Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Dini inaruhuu waletreeeee 😛😛😛😛ðŸ¤Muongozo ni kuwaoa tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini inaruhuu waletreeeee 😛😛😛😛ðŸ¤Muongozo ni kuwaoa tu...
Na unakoroma kabisa huwazi Wala ninikula chuma hichoView attachment 2902961
Mbona umri wa shangazi mmeurudisha nyuma27 ni shangazi huyo
Shangazi ni kuazia 26Mbona umri wa shangazi mmeurudisha nyuma
uzuri ni kwamba najua kujipa furaha. Like today am so happy kiukweli...furaha zimejaa kikombe zinamwagika.Mbn pm yako imefungwa tuje tukupe tip za furaha
Kikubwa Ni kupambania ndoto zako Na kuzikamilishaShangazi ni kuazia 26
We kubali tu kuingia kwenye list[emoji23]Mbona umri wa shangazi mmeurudisha nyuma
Bado bado jamaniWe kubali tu kuingia kwenye list[emoji23]
Mi nikajua wewe hujaoa ili nichukuliwe jumla jamani😓Nadhani kwasababu Lucas Mwashambwa kwenye nyuzi zake huwa anaweka namba za simu hawa madada wawe wanamcheki labda nae yuko single anataka mke. Mkielewana tutahudhuria harusi yenu huko Mbalizi.
Mimi bado. Ila nilikuwa nawarahisishia watafuta wachumbaMi nikajua wewe hujaoa ili nichukuliwe jumla jamani😓
Hayo mambo sasaMimi bado. Ila nilikuwa nawarahisishia watafuta wachumba
Mimi tayari nimeamua kukukabidhi moyo wangu. Kuanzia leo nimekuteua uwe mkurugenzi mkuu wa fedha zangu. Kabla ya uteuzi huu ulikuwa mwalimu mkuu usiye na cheo chochote kwenye moyo wangu. Uteuzi huu unaanza mara mojaHayo mambo sasa
Mimi tayari nimeamua kukukabidhi moyo wangu. Kuanzia leo nimekuteua uwe mkurugenzi mkuu wa fedha zangu. Kabla ya uteuzi huu ulikuwa mwalimu mkuu usiye na cheo chochote kwenye moyo wangu. Uteuzi huu unaanza mara moja
Nami nimekubali kwa moyo mmojaMimi tayari nimeamua kukukabidhi moyo wangu. Kuanzia leo nimekuteua uwe mkurugenzi mkuu wa fedha zangu. Kabla ya uteuzi huu ulikuwa mwalimu mkuu usiye na cheo chochote kwenye moyo wangu. Uteuzi huu unaanza mara moja
Ungeweka na ww sifa zako pia. Ili nao wapime kama inaendaNahitaji mwanamke mcheshi na mwongeaji kiasi ,miaka 25-28 asiwe na mtoto wala kutoa mimba, akubali kutii mamlaka ya mume wake, asiwe mtu wa marafiki wengi akishindwa mwisho wa wili tena hao marafiki zake wawe wameolewa.
Awe mweupe wa wastani au rangi ya chocolate a.k.a andazi
Nipo hapa kuoa serious
Duh noma ila mmoja anawatoto soko gumu sana kwa wanawake.Maisha yanafurahisha sana.
Nilikua na 2 Aunties. Mmoja alikua na bahati ya kuolewa ila alikua hadumu na ndoa ikikaa sana ni miaka 2. Mwengine hakua na bahati ya kupata wanaume so hakuolewa mpaka sasa na hana hata mtoto.
Wote wamefika 40 wakiwa single.
Hivi inawezekana mwanamke wa umri wa miaka 30 kuwa hajawahi shika ujauzito maisha yake yote? [emoji848]Watakuja
Ok huyo ni msimbe
Unataka awe single maza au asiye na mtoto?
Atakayekidhi vigezo aje PM?