Mimi pia nimepsta connection ya TIT. Naifanyia utafiti ila naona utajiri upo,, nna siku Tatu bado sijadeposit mtaji wangu ukitaka link nitafute dm, ila hakikisha kahela uliko nako hakafungamani na roho yako usije ukaanza kulaumu, kwa Sasa naendelea na F.I.C ambaya nina mwezi na nusu mtaji wangu nilishatoa na faida hadi najuta kwa nini nilichelewa kupata taarif