Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wakiona mbwa ,Paka na wanyama wengine huwapiga mawe na kuwapa mateso makali .
Mara nyingine wafugaji wanasahau haki za wanyama mfano kutowapa chakula kwa wakati au kutowapa kabisa ni muhimu kuzingatia hii..View attachment 2306001
Wakati huohuo mpo mstari wa mbele kwenye ushirikina
Ushirikina ni dhambi kubwa kuliko zote katika Uislam. Ushirikina ni moja katika vichenguzi vya Uislam. Yaani unamtoa mtu katika Uislam.Wakati huohuo mpo mstari wa mbele kwenye ushirikina
Ndugu zetu katika Imani, Namaanisha wale wa MnyaaaaaaaaaziAssalam'aleikum...
Karibuni wote katika sehemu rasmi hapa Jf ya kuelimishana na kuzinduana na kupata maarifa kupitia picha za nukuu na picha zinazohusisha dini ya kiislamu . Baada ya pilipilika mabalimbali ni vyema kupata kitu hata kidogo kitachoongeza kitu katika siku yako na pengine jambo kitu kidogo kinaweza kuwa na manufaa makubwa kwa mtu..
View attachment 2305977
View attachment 2305978
Mimi wakati wa kusoma Qur'an nikiona verse yeyote inayosema Mwenyezi Mungu anawapenda watu fulani huwa hiko kitu nakitilia umakini mno na najitahidi nipate sifa hiyo .
Ni muhimu sana Shetani ana mbinu nyingi mno na hatua zake katika kuhakikisha anapata sapoti na kundi la kutosha la kuingia nalo Jehannamu 🔥 (Mwenyezi Mungu atuepushe)Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi
Soma Surat Al baqaraNi muhimu sana Shetani ana mbinu nyingi mno na hatua zake katika kuhakikisha anapata sapoti na kundi la kutosha la kuingia nalo Jehannamu 🔥 (Mwenyezi Mungu atuepushe)
Nataka nianze kusoma kitabu cha Mwanachuoni ninayemkubali na kumpenda mno Imam Ibn Jawz kinachoitwa Tablis Iblis(kwa kiarabu kama sikosei) kuhusu mbinu za shetani na hatua za kutegua mitego yakeView attachment 2307353