Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

kweli aisee wewe angalia kama wale wa mawasiliano I mean TTCL wamejifia kifo Cha Mende baada ya makampuni ya uwekezaji kuja,
Walijitutumua enzi za mwendazake et na wao wamerudi Kwa kishindo Kwa kulazimisha watumishi wote wa umma kutumia mtandao wa serikali kukuza uzalendo kumbe maigizo matupu na maajabu wakatoa Hadi gawio la mabillion ya shilling Kwa Serikali mbele ya mwendazake
Sijui walizipata wapi aiseee maana tunajua nothing more Kwa accounts Zao!
hahahahah wazee wa Rudi nyumbani kumenoga"
Yale ya kutoa gawio yalikua ni maigizo kama maigizo mengine tu
Kiufupi Ile script hata wangempa kingwendu au mchizi wake Bambo waifanyie commedy Bado ingebuma tu,
Yaani Kilichofanyika pale ni kutoa mfuko wa huku na kuhamishia huku ila ni suruali Moja!
😁😁😁😁😁
 
hahahahah wazee wa Rudi nyumbani kumenoga"
Yale ya kutoa gawio yalikua ni maigizo kama maigizo mengine tu
Kiufupi Ile script hata wangempa kingwendu au mchizi wake Bambo waifanyie commedy Bado ingebuma tu,
Yaani Kilichofanyika pale ni kutoa mfuko wa huku na kuhamishia huku ila ni suruali Moja!
😁😁😁😁😁
Ukweli mtupu mashirika mengi ya UMMA yanapumulia mashine!
 
Back
Top Bottom