Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

1617856335309.png


Ndoa nyingi zimevunjika ,mahusiano mengi yamezorota, ukaribu nao umepungua.

Zama hizi zimekuwa na changamoto ya mahusiano mengi kuvunjika kuliko zama zilizopita.

Watu wamekuwa wanalalamika kwamba ndoa za sasa hazidumu na hata mahusiano baina ya watu yana changamoto nyingi.

Hayo ni kweli na mafuriko ya taarifa tuliyo nayo sasa yana mchango mkubwa kwenye kudorora na hata kuvunjika kwa mahusiano mengi.

Kujenga mahusiano yoyote yale , kuna hitaji kazi na muda. Katika zama hizi , muda ni kitu hadimu sana, hivyo mahusiano yanakosa muda yanayohitaji ili kukua , kitu kinacho pelekea mahusiano hayo yavunjike.

Urahisi wa mawasiliano pia umepelekea watu kutokuweka umakini kwenye mahusiano yao, hasa ya mapenzi kwa sababu wanajua wanaweza kupata mtu mwingine wakati wowote.

Kipindi cha nyuma haikuwa rahisi kuwasiliana na watu kama sasa, hivyo mtu alitumia muda wake kwa mpenzi au mweza aliye naye.

Tunaona jinsi ugomvi mkubwa kwenye mahusiano ya kimapenzi au ndoa unavyoanzia kwenye simu, pale mmoja anapokuwa na mawasiliano na mtu mwingine ambayo yana ashiria mahusiano ya kimapenzi.

Simu zetu pia zimekuwa na nguvu ya kuwaleta karibu walio mbali na kuwapeleka mbali walio karibu.

Angalia watu wanapokutana, hata kama hawajaonana kwa muda mrefu , dakika chache za mwanzo watajuliana hali, lakini baada ya muda kila mtu atainama kwenye simu yake na hakuna mazungumzo ya maana yatakayofanyika .

Kukosekana kwa muda wa kuwa na mazungumzo ya kina baina ya watu kumechangia sana mahusiano kudorora na hata kuvunjika.

Kutumia muda mwingi kwenye taarifa kuliko ana kwa ana pia imechangia mahusiano kuzorota na kuvunjika.

Kipindi cha nyuma watu walikuwa na muda wa kuzungumza ana kwa ana kujadili changamoto zao mbalimbali. Lakini zama hizi wanakwepa mazungumzo ya ana kwa ana na kutumia mazungumzo ya simu au mitandao ya kijamii.

Ni vigumu sana kutatua hali ya kutoelewana kupitia mazungumzo ya simu au mtandao.

Ni dhahiri kwamba teknolojia mpya, hasa simu janja na mitandao ya kijamii, vimekuwa tatizo kubwa kwa wengi. Kila mtu analalamika jinsi vitu hivyo vinavyochukua muda mwingi, na kuchangia mahusiano mengi kuzorota na kuvunjika kabisa.

Wanaotengeneza na kuendesha teknolojia hizo hawajali kuhusu hilo, kwani kadiri unavyozitumia kwa muda mrefu, ndivyo wao wanavyopata faida.

Hivyo wamejipanga kuhakikisha watumiaji wanaendelea kuwa wafungwa kwenye teknolojia hizo.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo, hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia za kuondoka kwenye utumwa huo.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na utumie teknolojia hizi kwa manufaa makubwa kwako.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya. Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali. Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui. Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

OFA: Ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako. Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
Unafundisha watu wajitoe kwenye mitandao ya kijamii.

Mkuu naona umesahau kujitoa JF, huko Instagram, Twitter na FB naona ushajitoa.
 
1618031097023.png

Maeneo Muhimu Kwenye Maisha Yetu, Maeneo Ambayo Tunapaswa Kuyapa Kipaumbele Kwenye Muda Wetu.

Mambo mengi, muda mchache ni kauli maarufu sana enzi hizi
.

Mambo yakufanya yanaongezeka kila siku, lakini muda wa kufanya mambo hayo ni ule ule.

Na hapa ndipo wengi wanapopata msongo.

Ili tuweze kuondokana na usumbufu kwenye maisha yetu, tunapaswa kutenga muda wa kufanya yale ya muhimu kwetu na kuuheshimu muda huo.

Watu wengi wamekuwa hawatengi muda wa kufanya vitu , huwa wanaona muda upo tu, wanakuja kushtuka siku imeisha na hakuna kikubwa ambacho wamekifanya.

Kama unataka kuondoa usumbufu kwenye maisha yako , unapaswa kutenga muda wa yale muhimu kwenye maisha yako, na kisha kutumia muda huo kwa yale uliyopanga tu, na siyo kwa jambo jingine lolote.

Lakini pia unapaswa kutenga muda kwa ajili ya usumbufu, na kila aina ya usumbufu unauruhusu kwenye muda huo.

Unapotenga muda kwa ajili ya vitu na kuuheshimu, utaweza kukabiliana na usumbufu na kufanya makubwa.

Swali ni je unapangaje muda na tunawekaje vipaumbele vyetu?

Kuna maeneo matatu(3) muhimu kwenye maisha yetu, maeneo ambayo ndiyo tunapaswa kuyapa kipaumbele kwenye muda wetu.

Maeneo hayo ni wewe binafsi, mahusiano na kazi.

Ndani ya kitabu kipya kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utakwenda kujifunza jinsi ya kuweka vipaumbele kwenye maeneo hayo matatu na kuondoka na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba(7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

OFA: Ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1618287245955.png

Ni nani asiyejua kwamba ukila vyakula vya wanga kwa wingi unaongeza uzito na kukaribisha magonjwa sugu kama presha na kisukari?

Ni nani asiyejua kuvuta sigara kuna madhara makubwa kiafya?

Ni nani asiyejua kwamba matumizi ya simu wakati wa kazi kunapunguza umakini na ubora wa kazi ambayo mtu anafanya?

Ni nani asiyejua kwamba kuzurura kwenye mitandao ya kijamii siku nzima kunakufanya ujisikie wivu na hata vibaya unapoangalia maisha ya wengine , lakini pia unajua wanayoweka mitandaoni siyo kweli?

Rafiki, kila mtu anajua madhara ya kufanya vitu hivyo , na vingine vingi.

Kila mtu anajua kitu sahihi cha kufanya ili kuwa na maisha bora, kuanzia kwenye afya, mahusiano, kazi na hata biashara.

Lakini pamoja na kujua kilicho sahihi kufanya, bado wengi hawafanyi.

Yaani unajua kabisa kipi sahihi kufanya , lakini hufanyi! Unaweza kushangazwa na hilo?

Huwa tunakosea sana tunapodhani kwamba kujua kilicho sahihi kufanya ndiyo tumemaliza kila kitu.

Hii siyo kweli, na kama ushahidi unavyoonesha, kila mtu anajua cha kufanya , lakini wengi hawafanyi.

Swali la kujiuliza ni je tunakwama wapi? Iweje tujue kilicho sahihi kufanya , lakini hatukifanyi?

Jibu la swali hili na hatua za kuchukua nimekuwekea kwenye kitabu kipya cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Mpaka sasa kimesaidia mamia ya watu waliokisoma na kila siku watu wanatoa shuhuda, kama wewe ni mmoja wao soma ukurasa wa 65, kama bado uja pata nakala yako ya kitabu wasiliana na namba 0752977170, utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba(7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

Kwa sababu ya maombi ya watu wengi Leo tunatoa OFA kwa watu hamsini(50) wa kwanza, ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1618464378223.png

Siku moja mwandishi wa vitabu Tom Corley alifanya utafiti wa tabia za kila siku za matajiri 233 na pia akachunguza tabia za kila siku za watu maskini wapatao 128.

Alichogundua ni kuwa kulikuwa kuna tofauti kubwa sana kati ya tabia za maskini na matajiri.

Katika kipindi cha utafiti wake aligundua kuna karibu mambo 300 ambayo hutofautisha wanaofanikiwa na wale ambao hawafanikiwi maishani.

Mara nyingi ni rahisi sana kufikiri kuwa tofauti ya waliofanikiwa na wasiofanikiwa hutokana na mambo makubwa sana yanayotutofautisha.

Ukweli ni kwamba tabia ina nguvu kubwa ya kuamua hatima yako ufanikiwe au ufeli.

Tabia za kitajiri ni ngumu kuzijenga na ni rahisi kuzivunja, upande wa pili ni kinyume chake tabia za kimaskini ni rahisi kuzijenga na ni ngumu kuziacha.

Na hii ni kwa sababu Ujengaji wa tabia huwa unaanzia kwenye akili zetu, hivyo hata kuzivunja lazima kuanzie kwenye akili zetu pia.

Huwa tunaijenga tabia kwa kutumia nguvu ya kufikiri lakini tabia ikishajijenga huwa tunaitekeleza bila hata ya kufikiri(mindless).

Chukua mfano mdogo wakati unajifunza kuendesha baiskeli au gari.

Mwanzoni ulikuwa unafikiria kila unachofanya , hukuweza hata kuongea na mtu wakati unaendesha, maana kila wakati ulikuwa unafikiri kuchochea au kukanyaga mafuta, breki na kubadili gia.

Lakini baada ya kuwa dereva mzoefu, unajikuta unaendesha bila hata ya kufikiria , tena unaweza kuendesha huku ukiwa unaongea na wengine.

Mfano huo unatuonesha jinsi akili zetu zinavyojenga tabia , mwanzo tunatumia nguvu na umakini mkubwa kwenye kufikiri lakini baadaye tunaifanya bila hata ya kufikiri.

Ni hiyo hali ya kufanya bila ya kufikiri ndiyo inayojenga na kufanya uraibu uwe mgumu kuvunja.

Wengi wenye uraibu huwa wanajikuta wameshafanya kile walichozoea bila hata ya kufikiri.

Kwenye teknolojia na mitandao ya kijamii ndivyo pia uraibu unajengeka.

Awali wakati unaanza kujifunza kutumia simu janja au mitandao ya kijamii ulikuwa unatumia nguvu na kufikiri.

Ila baadae inakuwa rahisi kwako , unajikuta umeshika simu na uko kwenye mitandao ya kijamii bila hata ya kufikiria.

Ili tuweze kuvunja uraibu huu na wa aina nyingine , tunapaswa kutumia akili zetu vizuri, kama zilivyotuwezesha kujenga tabia, hivyo pia zitatuwezesha kuvunja tabia na uraibu.

Kama unataka kuvunja tabia za kimaskini ambazo zinakupotezea muda na zina kurudisha nyuma na huzipendi, huna budi kutumia uwepo wa akili (mindful) , mbinu hii itakusaidia sana kuvunja tabia nyingi mbaya.

Hii ni mbinu ambayo imenisaidia mimi na maelfu ya watu utajifunza kwa kina kwenye sura ya sita (6) ndani ya kitabu kipya kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kama unacho kitabu chako nenda moja kwa moja kwenye sura ya (6) ukurasa wa 125.

Kama bado hujapata nakala yako wasiliana na namba 0752977170 utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba(7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

Kwa sababu ya maombi ya watu wengi Leo tunatoa OFA kwa watu hamsini(50) wa kwanza, ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1618636253517.png


Mtaalaam Confucius, alinukuliwa akisema “Kuacha tabia mbaya ni rahisi leo kuliko kesho”.

Yupo sahihi kabisa kwa sababu huwezi kuitegemea kesho hakati leo yenyewe hujaitumia vizuri.

Ukishindwa kudhibiti hisia zako leo itakuwa ngumu kesho.

Kushindwa kudhibiti hisia kumefelisha mamilioni ya watu.

Ukweli ni kwamba mafanikio yako yamefichwa kwenye jinsi ya unavyoshughulika na hisia zako.

Pale hisia zinapokuwa juu, uwezo wa kufikiri unakuwa chini na hivyo hatua yoyote unayochukua hisia zikiwa juu, huwa ni hatua ambayo hujaifikiria kwa kina na umakini.

Mambo mengi unayoyafanya ukiwa na hisia kali , huwa yanaishia kuwa mabaya kwako.

Kwenye kuvunja tabia mbaya na uraibu, unapaswa kudhibiti sana hisia zako.

Unapaswa kujua ni wakati gani hisia zako ziko juu na kujizuia kuamua au kufanya chochote katika wakati huo.

Hisia zote, hasi na chanya zina matokeo yanayofanana , unapokuwa na furaha au huzuni kubwa , hisia hizo zinazuia usifikiri na hivyo kujikuta unachukua hatua zinazokuwa na madhara kwako.

Hisia za tamaa pia zimekuwa sababu ya wengi kuendelea na tabia mbaya. Kusalimu amri kwa tama zako ndiyo kitu kinachofanya tabia mbaya kuendelea kuwepo.

Ukivunja tamaa ambazo unazo , na siyo kwa kutumia nguvu, bali kuiona tamaa lakini kutokuchukua hatua yoyote unavunja zile hatua za kujenga na kuendeleza tabia.

Kujifunza kwa kina juu ya kutumia matumizi ya akili katika kuvunja uraibu na jinsi ya kudhibiti hisia zako huna budi kusoma kitabu kipya kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Mpaka sasa kimesaidia mamia ya watu waliokisoma na kila siku watu wanatoa shuhuda, kama wewe ni mmoja wao soma SURA YA 6 kama bado uja pata nakala yako ya kitabu wasiliana na namba 0752977170, utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba(7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu. Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

Kwa sababu ya maombi ya watu wengi Leo tunatoa OFA kwa watu hamsini(50) wa kwanza, ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1619150819626.png


Ni masaa mangapi unatumia kila siku kuzurura kwenye mitandao ya kijamii?

Unapaswa ufahamu hili miaka 20 iliyopita, kabla ya mitandao ya kijamii na simu janja hazijaingia kwenye maisha ya watu, mtandao ulipewa nafasi ya kufanya makubwa na hakuna aliyeweza kufikiri ingekuja na madhara makubwa kwa watumiaji wake.

Lakini miaka 10 baadaye, mambo yakawa yamebadilika kabisa.

Simu janja zikawa sehemu ya maisha ya kawaida ya watu na mitandao ya kijamii ikawa njia kuu ya mawasiliano na kupashana habari.

Hatari kubwa ambayo imeibuka ni usumbufu mkubwa ambao umeletwa kwenye maisha yako na simu hizi janja pamoja na mitandao ya kijamii.

Imekuwa vigumu sana kupata utulivu na umakini wa kuweka kwenye yale mambo muhimu ya maisha yako.

Kila mara unapata msukumo wa kuingia kwenye mitandao hii, kushirikisha kuhusu maisha yako au kuangalia nini kinaendelea kwenye maisha ya wengine.

Imefikia hatua ambayo unajishangaa mwenyewe, una akili kubwa sana ya utambuzi na kufanya maamuzi lakini unashindwa kujizuia kutumia simu janja na mitandao ya kijamii bila kikomo.

Tatizo hili limezidi kukua na sasa madhara yake yanakwenda zaidi kwa vijana wanaokulia katika kizazi hiki, wengi wanakosa muda wa kutengeneza mahusiano imara ya kijamii, ya kuwa na watu ana kwa ana kwa sababu muda wao mwingi wanautumia kwenye mitandao ya kijamii.

Kazi pia zimeathirika sana na mitandao hii, wewe ni mmoja kati ya wengi mnaokiri ufanisi na uzalishaji wako kushuka kutokana na matumizi makubwa ya mitandao hii ya kijamii.

Imegundulika njia bora ya kutatua changamoto hii, ni kutumia falsafa bora ya matumizi ya mitandao ya kijamii, ambayo ina manufaa kutokana na madhara ya mitandao hii.

Falsafa hii haibadili kitu kimoja kwenye matumizi yako ya simu janja na mitandao ya kijamii, bali inabadili mfumo wako mzima wa maisha na jinsi unavyoichukulia na kuitumia mitandao hii.

Rafiki unaifahamu falsafa bora ya matumizi ya mitandao ya kijamii iliyonisaidia mimi na maelfu ya watu?

Rafiki kama hauifahamu na hujaanza kuitumia nakushauri usome SURA YA NNE(4) ya kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, ukurasa wa 98.

Na kama mpaka sasa bado uja pata nakala yako ya kitabu wasiliana na namba 0752977170, utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Unavyozidi kuchelewa kuchukua hatua ndivyo unavyozidi kupoteza rasilimali muda.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba(7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu.

Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Ndani ya sura hii utajifunza jinsi ya kufikia viwango vya juu vya ufanisi.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

Kwa sababu ya maombi ya watu wengi Leo tunatoa OFA kwa waatu ishirini na tano(25) wa kwanza, ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
Back
Top Bottom