Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Uzi Maalumu wa Vitabu vya maendeleo binafsi (Personal Development)

Kwanini asitoke bara?
CCM no chama cha muungano lakini makatibu wakuu Wa chama wamekuwa wakitoka bara tu hii ni kero mojawapo ya muungano ndani ya CCM

OK kama anataka ateue toka bara ateue Mwanamke kuwa katibu mkuu CCM kumejaa mfumo dume cheo cha katibu mkuu kimehodhiwa na wanaume tu miaka yote
 
1619415509834.png




Ulishawahi kufikiria Hilo Lingetokea?

Mtaalamu ALBERT EISNTEIN alishawahi kusema” Hatuwezi kutatua tatizo kwa kutumia kiwango kilekile cha uwezo wetu wa kufikiri tulichokuwa nacho wakati tunapata tatizo hilo”.

Ukweli ni kwamba kila changamoto inayokukabili leo inahitaji uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri au maarifa ili uweze kuitatua.

Kinachofanya changamoto iwe ngumu, sio kwa sababu ya jinsi ilivyo bali kwa sababu ya uwezo mdogo wa maarifa uliyonayo.

Tafiti zinaonesha kwamba, uraibu wa mitandao ya kijamii kimekuwa chanzo kipya cha ugonjwa wa sonona (depression) kwa wengi.

Kwa mfano mtu anapoweka picha au ujumbe wake, halafu watu wasiupende au wakaweka maoni mabaya, huku mwingine akiweka ujumbe au picha anapata likes nyingi au maoni mengi, inapelekea watu kuanza kujilinganisha na kuona wao hawajakamilika.

Wengine wanapoona wenzao wanaweka picha za kuonesha maisha yao ni mazuri, wakila vyakula vizuri, wakiwa maeneo ya starehe, wanaona wenzao wana maisha mazuri huku wao wakiwa na maisha mabaya, wasijue kwamba kila mtu anapenda kuweka picha za mambo mazuri , lakini yale mabaya hawaweki, na kila mtu ana mambo yake mabaya.

Swali la kujiuliza kuanzia sasa ni ; Je, kuna maarifa gani natakiwa kuongeza katika eneo hili ili niweze kukabiliana na changamoto hii na kuishinda?

Jibu ni rahisi unahitaji kuwa na maarifa sahihi juu ya matumizi ya teknolojia hizi mpya.

Na kwa kuwa teknolojia hizi ni mpya, hakuna mwenye uzoefu wa jinsi ya kukabiliana nazo , hivyo watu wanaingia kwenye teknolojia hizo mpya kwa kuhadaiwa watanufaika sana, lakini kinachotokea ni wanageuzwa kuwa wafungwa.

Leo nina habari njema kwako, habari hizo ni kupatikana kwa mwongozo wa kuzitumia teknolojia hizi mpya vizuri na ukombozi wa ufungwa ambao teknolojia hizo zimetengeneza kwako.

Nimekuandalia kitabu kinachoitwa EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, kitabu kinachokuonesha jinsi teknolojia mpya zinavyokufanya mtumwa na njia ya kuondoka kwenye utumwa huo.

Mpaka sasa kimesaidia maelfu ya watu waliokisoma na kila siku watu wanatoa shuhuda, kama wewe ni mmoja wao soma ukurasa wa 129 , kama bado uja pata nakala yako ya kitabu wasiliana na namba 0752977170, utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Unavyozidi kuchelewa kuchukua hatua ndivyo unavyozidi kupoteza rasilimali muda.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba (7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja/uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu.

Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Ndani ya sura hii utajifunza jinsi ya kufikia viwango vya juu vya ufanisi.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

Kwa sababu ya maombi ya watu wengi Leo tunatoa OFA kwa watu hamsini(50) wa kwanza, ukinunua LEO kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI, utapata fursa ya kujiunga na chaneli ya SOMA VITABU TANZANIA.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma ujumbe mfupi unaosomeka “NIUNGE” kwenda namba 0752977170, baada ya kununua kitabu chako.

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
Mama Samia teua katibu mkuu Wa CCM toka Zanzibar nakuomba Tafadhali usiteue toka bara
Rais atoke Zanzibar na Mwenyekiti wa ccm atoke Zanzibar na katibu mkuu wa ccm pia atoke Zanzibar? Hii haitakuwa na afya kwenye kuimarisha muungano!
 
1619495370189.png


Rafiki yangu mpendwa,

Hivi unajua kwamba una wajibu wa furaha yako kwa 90%?

Vipi kama leo nitakuambia wewe ndiye mkurugenzi wa maisha yako?

Huku ukiendelea kutafakari tujikumbushe kutoka kwenye hadithi ya kijana aliyemsaidia kipepeo kutoka kwenye buu lake.

Siku moja, kijana mmoja alimpata kipepeo.

Ambaye alikuwa anajitahidi kutoka kwenye buu lake.

Akakaa chini na kuanza kumuangalia kwa makini kuona kile kitakachotokea.

Baada ya muda kidogo alimuona kipepeo akipambana kutoa kichwa kwa taabu sana.

Ndipo kijana akaamua kumsaidia kipepeo kutoka kwenye buu lake.

Akachukua mkasi na akakata buu lililobakia kidogo.

Kisha kipepeo akatoka kwa urahisi.

Ingawa alikuwa na mwili uliozubaa na mabawa madogo yaliyokauka.

Kijana huyo ingawa hakuwa na kiti, akaketi chini na kusubiri kumuona kipepeo akizinduka na kuanza kuruka.

Hata hivyo, hilo halikutokea kabisa.

Kipepeo alitumia maisha yake yote kushindwa kuruka.

Akawa anatambaa na mwisho kufa.

Licha ya moyo mwema wa kijana huyo

Hakuelewa kilichotokea mategemeo yake yalikuwa ni kumsaidia aweze kuruka lakini mwisho ilishindikana.

Kumbe hakujua kwa kumsaidia kipepeo kutoka ndiko kulimfanya ashindwe kuruka, kwa kuwa ndivyo sheria ya asili ilivyo.

Sheria ya asili inaeleza kuwa kumnyima kipepeo fursa ya kupambana kutoka kwenye buu lake kutamfanya ashindwe kuruka, kwani mapambano ndiyo yanamsaidia kukua na kuimarisha mabawa yake.

Hadithi hii ya kijana aliyemsaidia kipepeo kutoka kwenye buu lake, inatufundisha kwamba baadhi ya watu wanashindwa kwenye maisha kwa kukosa fursa ya kupambana.

Fursa ya kupambana inatusaidia kuimarika zaidi, jijengee ufahamu kuwa nafasi ya kupambana ni fursa nzuri katika maisha yako na chukua hatua bila kusubiri wengine wakuhurumie na kukusaidia.

Furaha ni wajibu wako hakuna mtu mwingine atakayekupa furaha kuanzia leo jitamkie kwamba una wajibu wa furaha yako.

Ukiwa na utulivu wa akili na mwili utaweza kuwa na FURAHA na kuboresha MAHUSIANO yako na wale wote unao husiana nao.

Wakati mwingine sisi sote tunahitaji kupumzika kutokana na magumu tunayopitia.

Baada ya siku ndefu kwenye kazi unahitaji kupumzika na kusoma kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI.

Wateja ambao wamesoma kitabu hiki, wanajua namna ya kupata muda wa utulivu mwisho wa siku na wote wanafanya vizuri kwenye hili.

Mapumziko yanakusaidia kupambana mwenyewe na changamoto za kesho unakuwa ni mwenye FURAHA zaidi huku ukiwa umepumzika vizuri.

Kamata nakala yako leo na tenga muda wa kukaa pekee yako.

Wasiliana na namba 0752977170, kupata nakala yako utaletewa au utatumiwa popote ulipo ndani ya AFRIKA MASHARIKI.

Kupitia kitabu hiki utajifunza mambo saba (7) makubwa ambayo yatakufanya uwe huru na kuondokana na usumbufu unao kuingiza kwenye utumwa.

Moja utajifunza jinsi ubongo wako unavyofanya kazi na namna teknolojia mpya zinavyotumia ubongo huo kukufanya kuwa mtumwa.

Teknolojia mpya zimetengenezwa kwa namna ambayo zitajenga uteja /uraibu kwenye ubongo wako.

Kwa kujua njia hiyo utaweza kuepuka kuingia kwenye utumwa wa teknolojia hizo.

Mbili utajifunza kuhusu zama tunazoishi sasa, zama za maarifa na taarifa lakini ambazo zimegeuka kuwa zama za usumbufu.

Utajifunza zama hizi za usumbufu zimetengeneza makundi makubwa mawili, wachache wanaonufaika sana, kama Mark Zuckerberg ambaye ni mmiliki wa Facebook na wengi ambao ni kama watumwa wa wachache hao wanaonufaika.

Ndani ya sura hii utajifunza jinsi ya kufikia viwango vya juu vya ufanisi.

Tatu utajifunza jinsi ya kujua kama tayari umeshanasa na kuwa mtumwa wa teknolojia hizo mpya.

Unaposoma hapa unaweza kusema wewe hujawa mtumwa, unatumia kwa kupanga mwenyewe, lakini nikuambie kitu kimoja, kwa sehemu kubwa sana umeshakuwa na utaziona dalili kwa kusoma kitabu hiki.

Nne utajifunza jinsi ya kuondoka kwenye utumwa wa kidijitali ambao umeshaingia.

Baada ya kuona jinsi ambavyo umenasa kwenye utumwa huo, utajifunza njia za kujinasua.

Hapa utajifunza jinsi ya kuizidi ujanja simu janja yako.

Tano utajifunza falsafa mpya ya kuendesha maisha yako kwa uhuru katika zama hizi za usumbufu.

Pamoja na kujifunza kuhusu zama hizo na jinsi ya kuondokana na utumwa wake, usumbufu wake hautaisha, teknolojia mpya zinaendelea kugunduliwa kila siku na zikiwa na ushawishi mkubwa.

Hivyo unahitaji kuwa na falsafa unayoitumia kuchagua huduma za kidijitali utakazochagua kutumia kwa manufaa yako.

Sita utajifunza jinsi ya kutumia akili yako kuvunja uraibu wowote ambao umeshajijengea. Kama tulivyoona, huduma za kidijitali zinatumia jinsi ubongo unavyofanya kazi kukuingiza kwenye utumwa.

Hivyo wewe unapaswa kuutumia ubongo wako vizuri kuondoka kwenye utumwa huo.

Saba utajifunza sababu kumi kwa nini unapaswa kuondoka kwenye mitandao yote ya kijamii sasa hivi. Hizi ni sababu ambazo zimechambua jinsi matumizi ya mitandao ya kijamii yalivyo na athari kwenye akili yako, utulivu wako, mahusiano yako, uchumi wako na hata imani yako. Kwa kuzijua sababu hizi kumi, utajionea mwenyewe jinsi ulivyorudi nyuma tangu umeanza kutumia mitandao hiyo na hivyo kuachana nayo ili kuepuka madhara yake.

Mwisho kabisa utajifunza njia za kutumia kufanya maamuzi iwapo utumie huduma ya kidijitali.

Utajifunza jinsi ya kutumia vigezo vitatu vya AFYA, UTAJIRI na HEKIMA katika kuchagua na kutumia teknolojia mpya, ambazo zitakuwa na manufaa kwako badala ya kukufanya mtumwa.

Tuko kwenye vita, adui mkuu anajua yuko vitani ila wanaolengwa hawajui.

Hivyo unapaswa kuwa na maandalizi mazuri ya kupambana na vita hii ili uweze kutoka salama na siyo kuwa mfungwa.

Pata na usome kitabu cha EPUKA UTUMWA WA KIDIJITALI ili upate mbinu za kupambana kwenye vita hii na kutoka ukiwa mshindi. Kitabu hiki kimechapwa kwa nakala ngumu (hardcopy).

Kitabu kinauzwa TSH elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako, unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata, yatakayokuweka huru kwenye zama tunazoishi sasa.
 
1620706033236.png


Njia Rahisi Itakayokusaidia Kukabiliana Na Rafiki Hasi Kwenye Maisha Yako.

Takwimu zinaonesha kwamba,

Wastani wa watu wanne (4) unaojihusisha nao kwa siku wana mitazamo hasi.

Unaye rafiki yeyote ambaye ni hasi?

Je, unaye rafiki ambaye ukikaa naye unaishia kujisikia vibaya?

Je, unaye rafiki ambaye anapenda kulalamika?

Je, unaye rafiki ambaye ukikaa naye unahisi kukata tamaa?

Je, unaye rafiki anayeamini kutowezekana kuliko kuwezekana?

Kama umejibu ndio ,

Kabla ya kujifunza njia rahisi itakayokusaidia kukabiliana na rafiki hasi.

Tuangalie kwanza utofauti uliopo kati ya matajiri na masikini wanavyojihusisha na rafiki hasi.

Matajiri huwa wanajenga mahusiano na watu wenye mitazamo chanya na waliofanikiwa.

Watu wanaoamini kwenye uwezekano na wanaohamasisha na kutoa matumaini.

Masikini huwa wanajenga mahusiano na watu wenye mitazamo hasi na walioshindwa.

Watu waliokata tamaa na wanaoamini haiwezekani na wanaondoa matumaini.

Watu wanaokuzunguka wanayaathiri sana maisha yako.

Pale ulipo kimaisha sasa ni wastani wa walipo wale unaotumia nao muda wako mwingi.

Matajiri wanajua ili wawe matajiri na wabaki kwenye utajiri, wanapaswa kujihusisha na watu matajiri.

Hivyo marafiki zao huwa ni matajiri wenzao, tena wale waliowazidi utajiri.

Masikini hubaki wakiwa wamezungukwa na masikini na hilo kuwafanya wabaki kwenye umasikini wao.

Ili ufikie utajiri, chagua kujenga mahusiano na watu matajiri au wanaoelekea kwenye utajiri.

Pia lazima uwapunguze watu hasi kwenye maisha yako,

Wale ambao ukikaa nao unaishia kujisikia vibaya na kukata tamaa.

Zungukwa na watu chanya,

Ambao ukikaa nao unajisikia vizuri na kupata hamasa na matumaini ya kupata utajiri zaidi.

Bonyeza Hapa Soma Vitabu - Apps on Google Play.

Kujifunza njia rahisi itakayokusaidia kukabiliana na rafiki hasi kwenye maisha yako.

Karibu sana usome EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI,

Ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako,

Kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

JINSI YA KUTUMIA EBOOK YAKO.

EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI inapatikana kwenye app ya SOMA VITABU ambayo inapatikana kwenye mfumo wa ANDROID (PLAY STORE).

Kupata app hiyo fungua kiungo hiki; Soma Vitabu - Apps on Google Play au nenda moja kwa moja kwenye play store kisha tafuta SOMA VITABU.

Ukishaweka app kwenye kifaa chako (simu au tablet) utakiona kitabu na kufuata mchakato wa kukinunua moja kwa moja kwenye app.

Kupata maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia app, kununua na kusoma vitabu, fungua hapa; Soma Vitabu App .

Au Piga Simu Namba 0752977170, Kwa Msaada Zaidi.

ZAWADI YA EBOOK.

Rafiki yangu mpendwa,

Kwa kuwa umekuwa unafuatilia mafunzo ninayotoa kwa muda mrefu,

Nakwenda kukupa EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI KAMA ZAWADI.

Hivyo kwa siku hizi chache utakipata kitabu hiki kwa TSH elfu moja(1) pekee (1,000/=).

EBOOK hii ina thamani ya mamilioni kwako, ila wewe unakipata sawa na bure kabisa, kwa TSH elfu moja tu.

Lengo langu ni wewe usiwe na sababu yoyote ya kukikosa,

Kwa sababu nataka sana uyabadili na kuyaboresha maisha yako na maarifa yaliyo kwenye kitabu hiki ndiyo unayahitaji sana.

Chukua hatua sasa rafiki yangu,

Zawadi hii ni ya muda mfupi, bei ya EBOOK hii itakuwa kubwa zaidi baadaye hivyo usikubali kukosa.

Utajiri ni haki na wajibu wako, kama wapo wengine walioweza kufikia utajiri, na wewe pia unaweza kuufikia.

Unachohitaji ni kuijua kanuni sahihi na kuifuata.

EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI ina kanuni hizo, wajibu wako ni kuzijua na kuzifuata na utajiri kwako unakuwa swala la muda tu.

Jipatie kitabu chako sasa kwa bei ya zawadi, fungua; Soma Vitabu - Apps on Google Play
 

1620878962430.png


Nenda shule, soma kwa bidii na ufaulu vizuri.

Utapata kazi inayokulipa vizuri na utakuwa na maisha mazuri.

Huu ulikuwa ushauri maarufu na uliofanya kazi kwenye karne ya 20 na muongo wa kwanza wa karne ya 21.

Lakini sasa mambo yamebadilika kabisa,

Waliofuata ushauri huo ni wengi, wameenda shule, wamesoma kwa bidii,

Wakahitimu na ufaulu mkubwa, lakini kazi hakuna.

Karne ya 21 imekuwa na mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kiasi kwamba nafasi za kazi ni chache kuliko wahitaji wanaozitaka nafasi hizo.

Hivyo licha ya juhudi mbalimbali zinazofanyika na serikali mbalimbali duniani,

Bado tatizo la kukosekana kwa ajira linaendelea kukua kila siku.

Pamoja na tatizo la kukosekana kwa ajira kuwepo,

Bado ushauri unaendelea na vyuo vinaendelea kuzalisha wahitimu anaotegemea kupata ajira.

Wanafunzi wanapohitimu na kukaa mtaani kutafuta kazi bila mafanikio,

Wanapewa ushauri mwingine ambao unawachanganya zaidi.

Wanaambiwa usisubiri tu kuajiriwa,

Jiajiri mwenyewe, anzisha biashara.

Hapo ndipo wanachanganyikiwa zaidi,

Mtu amekaa darasani kwa zaidi ya miaka 15 na miaka yote hiyo alikuwa anafundishwa kuja kuwa mwajiriwa.

Halafu amehitimu anaambiwa ajiajiri?

Mtu hana maandalizi yoyote katika kujiajiri au kuanzisha biashara,

Hivyo hata pale wanaposaidiwa mtaji wa kuanza biashara,

zinaishia kufa.

Ukweli ni kwamba, ushauri wa karne ya 20 haufanyi tena kazi kwenye karne ya 21 na watu hawajaandaliwa kukabiliana na mabadiliko haya.

Njia ya uhakika kabisa ya kuingiza kipato kwenye karne hii ya 21 ni kufanya biashara.

Njia hii haina ukomo kwenye ukuaji au kipato,

Lakini siyo njia rahisi ambayo mtu atafanikiwa kwa kuambiwa tu mara moja.

Unahitaji kupata mafunzo sahihi ndiyo uweze kufanikiwa kwenye kuanzisha na kukuza biashara inayokupa kipato kisicho na ukomo na pia kukupa uhuru wako.

Miaka 15 uliyokaa darasani, haikukufundisha hilo.

Lakini una bahati, kuna njia ya kujifunza yale ya msingi kabisa kuhusu biashara kwa njia rahisi,

Huku ukielewa na kuwa na hatua za kuchukua.

Njia hiyo ni kupitia kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA BIASHARA,

Hiki ni kitabu ambacho kinakufundisha kwa kina yale yote ya msingi unayopaswa kuyajua katika kuanzisha na kukuza biashara yako.

Na yale ya msingi kabisa ni;

Jinsi ya kupata wazo bora la biashara na la kipekee kwako, wazo ambalo halitakuwa na ushindani kutoka kwa wengine.

Jinsi ya kuandaa mchanganuo wa biashara yako,

Ambayo ndiyo ramani muhimu kwako kufanikiwa kibiashara.

Aina za mtaji unaohitaji kwenye biashara na jinsi ya kupata mtaji wa kuanza biashara.

Jinsi ya kuirasimisha biashara yako ili uifanye kisheria,

Kusajili jina la biashara au kampuni,

Kupata leseni na kulipa kodi sahihi kwa biashara yako.

Jinsi ya kutengeneza na kutoa thamani kwenye biashara yako na kutengeneza faida zaidi.

Mbinu za masoko na mauzo,

Kuweza kuwafika wateja wapya na kuwashawishi kununua unachouza.

Kujua mzunguko wa fedha kwenye biashara yako na jinsi ya kujilipa kutoka kwenye biashara hiyo.

Jinsi ya kutoa huduma bora kwa wateja ulionao kwenye biashara yako ili walete wateja wengi zaidi.

Changamoto zinazoua biashara nyingi na jinsi ya kuepusha biashara yako isife kwa changamoto hizo.

Hitaji la mafunzo kwako na wafanyakazi wa biashara yako ili iweze kukua zaidi,

Maana biashara haiwezi kukua kama wanaoifanya hawakui.

Yote hayo, unajifunza kwa kina na kujua hatua za kuchukua kwa kusoma kitabu kinachoitwa ELIMU YA MSINGI YA BIASHARA.

Haijalishi umesomea nini au una kazi ya aina gani,

Karne ya 21 ni karne ambayo njia kuu ya kuingiza kipato siyo ajira tena bali biashara.

Hivyo iwe una kazi au huna, biashara ni muhimu uwe nayo.

Na kama tayari uko kwenye biashara, huenda unaifanya tu kwa mazoea,

Ni wakati sasa wa kupata msingi sahihi utakaokuwezesha kuifanya biashara hiyo kwa mafanikio makubwa,

Ili uongeze kipato chako na uwe huru zaidi.

Jipatie leo nakala yako ya kitabu cha ELIMU YA BIASHARA ili uweze kwenda na kasi hii ya karne ya 21.

Kitabu kinauzwa tsh elfu 20 (20,000/=) na ili kukipata wasiliana na 0752 977 170 na utaletewa au kutumiwa kitabu popote ulipo Tanzania na Afrika Mashariki.

MUHIMU; Kama utanunua na kusoma kitabu hiki na ukaona hakina manufaa yoyote kwako,

Unaruhusiwa kukirudisha na ukarejeshewa fedha zako.

Hivyo chukua hatua sasa, huna cha kupoteza lakini una mengi ya kupata.
 
1621050275368.png



Sio siri tena kwenye hii karne ya 21,

Mambo yamebadilika sana.

Sahau kila kitu ulichowahi kusikia kuhusu kulipwa.

Sasa kuna njia bora ya kulipwa zaidi kuliko ilivyokuwa imezoeleka karne ya 20.

Ni njia ambayo haizungumzwi sana lakini inafanya kazi kwenye hii karne ya 21.

Haijalishi umeajiriwa au umejiajiri,

Inafanya kazi kwenye hali zote mbili.

Ukweli ni kwamba,

Kwa sasa haulipwi kutokana na masaa unayofanya kazi,

Bali unalipwa kulingana na matokeo unayozalisha.

Unapozalisha matokeo makubwa zaidi unalipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Unapozalisha matokeo madogo zaidi unalipwa kiasi kidogo cha fedha.

Angalia huu u tofauti hapa chini,

Kuhusu imani walizonazo matajiri na masikini kuhusu kulipwa.

Matajiri huwa wanachagua kulipwa kwa matokeo wanayozalisha na hapo wanazalisha matokeo makubwa zaidi na kulipwa kiasi kikubwa cha fedha.

Masikini wanachagua kulipwa kwa muda wanaotumia kufanya kitu na kwa kuwa muda una ukomo,

Wanajiwekea ukomo kwenye kipato chao.

Matajiri wote wamepata utajiri wao kupitia njia ambazo hazitegemei muda wao.

Kwa mfano kumiliki biashara inayojiendesha yenyewe ,

Kufanya uwekezaji maeneo yanayozalisha na kadhalika.

Kulipwa kwa muda ni kupitia mshahara au huduma binafsi ambazo mtu anatoza gharama kwa muda.

Hakuna mtu amewahi kufikia utajiri mkubwa kwenye maisha yake kwa kutegemea mshahara pekee.

Hata mshahara uwe mkubwa kiasi gani, bado unakuwa na ukomo.

Na mbaya zaidi, kadiri mshahara unavyokuwa mkubwa, ndivyo makato yanavyokuwa makubwa pia.

Kulipwa kwa muda ni kujiwekea ukomo na kanuni ya kwanza na muhimu kwenye fedha ni kuhakikisha huweki ukomo kwenye kipato chako.

Chagua kulipwa kwa matokeo na thamani unayozalisha ambayo haina ukomo,

Badala ya kutaka ulipwe kwa muda ambao una ukomo.

Je, ungependa ulipwe zaidi kwa kile unachofanya?

Kama ni ndio,

Bonyeza Hapa Soma Vitabu - Apps on Google Play.

Ujifunze njia na hatua za kuchukua ili ulipwe zaidi.

Utajiri ni mchezo,

Mchezo ambao una kanuni zake na sheria zake,

Na ili uweze kushinda mchezo huu,

Lazima uzijue kanuni na uzishike sheria.

Haiwezekani kabisa kwa mtu ambaye hajui kanuni za mpira wa miguu,

Hana mazoezi akaenda uwanjani na kushinda.

Wengi wamekuwa wanaingia kwenye mchezo wa utajiri kama vile ni kitu cha kubahatisha,

Hawajui kanuni wala sheria,

Hawana maandalizi na kinachotokea ni kushindwa vibaya sana.

Karibu sana usome EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI,

Ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako,

Kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

JINSI YA KUTUMIA EBOOK YAKO.

EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI inapatikana kwenye app ya SOMA VITABU ambayo inapatikana kwenye mfumo wa ANDROID (PLAY STORE).

Kupata app hiyo fungua kiungo hiki; Soma Vitabu - Apps on Google Play au nenda moja kwa moja kwenye play store kisha tafuta SOMA VITABU.

Ukishaweka app kwenye kifaa chako (simu au tablet) utakiona kitabu na kufuata mchakato wa kukinunua moja kwa moja kwenye app.

Kupata maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia app, kununua na kusoma vitabu, fungua hapa; Soma Vitabu App .

Au Piga Simu Namba 0752977170, Kwa Msaada Zaidi.

ZAWADI YA EBOOK.

Rafiki yangu mpendwa,

Kwa kuwa umekuwa unafuatilia mafunzo ninayotoa kwa muda mrefu,

Nakwenda kukupa EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI KAMA ZAWADI.

Hivyo kwa siku hizi chache utaipata EBOOK hii kwa TSH elfu moja(1) pekee (1,000/=).

EBOOK hii ina thamani ya mamilioni kwako, ila wewe unaenda kuipata sawa na bure kabisa, kwa TSH elfu moja tu.

Lengo langu ni wewe usiwe na sababu yoyote ya kuikosa,

Kwa sababu nataka sana uyabadili na kuyaboresha maisha yako na maarifa yaliyo kwenye kitabu hiki ndiyo unayahitaji sana.

Chukua hatua sasa rafiki yangu,

Zawadi hii ni ya muda mfupi, bei ya EBOOK hii itakuwa kubwa zaidi baadaye hivyo usikubali kukosa.

Utajiri ni haki na wajibu wako, kama wapo wengine walioweza kufikia utajiri, na wewe pia unaweza kuufikia.

Unachohitaji ni kuijua kanuni sahihi na kuifuata.

EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI ina kanuni hizo, wajibu wako ni kuzijua na kuzifuata na utajiri kwako unakuwa swala la muda tu.

Jipatie kitabu chako sasa kwa bei ya zawadi, fungua; Soma Vitabu - Apps on Google Play
 
1621913797364.png


Hofu imekuwa kikwazo kwako?

Adui mkubwa wa mafanikio ya watu wengi ni hofu.

Wewe mwenyewe ni shahidi.

Hofu imezuia watu wengi sana kuweza kuchukua hatua ili kufikia mafanikio kwenye maisha yao.

Watu wanakuwa na mipango mizuri watu wanajua ni nini wanatakiwa kufanya ila inapofika wakati wa kuchukua hatua wanashindwa kufanya hivyo.

Na kama unavyojua bila ya kuchukua hatua huwezi kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yako.

Watu ambao unaona ni wajasiri sana na wanaofanya mambo yao bila ya kuogopa chochote sio kwamba hawana hofu.

Wana hofu nyingi sana kama ulizonazo wewe.

Tofauti ya watu hawa ambao ndio wanapata mafanikio makubwa kwenye jamii zetu na wewe ni kwamba wao licha ya kuwa na hofu wanaendelea kufanya kile ambacho wamepanga kufanya.

Kufikia mafanikio makubwa, unahitaji kufanya mambo ambayo ni mapya na makubwa, ambayo hujawahi kufanya au hakuna mtu mwingine ambaye amewahi kufanya.

Kwa kujua tu hili unalokwenda kufanya tayari ni hofu.

Unakuwa huna uhakika kama kweli utaweza kufanya hiki ulichopanga kufanya, huna uhakika kama mambo yatakwenda kama ulivyopanga, huna uhakika watu watalipokeaje na mengine mengi.

Kufikia mafanikio makubwa inabidi uwe na imani kubwa sana ya kwamba licha ya changamoto utakazopitia , licha ya kutokuwa na uhakika , bado una imani kwamba mambo yatakuwa mazuri.

Bila ya kuzishinda hofu, na kufanya utaendelea kuwa mtu wa mipango na kushindwa kuchukua hatua.

Kama unataka kuishinda hofu leo nakushauri ufanye hili zoezi hapa (Soma Vitabu - Apps on Google Play).

Ujifunze njia na hatua za kuchukua ili uongeze thamani zaidi.

Karibu sana usome EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI,

Ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako,

Kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

Kwenye kitabu hiki cha TABIA ZA KITAJIRI, unakwenda kujifunza mambo makubwa matano kuhusu utajiri.

Kwanza
utajifunza kuhusu sayansi ya utajiri na kujua kanuni za kufanyia kazi ili uweze kufika kwenye utajiri mkubwa. Hii ni sayansi inayofanya kazi kwa yeyote anayefuata kanuni sahihi. Hapa utajifunza kanuni hizo na ukizifuata utajiri ni lazima kwako.

Pili unakwenda kujifunza tabia kumi muhimu za kuishi kwenye kila siku ya maisha yako ili kufika kwenye utajiri. Hizi ni tabia zilizofanyiwa tafiti na kugundulika matajiri wengi wanaziishi kila siku. Tabia hizo kumi hazihitaji ufanye mabadiliko makubwa kwenye maisha yako, bali ni kubadili tu mtindo wa kuyaendesha maisha yako kila siku. Kwa kuwa na mtindo mpya wa kuendesha maisha yako, unajenga utajiri mkubwa kwako bila kujali unaanzia wapi.

Tatu unakwenda kujifunza imani 17 muhimu za kujijengea ili uweze kufikia utajiri mkubwa. Imani na mitazamo tuliyonayo ina athari kubwa kwetu kifedha, ulipo sasa ni matokeo ya imani ulizonazo, ambazo umebeba kutoka kwenye jamii iliyojaa masikini wengi. Hapa unakwenda kujifunza imani 17 mpya kutoka kwa matajiri na kwa kuziishi, utayabadili maisha yako na kufikia utajiri mkubwa. Hapa utajifunza jinsi imani zinavyoathiri hisia, ambazo zinaathiri fikra, kisha maamuzi, matendo na matokeo unayopata.

Nne unakwenda kujifunza tabia 50 za kwenda kujijengea kwenye maisha yako ambazo zitakufikisha kwenye utajiri mkubwa na maisha ya mafanikio na furaha. Hapa unapata mkusanyiko na msisitizo wa yote muhimu unayopaswa kufanyia kazi ili kufika kwenye utajiri na furaha. Na hata baada ya kufika kwenye hatua hizo, tabia hizo 50 zinakuwa kinga kwako usianguke.

Tano ni hatua nane za kufika kwenye utajiri mkubwa. Kitabu hiki siyo tu nadharia ya utajiri, bali pia unaondoka na hatua za kwenda kuchukua ili ufike kwenye utajiri. Hapa utajifunza hatua nane za kutoka kwenye umasikini mpaka kwenye utajiri mkubwa, hatua ambazo ukizichukua kama unavyojifunza, nakuhakikishia hutaweza kubaki hapo ulipo sasa. Uzuri hatua hizo hazihitaji usubiri, unaanza nazo mara moja, hapo hapo ulipo na unaanza kujenga utajiri.

Karibu sana usome kitabu hiki cha TABIA ZA KITAJIRI, ujifunze kwa kina na kuyaelewa maarifa haya muhimu sana kwako, kisha uchukue hatua ili maisha yako yaweze kubadilika, ufike kwenye utajiri, mafanikio na furaha.

JINSI YA KUTUMIA EBOOK YAKO.

EBOOK mpya inayoitwa TABIA ZA KITAJIRI inapatikana kwenye app ya SOMA VITABU ambayo inapatikana kwenye mfumo wa ANDROID (PLAY STORE).

Kupata app hiyo fungua kiungo hiki; Soma Vitabu - Apps on Google Play au nenda moja kwa moja kwenye playstore kisha tafuta SOMA VITABU.

Ukishaweka app kwenye kifaa chako (simu au tablet) utakiona kitabu na kufuata mchakato wa kukinunua moja kwa moja kwenye app.

Kupata maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia app, kununua na kusoma vitabu, fungua hapa; Soma Vitabu App .

Au Piga Simu Namba 0752977170, Kwa Msaada Zaidi.

ZAWADI YA EBOOK.

Rafiki yangu mpendwa,

Kwa kuwa umekuwa unafuatilia mafunzo ninayotoa kwa muda mrefu,

Nakwenda kukupa EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI KAMA ZAWADI.

Hivyo kwa siku hizi chache utaipata EBOOK hii kwa TSH elfu moja(1) pekee (1,000/=).

EBOOK hii ina thamani ya mamilioni kwako, ila wewe unaenda kuipata sawa na bure kabisa, kwa TSH elfu moja tu.

Lengo langu ni wewe usiwe na sababu yoyote ya kuikosa,

Kwa sababu nataka sana uyabadili na kuyaboresha maisha yako na maarifa yaliyo kwenye kitabu hiki ndiyo unayahitaji sana.

Chukua hatua sasa rafiki yangu,

Zawadi hii ni ya muda mfupi,

Bei ya EBOOK hii itakuwa kubwa zaidi baadaye hivyo usikubali kukosa.


Utajiri ni haki na wajibu wako, kama wapo wengine walioweza kufikia utajiri, na wewe pia unaweza kuufikia.

Unachohitaji ni kuijua kanuni sahihi na kuifuata.

EBOOK hii ya TABIA ZA KITAJIRI ina kanuni hizo, wajibu wako ni kuzijua na kuzifuata na utajiri kwako unakuwa swala la muda tu.

Jipatie kitabu chako sasa kwa bei ya zawadi, fungua; Soma Vitabu - Apps on Google Play
 
Back
Top Bottom