Uzi wa kutaja Ni biashara gani umesikia mtu katajirika nayo siku za hv karibuni?

Uzi wa kutaja Ni biashara gani umesikia mtu katajirika nayo siku za hv karibuni?

Hapana boss! Hii ni Siri halafu pia hata nikikuambia bila kuwa na connection huna pa kuuzia. Inahitaji kwanza utengeneze customer base hapo ndio mseleleko utauona. Unashusha mzigo unasambaza kwa wadau unashusha mwigne chap
Ni bangi au
 
Hapana boss! Hii ni Siri halafu pia hata nikikuambia bila kuwa na connection huna pa kuuzia. Inahitaji kwanza utengeneze customer base hapo ndio mseleleko utauona. Unashusha mzigo unasambaza kwa wadau unashusha mwigne chap
Unauza dildo??
 
Blackmarket! Hiyo ni chap tu kama unaroho Ngomu lkn'... Mimi ninazo kama nne hivi nafanya huu ni mwaka wa tatu nafanya napeta... Uhakika wa kukunja mil 2 kama saving kwa mwezi ni uhakika! NB siwezi waambia ni biashara Gani hii never!!
sasa black market unakunja 2M si uje tu kwenye white market😳
 
Hardware kipindi hiki cha samia inafanya vizuri sana
 
Blackmarket! Hiyo ni chap tu kama unaroho Ngomu lkn'... Mimi ninazo kama nne hivi nafanya huu ni mwaka wa tatu nafanya napeta... Uhakika wa kukunja mil 2 kama saving kwa mwezi ni uhakika! NB siwezi waambia ni biashara Gani hii never!!
Biashara ya kusave 2M Kwa mwezi ndio utajirike? Si Bora ukaajiriwe tu
 
Hapo unaweza Kuta huna mbele wala nyuma basi tu nje ya keyboard unavimba! Samahani lkn si dhihaka naongelewa uhalisia wa member wengi waliomo hum
Biashara ya kusave 2M Kwa mwezi ndio utajirike? Si Bora ukaajiriwe tu
 
No
Hapana boss! Hii ni Siri halafu pia hata nikikuambia bila kuwa na connection huna pa kuuzia. Inahitaji kwanza utengeneze customer base hapo ndio mseleleko utauona. Unashusha mzigo unasambaza kwa wadau unashusha mwigne chap
Noted
 
Back
Top Bottom