Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahah wazee wa Rudi nyumbani kumenoga"kweli aisee wewe angalia kama wale wa mawasiliano I mean TTCL wamejifia kifo Cha Mende baada ya makampuni ya uwekezaji kuja,
Walijitutumua enzi za mwendazake et na wao wamerudi Kwa kishindo Kwa kulazimisha watumishi wote wa umma kutumia mtandao wa serikali kukuza uzalendo kumbe maigizo matupu na maajabu wakatoa Hadi gawio la mabillion ya shilling Kwa Serikali mbele ya mwendazake
Sijui walizipata wapi aiseee maana tunajua nothing more Kwa accounts Zao!
Saf tuu mzimaaa wew[emoji7]Mamboo beby[emoji3059]
Mekumiiiis my wangu[emoji7]Saf tuu mzimaaa wew[emoji7]
Ooh mis u too mrembo[emoji8].....Mekumiiiis my wangu[emoji7]
Kweeelii???...Ooh mis u too mrembo[emoji8].....
Yes beby, af nina usingiz mpenzi niruhus nilale mamy[emoji7]Kweeelii???...
Worry out dear.....goodnight[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Yes beby, af nina usingiz mpenzi niruhus nilale mamy[emoji7]
Oky de same t u honey..mmwaaah[emoji7][emoji3059]Worry out dear.....goodnight[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Nko powaaa my nikwambie kituuuu[emoji85][emoji85][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]...3:45 A.M
hellow umeamkaje swt[emoji8]
What??[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Nko powaaa my nikwambie kituuuu[emoji85][emoji85][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Ukweli mtupu mashirika mengi ya UMMA yanapumulia mashine!hahahahah wazee wa Rudi nyumbani kumenoga"
Yale ya kutoa gawio yalikua ni maigizo kama maigizo mengine tu
Kiufupi Ile script hata wangempa kingwendu au mchizi wake Bambo waifanyie commedy Bado ingebuma tu,
Yaani Kilichofanyika pale ni kutoa mfuko wa huku na kuhamishia huku ila ni suruali Moja!
😁😁😁😁😁
una uhakika na ukisemacho bwana mdogo au umekula makande na kuja kuropoka ujinga hapa?Ukweli mtupu mashirika mengi ya UMMA yanapumulia mashine!
Acha ujuha wewe pimbi Mzee nitajie shirika hata Moja la serikalii linalojiendesha Kwa faida!una uhakika na ukisemacho bwana mdogo au umekula makande na kuja kuropoka ujinga hapa?
ATCL ni shieika la babaako?Acha ujuha wewe pimbi Mzee nitajie shirika hata Moja la serikalii linalojiendesha Kwa faida!
wewe la baba Ako Hilo shirika?ATCL ni shieika la babaako?
dogo Acha kujitia ujuajiwewe la baba Ako Hilo shirika?
Kajifunze kuandika kwanza
Pimbi wewe!
Shieika=Shirika
Ngumbaru mkubwa!