Uzi wa kumtakia Heri ya Xmas na mwaka mpya kwa unayemkubali humu JamiiForums, mimi namtakia heri Popoma, Game Changer, Charismatic Fella

Uzi wa kumtakia Heri ya Xmas na mwaka mpya kwa unayemkubali humu JamiiForums, mimi namtakia heri Popoma, Game Changer, Charismatic Fella

Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka mpya mwamba
Extrovert Mshana Jr Kalpana Victoire Bujibuji Simba Nyamaume mzee wa busara nakukubali sanamkuu

Pmj na Wana wengine wengi mno mnamchango mkubwa Sana kwangu kunibadilisha fikra zangu nawashukuru member wote billa kumsahau

Senior ,kamanda mkuu ,founder mkuu
@melo

Nawapenda San tuko bega kwa bega Hadi mwisho wa duniaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
The same to you brother ! One love,[emoji173]
 
Happy New year kwa mke wa ujana wangu, tuliofunga ndoa siku ya ubatizo na kupata mtoto siku ya kipaimara Sky Eclat

Heri ya Christmas na Mwaka mpya kwa partner wangu wa mahaba bin sukari ya uzeeni yaliyoshindikana Kasie binti mahaba matata

Merry Christmas kwa mjukuu mtiifu nayesubiria kuchukua mahari makubwa kama bado ana bikira Joanah

Heri ya mwaka mpya kwa wapinzani wangu wote wasionitakia mema na wanaoharibu mishe zangu za ukaguzi....

Happy birthday ya Yesu kwa waungwana wote wanainigingea ma-LIKE kwenye posts zangu hata kama ni za kibwege

Nawatakia kifo chema wote wanaonigongea Dislike kwenye post zangu hata zile nilizotumwa na roho mtakatifu kuziandika

Nawatakia maisha marefu wajukuu wangu wote, wazee wenzangu, wala kitimoto wenzangu, wanywa K Vant wenzangu na watakatifu wenzangu

Nawaombea maisha marefu wachuchu wote watakaokubali kwa hiari yao kuja kwangu ili niwakague...

Babu narudi kitandani
Babu narudi kitandani[emoji23]
Afazali
 
Nawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki

-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe kuni attack personaly 😀 😀 😀 basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee

-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss

Tukutane new yr nalog off kidogo
 
Nawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki

-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe 😀 😀 😀 basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee

-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss
Same to u dear....vipi leo tunatoka salama huko kagera?
 
Nawatakia Christmass na mwaka mpya mwema members wote wa JF... ..
-Simba sc wotee mashabiki kindakindaki

-Wale watani zangu wa Yanga kuna wengine tulipishana hoja na kutoleana maneno ya shombo ila ki ukweli mlinianza wenyewe 😀 😀 😀 basi tuanze mwaka vyema tuzidi kushabikia timu zetu vizuri na utani uendelee

-kuna hawa members nimetokea tuu kuelewana nao kupitia maandishi niwatakie heri pia ipo siku tutaonana kuna Dj Khalid Antonnia, Shunie Makiwendo ,Glenn mzabzab bila kumsahau dr namugari .
$$$Merry Christmas and Happy new year$$
In Advance......cheeersss
Barikiwa sana rafiki mzuri
 
Back
Top Bottom