Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

Uzi wa kuandika chochote na kujijibu mwenyewe.

Panya Magawa ana mali kiasi gani? Je ameacha mke na watoto wangapi na nani anawahudimia?
 
Nitakufundisha bana,nitakuambia ukiona tunakakamaa ujue tumefika kibo,tukitetemeka na kupiga yowe mawenz hiyo aisee
Weeee kumbe!!? Sasa si utapigia watu kelele na hayo mayowe ?
 
Back
Top Bottom