa ya kuuwa kabisa
Ebu Andika haya katika karatasi nyeupe uone kama watabeba,
SATOR
AREPO
TENET
OPERA
ROTAS
KWA wino mweusi tii.
IPO iyo mkuuUnapiga ile kubwa ya kuuwa kabisa
Ahsante.Hapo kwenye tinitus anatafuna majani ya bhange mabichi,sijui nimekuelewa mkuu?Kwenye jamii sijasikia wakitenganisha, lakini majarida mbalimbali yana tafiti zilizoegemea pote kwenye usikivu na maumivu.....
Wapo walioisoma upande wa kusikia sauti/kengele [tinnitus] wakaja na matokeo kuwa inahusika na usafirishaji wa taarifa [endocanabinoid system]. Hasa kwa kuila bangi CBD. Huyo mwenye usikivu hafifu ntapendekeza apate mboga ya hii kitu
Lakini pia upande wa sikio kuvimba/maumivu maambukizi ndio hapo mafuta yake yanawekwa palepale sikioni. Ikiambatana na tiba nyingine imeleta matokeo mazuri pia.
Mbegu zake pia.Majani ya mpapai ni dawa ya malaria katakata Kama mboga za majini unachemshe chuja Kama chai unakunywa glass moja asbuhi moja mchana na jioni kwa siku mbili tumia njoo ulete mrejesho
Wakuu kuna majani yanaitwa bay leaf mwenye kujua yanapopatikana maana nimeambiwa ni dawa ya matatizo kibao ya kiroho