Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Mama Samia teua katibu mkuu Wa CCM toka Zanzibar nakuomba Tafadhali usiteue toka bara
 
Mama Samia teua katibu mkuu Wa CCM toka Zanzibar nakuomba Tafadhali usiteue toka bara
Haiwezekani.

CCM Zanzibar ina naibu katibu Mkuu wake, Comrade Dk Abdulla Mabodi.

Sasa ateuliwe tena wa huko awe KM basi CCM bara itakosa nafasi, ukizingatia tayari (anasubiri kuthibitishwa tu) Mwenyekiti ni kutoka huko..
 
Mama Samia teua katibu mkuu Wa CCM toka Zanzibar nakuomba Tafadhali usiteue toka bara

Umeona hawatakuteua ww, sasa unaanza nongwa. Chama la majizi ya kura bana, mko kihilahila tu.
 
Mama Samia teua katibu mkuu Wa CCM toka Zanzibar nakuomba Tafadhali usiteue toka bara
Huna pwenti na ni mbaguzi wa kunuka. Katibu wa CCM anapaswa kuteuliwa toka Tanzania bila kujali atokeako. Kesho mtaanza kupendekeza hata huko Zanzibar asitoke Pemba. Baada ya hapo mtahoji jinsi, dini hata umri mlivyokuwa wapumbavu wa kuchusha. Atoke Zanzibar hata kama ni calf siyo? Peleka huko ushamba na upumbavu wako wa kibaguzi.
 
Haiwezekani.

CCM Zanzibar ina naibu katibu Mkuu wake, Comrade Dk Abdulla Mabodi.

Sasa ateuliwe tena wa huko awe KM basi CCM bara itakosa nafasi, ukizingatia tayari (anasubiri kuthibitishwa tu) Mwenyekiti ni kutoka huko..
Hata ccm bara wana naibu pia Comrade Mpogoro
 
Haiwezekani.

CCM Zanzibar ina naibu katibu Mkuu wake, Comrade Dk Abdulla Mabodi.

Sasa ateuliwe tena wa huko awe KM basi CCM bara itakosa nafasi, ukizingatia tayari (anasubiri kuthibitishwa tu) Mwenyekiti ni kutoka huko..
Mwenyekiti kutoka bara na Katibu Mkuu kutoka bara, ina maana Zinzibar ilikosa nafasi?

Mbona Wazanzibar hawakunung'unika?

Mwenyekiti ikimpendeza Katibu Mkuu wa ccm atokee Zanzibar ni sawa tu kama ilivyokuwa kwa Wenyeviti waliopita kuchagua Makatibu Wakuu wa ccm kutokea BARA na ZANZIBAR kuwa na NAIBU KATIBU MKUU.

Daud Mwakawago, Pius Msekwa, Abdulhaman Kinana, Yusuph Makamba na Bashiru Ally Kakurwa.
 
Wewe Chadema ya CCM tuachie wenyewe
Basi usiyalete humu ndani malizanieni LUMUMBA huko ukiyaleta humu sisi tunakuwasha tu afu tunakupa za uso kama kawaida yetu

Mmekosa vya kuandika humu sasa mnatuletea madudu yenu ya CCM, pumbavu kweli wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa mnaanza kuleteana MAJUNGU wenyewe kwa wenyewe humo ndani afu unatushirikisha sisi ili tufanyeje

Si mlizoea kununua viongozi kutoka upinzani haya nunueni na katibu sasa. Majungu yenu na CCM yenu malizanieni hukoko usituletee humu sisi Mxieusssszzzz

Majungu ya kutetea LEGACY ya madaraja ya ubungo na tazara imekushinda umerukia UKATIBU MKUU yaani wewe YEHODAYA hujelewi kabisa

Tangu yule dikteta karudisha namba mbinguni UNAMHAHOOO wa hali ya juu hujielewi ndio tatizo la kuwa mnafiki hilo Sasa huna lakushika wala huelewki unataka nini

LEGACY veepe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom