UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

UZI MAALUMU: Wanawake wote ambao wana msongo wa mawazo kwa sababu ya kutoolewa mkutane hapa

Unakichaa sana nikiamua kuolewa leo naolewa shida yenu humu mnahandana eti da maua asichukue danga au mpenzi wangu basi mnabadilisha id mnaanza matusi yenu aisee mmechoka na mmezeeka sana
Mwanamke hana jeuri ya kuchagua ataolewa lini na nani. Ukiona mwanamke anaolewa jua kuna mwanaume ambaye amemuona ana vigezo akamchagua na kuamua kumuoa kinyume na hapo hakuna mwanamke ataolewa wanaume wakiona ndoa haina umuhimu kwao hata hao wanawake wakiwa wazuri vipi.
 
Hatari sana yani changamoto za ndoa wapitie wanawake ila wanaoumia na kujifanya wanajali ni wanaume, siku wanawake wakija kushituka na kulijua lengo hasa la wanaume kujifanya wanajali matatizo ya wanawake basi tutakuwa tumepiga hatua moja mbele, kwa sasa endeleeni kudanganywa kwamba eti mwanamke akishafika umri fulani hajaolewa basi ana matatizo (ambayo mpaka leo hayajulikani ni yepi)
We bado hayajakukuta. Naona uzungu mwingi, subiria muda ufike utaelewa kwann hizi nyuzi zipo nyingi.
 
We bado hayajakukuta. Naona uzungu mwingi, subiria muda ufike utaelewa kwann hizi nyuzi zipo nyingi.
Mkuu nishavuka level za kutishika na hizo kauli watishieni hao hao wanawake desperate na wenye low self esteem, hakuna cha uzungu wala uhindi amkeni things are now different on terra firma, wanawake wengi siyo wale mliowazoea it is either you get over it or you keep complaining till infinity
 
Hivi inawezekana mwanamke wa umri wa miaka 30 kuwa hajawahi shika ujauzito maisha yake yote? [emoji848]

Vipi kuhusu kutoa? [emoji848]
Kwa jinsi wanapigwa miti si rahisi, hao watoaji ni walewale tu
 
Najua wengi wenu mlikuwa mna ndoto za kuolewa na wanaume wenye mali, matajiri na handsome men.

Lakini sasa huenda mmeishia kuwa single maza na umri umesonga mmekuwa wasimbe (27+) au mishangazi

Kumekuwa na ongezeko la single maza wenye 30+ humu jf wanaotafuta waume kwenye love connect huu ni ushahidi tosha.

Mnatamani sana ndoa na mwanamume yeyote ili mradi awasitiri. Bahati mbaya ambayo wengi mnakutana nayo mnaahidiwa ndoa mnaishiwa kupigwa mashine hamuolewi, poleni najua jinsi inawaumuza hiyo hali.

Soko lenu la kuolewa limekuwa gumu sana. Kwanza niwape pole, nimeamua kuandaa huu uzi ili mkutane na kufarijiana na kupeana mbinu za kuolewa au jinsi ya kuishi bila ndoa.

Na sisi wanaume tutakuwa bega kwa bega nanyi kuona tunawasaidiaje.

Mwaka huu tumewaongeza wanawake waliozaliwa 1997 kwenye kundi la wasimbe.

Kwa wale ambao ndoa imeshindikana au itashindikana kabisa nitawaletea uzi wenu maalumu utakaokuwa na heading single women association leo tuanze na walio frustrated kwa kutoolewa kwanza.

Asanteni sana, nawasilisha.
Ahahaaaaa
 
Maisha yanafurahisha sana.

Nilikua na 2 Aunties. Mmoja alikua na bahati ya kuolewa ila alikua hadumu na ndoa ikikaa sana ni miaka 2. Mwengine hakua na bahati ya kupata wanaume so hakuolewa mpaka sasa na hana hata mtoto.

Wote wamefika 40 wakiwa single.
Huyo shangazi unaesema hakua na bahati ya kupata wanaume, si kweli, ni kwamba alikuwa anawakataa wanaume waliokuwa na nia ya kumuoa The mission 2017
 
Mimi huwa nasema Mungu hukupa kile unachotamani...kama ulitamani familia mume na wtt wako anakupa...

Kuna wengine kupitia makuzi yao na malezi yao walijiapia kuwa hawatakaa waolewe kisa wameona manyanyaso fulani kupitia maisha yao nadhani hupata kile walichojinenea...

Wengine ni kukosa tuu bahati..
Wengine wanalogwa na ndugu zao wenyewe yanii...japo mtasema ni imani za ajabu ila believe me kuna ushirikina mkubwa inapokuja swala la mabinti kuolewa...

Wengine ni vile wamejiweka kwny jamii inayowazunguka kuolewa ni ngumu .. hao watapata wachumba wakihama hilo eneo..tena wafanye juhudi wasirudi na wachumba zao kabla hawajaoana la sivyo watarushiwa ndege wao...
 
Mimi huwa nasema Mungu hukupa kile unachotamani...kama ulitamani familia mume na wtt wako anakupa...

Kuna wengine kupitia makuzi yao na malezi yao walijiapia kuwa hawatakaa waolewe kisa wameona manyanyaso fulani kupitia maisha yao nadhani hupata kile walichojinenea...

Wengine ni kukosa tuu bahati..
Wengine wanalogwa na ndugu zao wenyewe yanii...japo mtasema ni imani za ajabu ila believe me kuna ushirikina mkubwa inapokuja swala la mabinti kuolewa...

Wengine ni vile wamejiweka kwny jamii inayowazunguka kuolewa ni ngumu .. hao watapata wachumba wakihama hilo eneo..tena wafanye juhudi wasirudi na wachumba zao kabla hawajaoana la sivyo watarushiwa ndege wao...
ndoayako unamiaka mingapi mrembo
 
Maisha yanafurahisha sana.

Nilikua na 2 Aunties. Mmoja alikua na bahati ya kuolewa ila alikua hadumu na ndoa ikikaa sana ni miaka 2. Mwengine hakua na bahati ya kupata wanaume so hakuolewa mpaka sasa na hana hata mtoto.

Wote wamefika 40 wakiwa single.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom