Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Wataalamu ninaomba formula au dawa ya mtu kuacha pombe .Nia yangu nikijua niitengeneze niwasaidie vijana wanaoumiza sana familia zao kwa ulevi.naambiwa ipo mitishamba ambayo mtu anaacha kabisa pombe.Tatizo hawa vijana ni hohe hahe hawana hela za kuona waganga wakubwa wapone .
WAKUU MSAADA
 
Wataalamu ninaomba formula au dawa ya mtu kuacha pombe .Nia yangu nikijua niitengeneze niwasaidie vijana wanaoumiza sana familia zao kwa ulevi.naambiwa ipo mitishamba ambayo mtu anaacha kabisa pombe.Tatizo hawa vijana ni hohe hahe hawana hela za kuona waganga wakubwa wapone .
Mkuu kwa mmi bnafsi namjua mtu mwenye dawa huo lkn yupo mwanza kawatibu wengi niliowapeleka mimi au kuwaelekeza ni mbibi
 
Mkuu kwa mmi bnafsi namjua mtu mwenye dawa huo lkn yupo mwanza kawatibu wengi niliowapeleka mimi au kuwaelekeza ni mbibi
Mm sio mgonjwa nlitaka saidia jamii yangu tu mwaka huu tumezika vijana 8 survey kwa ulevi
 
Anaejua dawa ya biashara hasa kuvuta wateja dukani ashee nasi au aje pm.
Nipo tayari kuchangia kiasi kidogo kulipa wema wako utakaokuwa umenifanyia. Kikubwa iwe dawa ya uhakika.

Au kama wewe ni mfanyabiashara wa duka na unajua mambo fulani fulani ya kuvuta wateja naomba uje pm tubadirishane maarifa. Naweza kukupa kitu amazing sana
[emoji23][emoji23]tafta location nzuri ya biashara
 
Habari wakuu.

Ninatafuta dawa moja inaitwa lisubata mizizi yake.

Nasikia inaota sana kanda ya ziwa mikoa ya Mwanza, shinyanga na Geitwa msenye Access ya kuipata tafadhali ani pm ama anisaidie hapa kwa faida ya wengi.

Natanguliza shukrani nyingi sana.
 
Kwa Wale wanajamvi wanaopoteza hela yao kutafuta dawa ya kukuza maumbile, nitakuja kuwapa code hapa...

Ingawa ni vyema utumie ukiwa na tatizo hilo kweli usifanye tu alimradi umefanya

mkuu hiyo code umeshatoa tayari?
 
Njia rahisi ya kuondoa tatizo hilo ni kutafuna karafuu mara kwa mara au chukua nusu kijiko cha unga wa karafuu weka kwenye maji ya vuguvugu kisha kunywa. Fanya hivo kutwa mara mbili kwa siku 5 hadi 7 tatizo litaisha kabisa

karafuu ipi mkuu, iliokauka au mbichi?
 
Back
Top Bottom