Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

THE EGG AND SILVER COIN RITE TO REMOVE BAD MONEY LUCK

If you are a person who never seems to be able to make enough money to meet your financial needs, or if you are able to make what should be considered 'enough' money but that such money easily slips through your fingers, then the following rite is for you. It has the power to remove from you the bad luck (i.e. with regard to money) and replace it with gradual but steady financial prosperity. This is what you should do:

(a) At 12AM (Noon) or 12PM (midnight) of any Friday of your choice, go alone to a fork in a path (where a footpath branches out to give a Y-shape of two separate paths leading from the original path). You should take with you one chicken egg and any high-value silver coin (a currency of the country you currently live in); the higher the value of the silver coin, the better it is for the purpose of this rite.

(b) Stand at the point where the main and branch paths meet to form the fork, preferably facing the space between the two branches (that is, with your back to the main path). Hold the egg in your left hard and the coin in your right hand. Close your eyes and say, once only, the following:

Spirit of this Fork, hear me!
I command thee in the name of Jehovah,
To accept this egg as payment for The services I ask of thee!
I wish that... (state your wishes).
So mote it be!

Then throw the egg over your shoulder as hard as you can. But drop the coin on the ground, where somebody else is likely to subsequently see and pick it up. Go away from the fork without making any attempt to see where the egg fell. If it is possible to do so, go home by either of the branch paths i.e. without having to turn back to go along the main.

NOTE: (i) It is fair to mention that if this rite is performed at night (midnight) the spirit of the fork may appear before you in human or non-human form - and ask you detailed questions about what you want. It may tell you what actions to take to realise your financial objectives. If the spirit does appear, as it sometimes will, please do NOT run away. No, the spirit won't harm you if you do so, but you would have lost a great opportunity to improve your financial circumstances. Finally, please note that the spirit will often appear, if it does at all, in frightful shape or form- but it does so only to test your courage.

(ii) You may find a suitable fork on any well-used park, field, common, etc. If you live in the country, it should normally be easier to find an appropriate fork. If you intend to perform the rite at noon, then do so where you are unlikely to be noticed by other people. Performance of the rite should take only a few minutes.


Kila mtu anapenda hela na utajiri.

Ulishajaribu ikakupa matokeo???

Ingekuwa kila kinachoandikwa kwenye vitabu kinafanya kazi,ningekuwa mchawi/mganga mwenye PhD.

Kuna DUDE linaitwa LUCIFER AND THE HIDDEN DEMONS.

Kuna DUDE linaitwa MAGICK OF ANGELS AND DEMONS.

Kuna DUDE linaitwa WEALTH MAGICK

yote hayo nishavuruga
 
Kila mtu anapenda hela na utajiri.

Ulishajaribu ikakupa matokeo???

Ingekuwa kila kinachoandikwa kwenye vitabu kinafanya kazi,ningekuwa mchawi/mganga mwenye PhD.

Kuna DUDE linaitwa LUCIFER AND THE HIDDEN DEMONS.

Kuna DUDE linaitwa MAGICK OF ANGELS AND DEMONS.

Kuna DUDE linaitwa WEALTH MAGICK

yote hayo nishavuruga
Sawa Mkuu[emoji16]
 
Naombeni msaada mi ni muanga wa punyeto na picha za utupu nmezamilia kuacha nahitaji msaada kutibu shida ya uume mdogo na kuwai kumwaga dawa za asili nina miaka kumi sasa toka nianze nyeto nikiwa form2 uboyzn
 
Pitia Uzi polepole kuna jani lilisha wekwa humu,chukuwa hayo majani changanya na mizizi ya mitula tula chemsha ukitanguliza mizizi hiyo ya mitulatula ikifuatiwa na hayo majani kunywa asb na jioni kikombe cha kahawa.,utapona.
Bro ebu angalia na swali langu chini
 
Mkuu unamaanisha mbegu moja tu Kila mwaka
Ndiyo mbegu moja inaweza kutibu tatizo la macho na kutoa Kinga ya mwaka mzima ila tatizo ni kubwa sana unaweza kumeza moja kwa siku baada ya wiki ukameza tena hivyo hata mara tatu lakini hata hiyo moja ukimeza utaona uponyaji, na ukiwa hauna tatizo lingine linalosababisha macho yasione kama sukari na pressure basi unakuwa umejitibu tatizo la macho.
 
Mkuu kwenye hili natoa ushuhuda.
My wife alikuwa na PID tena Kwa miaka Zaidi ya mitatu. Tulihangaika Sana hospitals bila mafanikio.

Sasa yeye yupo kwenye vikundi vyao vya kina mama wakamshauri atumie mlongo na vitungui swaumu Kwa kumeza.

Alimeza Kwa muda wa siku 15 Jana nilimpeleka TMJ wamempima tena Hana PID yaani doctor anasema hakuna hata dalili za PID.

Wakati nilitumia hela nyingi Sana Kwa matibabu ya hospitals . Ila mlonge ninao nyumbani ni kuchuma na kuchemsha Tu maji. Vitungui swaumu bei yake inajulikana.

Tunadharau hizi tiba asili Ila zinasaidia Sana.
Alikua anatumia kwa kuchemsha majani na kunywa au?
 
Mkuu ni kweli Asante sana. Umebarikiwa Whitney Houston:
Amina,amina.Umebarikiwa nawe pia kwa kunielewa kwa urahisi. Iliwekwa zaburi 143 hapa(sikumbuki nani alituwekea) watu tulikua hatujui kitu wala hatuna kitabu,si nikaenda kuitumia 143,mweh!Kitabu kimekuja kupandishwa hapa naenda kucheki nakuta ilitakiwa nitumie zab 144 kw bible ya kawaida dah!
 
TIBA YA PUMU
  • Tangawizi vijiko 4
  • Uwatu vijiko 2
  • Mdalazini vijiko 4
  • Karafuu kijiko 1
  • Asali nusu Lita

Kijiko ni kile cha kulia chakula.

Changanya yote koroga sana tumia kijiko 1 Mara tatu kwa siku.


Uwatu ni nini?
Ukienda maduka ya dawa watakupatia fenugreek, pia ni kiungo kwenye mboga. Wauza viungo wanakifaham hicho kiungo

Hiyo ninaushihuda nayo, imemsaidia wife, nilimtengenezea mwenyewe baada ya kupata formula hiyo kutoka kwa msamalia mwema. Wife kapona. Hasumbuliwi tena na pumu.

[emoji1434]
 
Amina,amina.Umebarikiwa nawe pia kwa kunielewa kwa urahisi. Iliwekwa zaburi 143 hapa(sikumbuki nani alituwekea) watu tulikua hatujui kitu wala hatuna kitabu,si nikaenda kuitumia 143,mweh!Kitabu kimekuja kupandishwa hapa naenda kucheki nakuta ilitakiwa nitumie zab 144 kw bible ya kawaida dah!
Unatumiaje unasoma Sura ya Kwanza mstari wa Kwanza mfano zaburi 144;1

au 144 1-.... Unasoma mistari Hadi mwisho wa Sura.

Au ipoje?
 
Unatumiaje unasoma Sura ya Kwanza mstari wa Kwanza mfano zaburi 144;1

au 144 1-.... Unasoma mistari Hadi mwisho wa Sura.

Au ipoje?
Kama kwenye maelekezo hujapewa ukomo we soma sura yote verse 1-mwisho,pia kuna zab nyngne ktk maelekezo nimeona wamesema mf.''read this psalm until.......(kinafuata kilatini hapa)''sas mi sijui kilatin,pengne ndo mstar unaopaswa kuishia huo ila umewekwa kilatin,ila sio zab zote zenye hyo limit, hapa alietupa kitabu atusaidie.Natumai maelekezo ya usome zab husika mara ngapi umeyaona(nakukumbusha tu hapa).
Na zinafanya kazi ukweli jaman.Nimefanyia kaz zab moja humo,matokeo niliyopata yaan siamin macho yangu.
 
Rituals ambazo nimeshuhudia maajabu yake kwa macho yangu live tena papo hapo.

KIVUTA WATEJA KWENYE BIASHARA

BOOM[emoji93][emoji93]..zoom usome
Huu ni uchawi! Watu wengi wanataka kujifunza Amal ya shetani.
 
Ndiyo mbegu moja inaweza kutibu tatizo la macho na kutoa Kinga ya mwaka mzima ila tatizo ni kubwa sana unaweza kumeza moja kwa siku baada ya wiki ukameza tena hivyo hata mara tatu lakini hata hiyo moja ukimeza utaona uponyaji, na ukiwa hauna tatizo lingine linalosababisha macho yasione kama sukari na pressure basi unakuwa umejitibu tatizo la macho.
asante, mimi tayari nilishameza hako ka mbegu
 
Kama kwenye maelekezo hujapewa ukomo we soma sura yote verse 1-mwisho,pia kuna zab nyngne ktk maelekezo nimeona wamesema mf.''read this psalm until.......(kinafuata kilatini hapa)''sas mi sijui kilatin,pengne ndo mstar unaopaswa kuishia huo ila umewekwa kilatin,ila sio zab zote zenye hyo limit, hapa alietupa kitabu atusaidie.Natumai maelekezo ya usome zab husika mara ngapi umeyaona(nakukumbusha tu hapa).
Na zinafanya kazi ukweli jaman.Nimefanyia kaz zab moja humo,matokeo niliyopata yaan siamin macho yangu.
mimi bado sielewi, najaribu kupitia na vitabu vingine vinavyofafanua nguvu ya zaburi nipate combination moja matata 😀
 
Sawa mkuu
Ameshazunguka hospital zote ukianza chini Tmj mpaka kufika aghakhan akapewa tu hearing aid na izo neuro
file limegoma kupanda hpa.Ila ktk orodha nimeona 'mentha spicata'itakufaa.sijui km inapatkana tz.
2022-10-08-17-10-18.png
 
Back
Top Bottom