That's my Carleen❤️.thank you so so much Mac, ❣️
My love to you and your family rafiki yangu mzuri, hunaga baya..!!
Sawa dada yangu niko hapa Mbezi Stand nakusubiria mieeee🤭Nakupenda mdogo wangu mzuri, beauty with brain,
Baraka zako nakuletea daslam Mimi mwenyewe..!! Relax girlie...!!💞
Amina AuntyAsante sana iwe ya kheri kwako kipenz
Asante sana kipenzi be blessed 😘😘😘!!To yeye Antonnia Poker Carrasco putin cocastic Depal Brother Mshana Jr Tinsley Wigelekelo DeepPond mzabzab Saint Anne National Anthem na mke wake mpendwa Darlin aunt sophy Pau Bae Lenie brother Bujibuji Simba Nyamaume Kuna wengine sijawataja lkn wote nawatakia afya njema na Christmas njema.
Santo sana anko akeee nawe pia heri ya Christmas na mwaka mpya!!😍😍😘Heri ya Christmas 🎄 na Mwaka mpya🤠🤠
Antonnia
Tinsley
National Anthem
Mjep
Saint Anne
Cocastic
Valentina
Carrasco putin
Wigelekelo
Jack Palladino
Lenie
Wapo wengi mno
The same to you brother ! One love,[emoji173]Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya mwamba
Extrovert Mshana Jr Kalpana Victoire Bujibuji Simba Nyamaume mzee wa busara nakukubali sanamkuu
Pmj na Wana wengine wengi mno mnamchango mkubwa Sana kwangu kunibadilisha fikra zangu nawashukuru member wote billa kumsahau
Senior ,kamanda mkuu ,founder mkuu
@melo
Nawapenda San tuko bega kwa bega Hadi mwisho wa duniaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Thanks[emoji173] ClarraTo yeye Antonnia Poker Carrasco putin cocastic Depal Brother Mshana Jr Tinsley Wigelekelo DeepPond mzabzab Saint Anne National Anthem na mke wake mpendwa Darlin aunt sophy Pau Bae Lenie brother Bujibuji Simba Nyamaume Kuna wengine sijawataja lkn wote nawatakia afya njema na Christmas njema.
Babu narudi kitandani[emoji23]Happy New year kwa mke wa ujana wangu, tuliofunga ndoa siku ya ubatizo na kupata mtoto siku ya kipaimara Sky Eclat
Heri ya Christmas na Mwaka mpya kwa partner wangu wa mahaba bin sukari ya uzeeni yaliyoshindikana Kasie binti mahaba matata
Merry Christmas kwa mjukuu mtiifu nayesubiria kuchukua mahari makubwa kama bado ana bikira Joanah
Heri ya mwaka mpya kwa wapinzani wangu wote wasionitakia mema na wanaoharibu mishe zangu za ukaguzi....
Happy birthday ya Yesu kwa waungwana wote wanainigingea ma-LIKE kwenye posts zangu hata kama ni za kibwege
Nawatakia kifo chema wote wanaonigongea Dislike kwenye post zangu hata zile nilizotumwa na roho mtakatifu kuziandika
Nawatakia maisha marefu wajukuu wangu wote, wazee wenzangu, wala kitimoto wenzangu, wanywa K Vant wenzangu na watakatifu wenzangu
Nawaombea maisha marefu wachuchu wote watakaokubali kwa hiari yao kuja kwangu ili niwakague...
Babu narudi kitandani
ThawaAsante sana kipenzi be blessed 😘😘😘!!
Same to u dear....vipi leo tunatoka salama huko kagera?Nawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki
-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe 😀 😀 😀 basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee
-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss
Asante sana, best of luck mwamba! Usinisahau kwenye mbege na ndafuHeri ya sikukuu ya Chrismass na mwaka mpya@Mshana Jr Extrovert Chizi Maarifa Mbwa dume Low IQ @rhonda@Bujibuji Simba Nyamaume.
Barikiwa sana rafiki mzuriNawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki
-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe 😀 😀 😀 basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee
-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss
Lazimaaa hizi ni mbio za ubingwa mkuu hatuachi kituSame to u dear....vipi leo tunatoka salama huko kagera?